Tuchel amebeba makombe makubwa THE BLUES ndani ya miezi 3, TT anaifahamu THE BLUES na anajua THE BLUES inataka makombe ni club ya makombe.
Kwa vyovyote vile akirudi lazima atapambana kuendelea kubeba makombe na bahati nzuri mashabiki wengi THE BLUES wanampenda TT watampa support kubwa.
Cha muhimu akirudi management wamsikilize, wampe anachotaka na wasimuingilie kwenye majukumu yake.
TT aje aendelee alipoishia kuliko kuleta kocha mpya aanze upya, mazingira mapya, kila siku itakuwa timu ya kujengwa upya.
Matajiri walambe tuu matapishi yao THE BLUES inamuhitaji Tuchel kwa sasa
View attachment 2927788