Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Yote hayo ni kazi ya kocha
Wewe unajua mtaala ambao kocha anatakiwa kutumia kuwafanya wachezaji wawe capable
Yeye anaitwa Head coach na ana wasaidizi kila idara
Wanatuletea genge la wahuni utafikiri hakuwaanda wacheze mechi
Tactically Poche ni mdogo sana, Klopp kamuacha mbali sana
Kamuingiza watoto ili asisingizie squad ya umri mdogo na bado P{oche akazidiwa akili
Tukubali ili Chelsea angalau irudi kwenye heshima yake angalau ndani ya miaka mitatu, tutamuitaji kocha aliyethibitika na ikibidi aje kupewa mamlaka kamili ya wachezaji kuanzia usajili na mauzo
Ina maana mlishindwa kabisa kuwafunga wale watoto
 
Mashabiki wamekasirika sana sio kwa kufungwa bali hiyo kaluli yake kwamba walijiandaa kwa penalties ndio maana wachezaji waliacha kucheza
Halafu kuna wapendwa hapa watasema wachezaji ndio wabovu, kumbe walipewa maelekezo ya kujiandaa kwa matuta. Mbinu za huyu mzigo ni mzigo kwa timu. Aondoke tu kiangazi hatumtaki

View attachment 2916429
Kwanini wachezaji wenyewe wasifunge mapema?
Mnamlaumu Kocha tu

Wachezaji wamecheza na vitoto vya academy karibia vyote, walishindwa kujikaza wafunge?
 
Di Zerbi atafeli vibaya sana, THE BLUES kwa sasa mashabiki wake wengi wamejaa sumu makocha chipukizi hawatapata muda wa kurelax kujenga timu na kuhimili presha ya kubeba makombe.

Mashabiki sumu wanataka kocha aje nakuanza kubeba makombe, THE BLUES ya sasa ni hatare sana kwa makocha wa kujitafuta.

Tukubali tuu project ya vijana ni ya kitapeli na sio utamaduni wetu, tuletewe Morinyo au Conte turudi kwenye utamaduni wa kusajili matured word class players, turudi kwenye njia yetu za makombe.
Wewe umesema ila uhalisia sivyo usemavyo. Mashabiki wa Chelsea walikuaga hivi hivi zaidi ya decade iliyopita na makocha walioletwa walijua mashabiki wanataka nini. Nafasi ya 7 kushiriki Conference league sio mzigo mkubwa kwa meneja yeyote. Ingekuwa mashabiki wa Chelsea wanamtaka kocha aebe kombe la ligi kwa hii timu changa hapo hata mimi ningepinga kwa nguvu zote. Hii timu haiwezi jengwa kwenye namba 10-12, hii timu inajengwa vizuri ikishjiriki na kubeba angalau vikombe hutu twa mbuzi na jogooo
 
Mambo sio shwari kabisa kwenye meza kuanzia kwenye namba 7. Hii ina maana Pochettino akihitaji namba 7 anaipata haraka sana kwa kufanya vizuri bila kuyumbisha dishi
1709387335696.png
 
Inavyoonekana Pochettino anafikiria kuhamia kwenye Back 3 ili kuimarisha safu ya ulinzi na kuepuka kufungwa hovyo hovyo
Sijui kama itaanzia kwenye mechi ya leo, ebu tuone line up

Mauricio Pochettino is considering a switch to a three-man defence to look for more solidity at Chelsea.
@NizaarKinsella

1709387903701.png
 
Line up ya back 3

--------------------Jackson--------------------

-----Gallagher --------------------- Palmer-----

Chilwell -------Enzo -------Caicedo -------Gusto

-----Colwill --------Disasi -------Chalobah------

--------------------Petrovic--------------------

Sub
  1. Sanchez,
  2. Gilchrist,
  3. Silva,
  4. Cucurella,
  5. Casadei,
  6. Tauriainen,
  7. Madueke,
  8. Mudryk,
  9. Sterling
 
Mashabiki wanalalamika sana kwa nini Pochettino amemtema leo Mudryk
Hawezi kumtema mtoto wake wa mgongoni, Gallagher
Mimi ningekuwa Pochettino kwa leo ningempumzisha Enzo halafu Gallagher wakafanya pivot na Caicedo halafu Mudryk acheze kwenye LW
 
Line up ya back 3

--------------------Jackson--------------------

-----Gallagher --------------------- Palmer-----

Chilwell -------Enzo -------Caicedo -------Gusto

-----Colwill --------Disasi -------Chalobah------

--------------------Petrovic--------------------

Sub
  1. Sanchez,
  2. Gilchrist,
  3. Silva,
  4. Cucurella,
  5. Casadei,
  6. Tauriainen,
  7. Madueke,
  8. Mudryk,
  9. Sterling
Safi sana huu ndio mfumo sasa ninaoupendaga back 3, ulinzi shirikishi.
 
Di Zerbi atafeli vibaya sana, THE BLUES kwa sasa mashabiki wake wengi wamejaa sumu makocha chipukizi hawatapata muda wa kurelax kujenga timu na kuhimili presha ya kubeba makombe.

Mashabiki sumu wanataka kocha aje nakuanza kubeba makombe, THE BLUES ya sasa ni hatare sana kwa makocha wa kujitafuta.

Tukubali tuu project ya vijana ni ya kitapeli na sio utamaduni wetu, tuletewe Morinyo au Conte turudi kwenye utamaduni wa kusajili matured word class players, turudi kwenye njia yetu za makombe.
Hata hao Conte na Mourinho kwa sasa hawatoboi hii sio 2004-2017

Hao wote wamepita Spurs ila hakuna kilichofanyika
Mourinho kapita hadi nyumbu ila hakuna kipya alioleta hao wote mbinu zao kwa sasa haziapply
 
Pochettino:
"Nadhani tuna makipa wazuri sana na tunahitaji kuchagua mmoja tu na tuliamua kwenda na Petrovic. Amekuwa akicheza vizuri sana katika miezi michache iliyopita."
 
Hili li timu lina laana kutoka kwa bilionea wa Uganda bwana Joel Jaffer A'ita alietaka kuinunua hii mali ya Abramovich na kuibadili jina iitwe KONGOLO FC, lakini bilionea huyo walimnyima timu kwa sababu za ubaguzi tu wa rangi.
Huko Uganda mizimu ya bwana Joel imekasirika kwelikweli, imeahidi ndani ya miaka 10 hamtanusa hata top 4 kenge nyie.
1709390208953.jpg
1709390182695.jpg
 
Safi sana huu ndio mfumo sasa ninaoupendaga back 3, ulinzi shirikishi.
Wengine wanadai ni 3-5-2
Palmer na Jackson mbele na waliobaki viungo

-----Jackson--------------------Palmer------

Chilwell ---Gallagher---Enzo ---Caicedo ---Gusto

----Colwill ----------Disasi ---------Chalobah----

--------------------Petrovic--------------------
 
Nina uhakika hii formation haitakua favourite kwa Palmer. Au tu watengeneze maelewano mazuri na Gusto, otherwise huu upande wa kulia unaweza ukawa uchochoro kwa Brentford
 
Wengine wanadai ni 3-5-2
Palmer na Jackson mbele na waliobaki viungo

-----Jackson--------------------Palmer------

Chilwell ---Gallagher---Enzo ---Caicedo ---Gusto

----Colwill ----------Disasi ---------Chalobah----

--------------------Petrovic--------------------
Hata akiondoka POCHE natamani aje kocha wa back 3. Mifumo ya ulinzi shirikishi ndio utamaduni wetu na mafanikio yetu.
 
Nina uhakika hii formation haitakua favourite kwa Palmer. Au tu watengeneze maelewano mazuri na Gusto, otherwise huu upande wa kulia unaweza ukawa uchochoro kwa Brentford
Kipaumbele namba 1 kwenye back 3 ni ulinzi shirikishi hakuna kufungwa ovyo ovyo. Naupenda sana huu mfumo.
 
Kipaumbele namba 1 kwenye back 3 ni ulinzi shirikishi hakuna kufungwa ovyo ovyo. Naupenda sana huu mfumo.
Sahihi kabisa ila huu mfumo unakuhitaji uwe mfanisi sana hasa katika kushambulia lakini katika kutengeneza mashambulizi. Sasa tatizo tayari tunalo tunakosa ufanisi Caicedo anapiga pass hovyo na kupoteza, Jackson kila mtu anashuhudia.
 
Gusto anaweza akamuweka bench James, amekuwa niu hot cake kwenye kujenga mashambulizi na kutoa pasi murua kwa wafungaji
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom