Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Sio kwamba tulikuwa wabovu sema tulikuwa tunakosa chance nyingi team nzuri inapimwa na ubora wakutengeneza nafasi na namna gani mnavyojilinda chelse chini ya TT ilikuwa nzuri ila si bora kinachofanya isiwe bora ni kwasababu tu walikuwa wanapoteza nafasi za magoal nyingi mfano ile game dhidi ya Madrid ilitakiwa wafe si chini ya 6 sema kwasababu ya ubutu wetu pale mbele tukawapiga goal 2
TT katumia maujanja ujanja tu, tulikuwa na wachezaji wachache wa kuwahesabu ambao walikuwa wazuri
  1. Rudiger
  2. Thiago Silva
  3. James
  4. Chilwell
  5. Kante
  6. Kovacic
Wengine waliobaki walikuwa ni ordinary players
 
Viera mechi yake ya kwanza anampa Andrey Santos debut yake na kupata ushindi wake wa kwanza wa ligi na Strasbourg kwa mwaka huu.
1710621517156.png
 
Ni wachezaji wazuri sio kwamba awe flop kama mnavyoaminishwa sema watu wanawathaminisha na price tag zao waliosajiliwa but ni wachezaji wanacheza vizuri sema wangepata kocha wa maana wangekuwa vizuri zaidi ya hapo
Naona unaanza kukubali kuwa Poch hqmna kitu
 
Pochettino amemkataa mtaalamu wa Set Pieces aliyeajiriwa na akina Boehly kuingia kwenye idara ya Set Pieces.

Poche anasema idara hiyo ipo na ina wafanyakazi wa kutosha na wanafanya vizuri.

Poche anasema:
Kiingereza

"We have an amazing department of analysis and set-piece coaches, two set-piece coaches. We already work with set-piece coaches. Of course, the club wants to create a global area of set-pieces to reinforce the already settled area in which two people work"
Kiswahili
"Tuna idara nzuri sana ya uchambuzi na makocha wa set-piece, makocha wawili. Tayari tunafanya kazi na makocha. Bila shaka, klabu inataka kuunda eneo la kimataifa la set-pieces ili kuimarisha eneo ambalo tayari limetatuliwa. ambayo watu wawili wanafanya kazi"

Nakubaliana na Poche, wamiliki hawa wanaendelea kurudia makosa yale yale ya zamani katika usimamizi wa soka. Kuajiri mtaalam ambae haendani na timu ni hatari sana. Walipaswa kuwasiliana na Poche kwanza. Ninaanza kumpenda Poche kwa aina hii ya msimamo, sio kama kikaragosi wa wamiliki. Anafanya kama mtaalamu.

Huyu Cueva kutoka Brentford kafanya nini msimu huu huko? Brentford wako sawa na Chelsea kwenye ranking ya Set pieces msimu huu. Halafu hawa wataalamu wanatakiwa waletwe na kocha sio management ile kuepuka masuala ya fit in and fit out.

1710658426482.png

1710658404013.png
 
Ni Wesley Fofaba na Lesley Ugochukwu pekee ndio walipaswa kuendelea na recovery.
  1. Nkunku,
  2. Lavia,
  3. Colwill,
  4. Chilwell,
  5. James, na
  6. Badiashile walipaswa kuwa kwenye timu!
 
Nkunku £53M + Fofana £75MM + Lavia = £58M = £186M

£186M for injury players, THE BLUES tunarupuka sana kwenye usajili. Wastage of money and time
Lakini Nkunku alianza kuumia mara kwa mara baada ya kuhamia Chelsea. Idara yetu ya matibabu ndiyo yenye tatizo hilo, kiufundi walitakiwa kulishughulikia kwa kushirikiana na makocha husika ili kuhakikisha afya za wachezaji zinakuwa salama.
 
TT katumia maujanja ujanja tu, tulikuwa na wachezaji wachache wa kuwahesabu ambao walikuwa wazuri
  1. Rudiger
  2. Thiago Silva
  3. James
  4. Chilwell
  5. Kante
  6. Kovacic
Wengine waliobaki walikuwa ni ordinary players
7.Kuna jorginho 8.Mount wote hawa walikuwa wachezaji wazuri sema umewasahau in short tulikuwa na team nzuri kilichomuangusha TT ni safu ya ushambuliaji
 
Line up vs Leicester City
Casadei hayuko hata kwenye benchi

---------------Jackson-----------------

Sterling----------Mudryk ----------Palmer

-----Caicedo ------------Gallagher------

Cucurella----Chalobah ----Disasi ----Gusto

-----------------Sanchez----------------

Subs
  1. Petrovic;
  2. Badiashile,
  3. Thiago Silva,
  4. Acheampong,
  5. Chilwell;
  6. Harrison,
  7. Chukwuemeka;
  8. Madueke,
  9. Washington
 
Sterling katuuza magoli matatu, tungekuwa 5+ HT
  1. Kazuia goli la Mudryk
  2. Kakosa penalty iliyokuwa ya Palmer,
  3. Kakosa goli la wazi

1710683098418.png

1710683081320.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom