Ngoja msimu huu uishe anapotoka kapa ndio utajua Arteta ni kichwa box.Msimshushie Arteta heshima
Ngoja msimu huu uishe anapotoka kapa ndio utajua Arteta ni kichwa box.Msimshushie Arteta heshima
Mpaka sasa tu ashajitahidi kwa aliyoyafanya pale arsenalNgoja msimu huu uishe anapotoka kapa ndio utajua Arteta ni kichwa box.
Mwanzoni nilisema Arteta msim u huu na Arsenal wako vizuri nikaambiwa nguvu za soda, jamani gemu ya 28 tumebakiza mechi 10 bado hizo ni nguvu za soda, Saa nyingine acheni dharau na mumpe heshima yake. Unaweza siku moja ukakuta Arteta ndie anabeba jukumu hapa darajaniMpaka sasa tu ashajitahidi kwa aliyoyafanya pale arsenal
Kwenda jino kwa jino na Pep na Klop sio kazi rahisi
Klopp mwenye kaambua 1 epl title mbele ya Pep unahis ni kazi nyepes
Klop yupo kwenye game kitambo tu
Ila Arteta ndio klab yake ya kwanza kuimanage na ameitoa team mahala pabaya sahiv washaanza kugombania baada ya mda watachukua tu tho sitaki icho kitu kitokee😂😂😂😂
Una akili za kiduanzi kwli....yaani Arteta aje kufundisha Chelsea kwli??...Hana uwezo wa kufundisha Chelsea yule...ni kocha mdogo sana kwa timu kama ChelseaMwanzoni nilisema Arteta msim u huu na Arsenal wako vizuri nikaambiwa nguvu za soda, jamani gemu ya 28 tumebakiza mechi 10 bado hizo ni nguvu za soda, Saa nyingine acheni dharau na mumpe heshima yake. Unaweza siku moja ukakuta Arteta ndie anabeba jukumu hapa darajani
Siwezi bishana na mjinga kama weweUna akili za kiduanzi kwli....yaani Arteta aje kufundisha Chelsea kwli??...Hana uwezo wa kufundisha Chelsea yule...ni kocha mdogo sana kwa timu kama Chelsea
🤣🤣🤣...Asante mkuuSiwezi bishana na mjinga kama wewe
Humu ndani kuna watu wanamchukulia poa sanaMwanzoni nilisema Arteta msim u huu na Arsenal wako vizuri nikaambiwa nguvu za soda, jamani gemu ya 28 tumebakiza mechi 10 bado hizo ni nguvu za soda, Saa nyingine acheni dharau na mumpe heshima yake. Unaweza siku moja ukakuta Arteta ndie anabeba jukumu hapa darajani
Atreta ni mbabaishaji hawezi kubeba chochote na wale wachezaji, umtegemee Havertz na Martinel wakupe ubingwa!Mwanzoni nilisema Arteta msim u huu na Arsenal wako vizuri nikaambiwa nguvu za soda, jamani gemu ya 28 tumebakiza mechi 10 bado hizo ni nguvu za soda, Saa nyingine acheni dharau na mumpe heshima yake. Unaweza siku moja ukakuta Arteta ndie anabeba jukumu hapa darajani
Kwa michuano ya UCL Harvetz anaweza kuwapa Kombe, jamaa ana bahati ya kuamua matokeo mechi ngumu.Atreta ni mbabaishaji hawezi kubeba chochote na wale wachezaji, umtegemee Havertz na Martinel wakupe ubingwa!
UCL ni uwezo sio bahati. Ars88 ndio mwisho wake umeshafika.Kwa michuano ya UCL Harvetz anaweza kuwapa Kombe, jamaa ana bahati ya kuamua matokeo mechi ngumu.
Na bdo...mtaropoka sanaUCL ni uwezo sio bahati. Ars88 ndio mwisho wake umeshafika.
Football ni nzuri, akibeba mtasema kabahatishaAtreta ni mbabaishaji hawezi kubeba chochote na wale wachezaji, umtegemee Havertz na Martinel wakupe ubingwa!
Hawezi kubeba, kama kubeba labda kubeba mimba.Footbal ni nzuri, akibeba mtasema kabahatisha
YEs ndio mana tukawafunga, tungekua hatuna uwezo zaidi yao tusingewafunga. Kante alitusaidia sana ile game haikua bahati.Kwani wakati tunabeba UCL dhidi ya city, unataka kusema tulikuwa na uwezo zaidi city?
Kwa sasa huwezi kunielewa.Na bdo...mtaropoka sana
Mkohoti kapaniki🤣🤣...anaropoka Kila linalomjia mdomoniNadhani unashindwa kutofautisha kati ya chongo na kengeza kati ya bahati na uwezo.
Labda unifahamishe unahis tulimfunga man city kw bahati, lile goli lilikuja tu lenyewe? Vp city walishindwaje kurudsha na kuongoza wao? na goli lilifungwa mapema tu. bahati hapo inatoka wapi?Nadhani unashindwa kutofautisha kati ya chongo na kengeza kati ya bahati na uwezo.
Kwa hiyo mnaamini Pep afungiki siyo? Ukimfunga tu ni bahati!!Mkohoti kapaniki🤣🤣...anaropoka Kila linalomjia mdomoni