Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ninaamini kwa uhakika kabisa kwamba Chelsea haiko mbali na kufanikiwa kama wengi wanavyosema.

Mfumo wa uhamisho inahitaji kunyumbulishwa zaidi kwa kuchnganya na wazoefu, na tunaweza kuhitaji kocha tofauti.

wachezaji wengi waliosajiliwa hivi karibuni wamekuwa wazuri na timu inajengwa polepole.


1710411964365.png
 
Hata tusajili experience ila kocha akiendelea kuwa Poch ni kazi bure
Jamaa kasema hapo pia kocha ni wa kubadilishwa, halafu huyo tom kwenye twitter ni mmojawapo wa waliokuwa wanamtetea sana Poche apewe muda na sasa anakiri kocha ni wa kubadilishwa. Ndio maana nikapost hapa kwasababu humu bado kuna watu wanaamini kocha mzuri wachezaji ndio matakataka
 
Q
Kwa hiyo mnaamini Pep afungiki siyo? Ukimfunga tu ni bahati!!
Ambacho hutaki kukubali ni kwmba Arteta is far ahead than ur coach...Arteta hii ndo timu yake ya kwanza ku manage kama head coach...Pochettino ni timu yake ya nne tangu nimeanza kumjua ila huoni improvement yake...halafu kingine ambacho hutaki kuamini for 2 consecutive seasons Arsenal imekuwa Bora kuliko timu yenu...na Ili uchukue kombe inabidi kwanza uwe unatoa ushindani kitu ambacho Arsenal wameshaanza kukionesha....Sasa huku kubweka kwako inaonesha una hasira na hutaki kukubaliana na Hali halisi....walau Lembu ni mtu anayeongea facts muda mwingi ingawa huwa napenda kumzingua🤠🤠🤠...ila jamaa anaongea madini tupu...
 
Labda unifahamishe unahis tulimfunga man city kw bahati, lile goli lilikuja tu lenyewe? Vp city walishindwaje kurudsha na kuongoza wao? na goli lilifungwa mapema tu. bahati hapo inatoka wapi?

TT alisoma madhaifu ya Pep akayafanyia kazi, ndio mana tuliwafunga ila siyo bahati.
Na msimu huo huyo City alifungwa fa,epl na uefa,bahati ya namna gani hiyo
 
Q

Ambacho hutaki kukubali ni kwmba Arteta is far ahead than ur coach...Arteta hii ndo timu yake ya kwanza ku manage kama head coach...Pochettino ni timu yake ya nne tangu nimeanza kumjua ila huoni improvement yake...halafu kingine ambacho hutaki kuamini for 2 consecutive seasons Arsenal imekuwa Bora kuliko timu yenu...na Ili uchukue kombe inabidi kwanza uwe unatoa ushindani kitu ambacho Arsenal wameshaanza kukionesha....Sasa huku kubweka kwako inaonesha una hasira na hutaki kukubaliana na Hali halisi....walau Lembu ni mtu anayeongea facts muda mwingi ingawa huwa napenda kumzingua[emoji1783][emoji1783][emoji1783]...ila jamaa anaongea madini tupu...
Umeongea as if hujui mpira mkuuu
 
Q

Ambacho hutaki kukubali ni kwmba Arteta is far ahead than ur coach...Arteta hii ndo timu yake ya kwanza ku manage kama head coach...Pochettino ni timu yake ya nne tangu nimeanza kumjua ila huoni improvement yake...halafu kingine ambacho hutaki kuamini for 2 consecutive seasons Arsenal imekuwa Bora kuliko timu yenu...na Ili uchukue kombe inabidi kwanza uwe unatoa ushindani kitu ambacho Arsenal wameshaanza kukionesha....Sasa huku kubweka kwako inaonesha una hasira na hutaki kukubaliana na Hali halisi....walau Lembu ni mtu anayeongea facts muda mwingi ingawa huwa napenda kumzingua🤠🤠🤠...ila jamaa anaongea madini tupu...
Nikiona mtu anasema poch ni bora kuliko arteta nabaki namcheka😂😂😂
Arteta ashamzid yule bwana mashavu pakubwa sana.

Kuna mashabiki humu wanatanguliza ushabiki mbele katika mambo ya uhalisia
 
Jamaa kasema hapo pia kocha ni wa kubadilishwa, halafu huyo tom kwenye twitter ni mmojawapo wa waliokuwa wanamtetea sana Poche apewe muda na sasa anakiri kocha ni wa kubadilishwa. Ndio maana nikapost hapa kwasababu humu bado kuna watu wanaamini kocha mzuri wachezaji ndio matakataka
Ni swala la mda tu wote wataimba wimbo mmoja
 
Umeongea as if hujui mpira mkuuu
Kipi katika hyo comment yangu kinaachonesha nimeongea kama sijui Bolu...hebu fafanua....sio unaongea pasi na ushahidi🤠🤠...ww na Mkohoti ni walewale...mpo kwny denial hamtaki kukubaliana na ukweli
 
Nikiona mtu anasema poch ni bora kuliko arteta nabaki namcheka😂😂😂
Arteta ashamzid yule bwana mashavu pakubwa sana.

Kuna mashabiki humu wanatanguliza ushabiki mbele katika mambo ya uhalisia
Ww una akili ya mpira🤠🤠..pale EPL ambao wamemzidi Arteta au kwenda naye on par mpk Sasa ni makocha wawili tu....Kipara Pep na Klopp...Hawa wengine wapo wanao challenge kama yule kocha wa Spurs labda...ila wengine kiukweli bado Wana safari ndefu sana including Mr Pochettino 🤠🤠🤠
 
Q

Ambacho hutaki kukubali ni kwmba Arteta is far ahead than ur coach...Arteta hii ndo timu yake ya kwanza ku manage kama head coach...Pochettino ni timu yake ya nne tangu nimeanza kumjua ila huoni improvement yake...halafu kingine ambacho hutaki kuamini for 2 consecutive seasons Arsenal imekuwa Bora kuliko timu yenu...na Ili uchukue kombe inabidi kwanza uwe unatoa ushindani kitu ambacho Arsenal wameshaanza kukionesha....Sasa huku kubweka kwako inaonesha una hasira na hutaki kukubaliana na Hali halisi....walau Lembu ni mtu anayeongea facts muda mwingi ingawa huwa napenda kumzingua🤠🤠🤠...ila jamaa anaongea madini tupu...
Sawa Arteta ndio timu yake ya kwanza, ila ana misimu mingapi mpk sasa hakuna alichokifanya? Kwa hiyo atajificha kwnye hicho kichaka cha ndio timu yake ya kwanza mpk misimu ifike mingapi?

Arteta ni mbabaishaji tu kama mwenzie pochi mashavu, utofuti Arteta anawapa hope ila hamna kitu mule.
 
Klopp ilimchukua misimu mingapi🤠🤠..mbona unaongea kama fyuzi zimekata hivi kichwani....in almost 8 years ana EPL moja na UEFA moja...model ya Project ya Arsenal na Chelsea ni vitu viwili tofauti sisi tulikuwa na mizigo mingi aliyoikuta akaitoa yte akaleta watu kazi....asipobeba kombe kubwa in these 2 years then unaweza kuanza kumuuliza maswali magumu maana Kila kitu kapewa....halafu nikukumbushe tu kabeba hiko kikombe mlichomtoa Nyukesto kwa Penalt akiwa na beki ya kina Sokratis na David Luiz...sembuse Sasa ana Saliba na Malgalhaes pale nyuma...kaa kwa kutulia bwana mdgo show ndo imeanza rasmi
Sawa Arteta ndio timu yake ya kwanza, ila ana misimu mingapi mpk sasa hakuna alichokifanya? Kwa hiyo atajificha kwnye hicho kichaka cha ndio timu yake ya kwanza mpk misimu ifike mingapi?

Arteta ni mbabaishaji tu kama mwenzie pochi mashavu, utofuti Arteta anawapa hope ila hamna kitu mule.
 
Hamtakaa msogee mbele mpk mkubali kwmba kwny timu yenu mna wafanya vurugu wengi na sio wacheza mpira....TAfuteni wachezaji na TAfuteni kocha wa kueleweka....halafu kukumbusha tu bdo mna msala na sisi pale Emirates🤠🤠...msipojipanga kono la nyani litawahusu
Sawa Arteta ndio timu yake ya kwanza, ila ana misimu mingapi mpk sasa hakuna alichokifanya? Kwa hiyo atajificha kwnye hicho kichaka cha ndio timu yake ya kwanza mpk misimu ifike mingapi?

Arteta ni mbabaishaji tu kama mwenzie pochi mashavu, utofuti Arteta anawapa hope ila hamna kitu mule.
 
EPL Top 5 BIG Misses

#1 Erling Haaland (Manchester City) - 17 big chances missed
#2 Darwin Nunez (Liverpool) - 15 big chances missed
#3 Ollie Watkins (Aston Villa) - 13 big chances missed
#4 Nicolas Jackson (Chelsea) - 12 big chances missed
#5 Rasmus Hojlund (Manchester United) - 9 big chances missed
 
Hawa Kenge washaanza kujiita mabingwa wa uefa ,pimbi saba hawa , ushindi wenyewe wa papatu papatu kwa penalty dhidi ya Porto
Naomba wakutane uso kwa uso na akina vinicius na Bellingham

Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
Mkuu zihurumie hizo ng'ombe hiyo dozi uliyowapa ni kubwa watadhalilika, tuwape Dortmund tu watolewe bila kudhalilishwa.
 
Hawa Kenge washaanza kujiita mabingwa wa uefa ,pimbi saba hawa , ushindi wenyewe wa papatu papatu kwa penalty dhidi ya Porto
Naomba wakutane uso kwa uso na akina vinicius na Bellingham

Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
Una personal issues, cool down son. Haya tuambie shida nini mbona unafoka?

Hizo Ni story za vijiweni kwenu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom