Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea msimu huu

Urefu wa wastani:
Chelsea nafasi ya 18

Kupiga mpira mrefu:
Chelsea nafasi ya 18

Kupiga crosses:
Chelsea nafasi ya 18
 
Chelsea pia wanatathmini tabia ya timu kufifia baada ya kipindi cha mapumziko chini ya Pochettino.
Kuna wasiwasi mwingi kwamba uchezaji wa kutia moyo katika kipindi cha kwanza haijaungwa mkono katika nyakati zote.
@JacobSteinberg
1709590189530.png
 
Harufu za kukatizwa mkataba wa Pochettino sasa wanukia Darajani, kelele za mashabiki na nyimbo za Abramovich, Mourinho sasa zinaanza kuzaa matunda

Taarifa kutoka vyanzo mbalimbali zinadai kuwa, Chelsea isipofaulu kwenda michuano yeyote ya Ulaya, Pochettini anaweza kukatizwa mkataba wake msimu wa Kiangazi
Makocha waliowekwa kwenye orodha ya kumridhi hadi sasa ni
  1. Rúben Amorim wa Sporting Clube de Portugal ya Ureno na
  2. Roberto De Zerbi wa Brighton & Hove Albion
1709590583473.png
 
[emoji117] Chelsea fc ya (TODDY) ni Project UCHWARA na KITAPELI.

1. Wakurugenzi - Ovyo
2. Kocha - Kilaza
3. Wachezaji - Mazagazaga
4. Mashabiki - Sumu

"BLUE BILLION POUND BOTTLE JOB"
 
[emoji117] Chelsea fc ya (TODDY) ni Project UCHWARA na KITAPELI.

1. Wakurugenzi - Ovyo
2. Kocha - Kilaza
3. Wachezaji - Mazagazaga
4. Mashabiki - Sumu

"BLUE BILLION POUND BOTTLE JOB"
Hakuna Fan base ambayo team inafanya vibaya wakawa wanafurahia Hakuna

Wachezaj mnawaonea tu, Wote tunajua shida iko wapi ni vile tu tunakaza vichwa.

Natumai Manager atakae kuja atakuwa ni mtu sahihi atakaendana na hawa wachezaji na awe mtu wa mabadiliko
Natumai manager atakae kuja atathibitisha shida ilikuwa nini kocha au wachezaj

Kocha anaekuja inabidi tuwe makini sana Kwenye kumtafuta
 
Hakuna Fan base ambayo team inafanya vibaya wakawa wanafurahia Hakuna

Wachezaj mnawaonea tu, Wote tunajua shida iko wapi ni vile tu tunakaza vichwa.

Natumai Manager atakae kuja atakuwa ni mtu sahihi atakaendana na hawa wachezaji na awe mtu wa mabadiliko
Natumai manager atakae kuja atathibitisha shida ilikuwa nini kocha au wachezaj

Kocha anaekuja inabidi tuwe makini sana Kwenye kumtafuta
Una uhakika Toddy ataleta kocha bora kuliko Potter na Poche?
 
Una uhakika Toddy ataleta kocha bora kuliko Potter na Poche?
70%-90% ego yao haitatoa nafasi wamlete kocha mwenye msimamo, wataishia kumleta puppet wao
Angalia kuanzia Potter akaja huyu Poche atakayefuata anajulikana lazima jina lianzie na P
 
Hakuna Fan base ambayo team inafanya vibaya wakawa wanafurahia Hakuna

Wachezaj mnawaonea tu, Wote tunajua shida iko wapi ni vile tu tunakaza vichwa.

Natumai Manager atakae kuja atakuwa ni mtu sahihi atakaendana na hawa wachezaji na awe mtu wa mabadiliko
Natumai manager atakae kuja atathibitisha shida ilikuwa nini kocha au wachezaj

Kocha anaekuja inabidi tuwe makini sana Kwenye kumtafuta
Ila asiwe wa Brighton
 
Tunauza wachezaji na wengine tunawatoa kwa mkopo kubalance vitabu.

Cucurela
Sterling
Gallagher
Matseen
Keppa
Chalobah

Wengine kibao wapo kwa mikopo vilabu vingine tutawauza huko moja kwa moja

Mbona itapatikana pesa nyingi kuliko kufuzu UEFA.

Winner - €20m
Runner-up - €15.5m
Semifinalists - €12.5m
Quarterfinalists - €10.6m
Round of 16 - €9.6m
Group-stage wins - €2.8m
Group-stage draws - €930k
Reaching group stage - €15.64m
Hapo kuna hela za attendance +
Kumbuka kuna hela zingine za Tv Rights,
Hapo kuna hela based on uefa coefficient rank ndani ya miaka 10 performance yako ikoje


Kuuza tu hakukufanyi uwe salama mda wote maana kila msim itakubidi uuze
 
Machapuo yanayopewa kipaumbele kuja kumrithi Pochetino msim ujao
1. Ruben Amorim
2. De Zerbi
 
Ban ya nini?

Kukatwa point kwa sababu zipi?
Ili mahesabu ya balance ni lazima Chelsea ifanye vizuri
Ikifanya tu vibaya itakumbana na rungu la FFP
FFP hatujaisikia kisawasawa kwa sababu inatathminiwa katika kipindi cha miaka mitatu
Katika hii miaka mitatu tunatakiwa tushiriki ligi za Ulaya hata kama ni UEFA Conference League ili isaidie kuinua kipato ambacho itabalance mahesabu
Hata TV rights zitaongezeka tukiwa na LIgi hizi kubwa
Biashara zingine pia zitafanya vizuri
 
Tunauza wachezaji na wengine tunawatoa kwa mkopo kubalance vitabu.

Cucurela
Sterling
Gallagher
Matseen
Keppa
Chalobah

Wengine kibao wapo kwa mikopo vilabu vingine tutawauza huko moja kwa moja

Mbona itapatikana pesa nyingi kuliko kufuzu UEFA.

Winner - €20m
Runner-up - €15.5m
Semifinalists - €12.5m
Quarterfinalists - €10.6m
Round of 16 - €9.6m
Group-stage wins - €2.8m
Group-stage draws - €930k
Reaching group stage - €15.64m
Kufaulu ligi kubwa ina matokeo ya jumla, bado tutauza wachezaji, watapanda viwango, TV rights na biashara zingine zitachangamka
Huo ndio ukweli
Tukishindwa inakuwa kinyume chake
Wachezaji watashuka bei hata tukiwauza sio kwa bei ya juu
TV rights na biashara zingine zitadorora
Tukishuka daraja ndio basi tena, hakuna hata mchezaji mmoja atakayetaka kubakia Chelsea
Tusiombe muda huo utukute
 
Me naona De Zerbi ni mzuri kuliko Pochetino
Uzuri wa Dizerbi ni kwanza wachezaji wengi walikuwa naye na walifanya vizuri
Ana uzoefu wa kukochji vijana wa umri mdogo
Changamoito yake tu ni experience ya makombe
Ila sisi kwa sasa tunamtafuta kocha wa style hii ya Dizerbi, bado kijana na anafundisha soka la kisasa
 
Machapuo yanayopewa kipaumbele kuja kumrithi Pochetino msim ujao
1. Ruben Amorim
2. De Zerbi
Amorin hapo ndio kocha. Huyu De Zerbi tutakuja kujilaumu tena
 

Attachments

  • Screenshot_20240306_093626_BeSoccer.jpg
    Screenshot_20240306_093626_BeSoccer.jpg
    156.9 KB · Views: 12
  • Screenshot_20240306_093411_BeSoccer.jpg
    Screenshot_20240306_093411_BeSoccer.jpg
    117.5 KB · Views: 13
  • Screenshot_20240306_093321_BeSoccer.jpg
    Screenshot_20240306_093321_BeSoccer.jpg
    122.2 KB · Views: 15
Ndugu kuhusu swala la makombe sahau kwa sasa. Hii ptoject bado mbichi sana maana hesabu kila msimu lazima tuanze upya
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Aiseee kila msimu mnajikuta bado mpo phase 1 kama Arsenyeto.
Ila binafsi naamini Chelsea atabeba Epl kabla ya Arsenyau, kikubwa tafuteni kwanza kocha mwenye rasta au dread kisha mtakuja kunishukuru baadae.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom