OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,935
- 25,246
Hii Chelsea inaeza pambana ikafika faunal halafu ikikutana na livakuku inapigwa
Chelsea fc ya (TODDY) ni Project UCHWARA na KITAPELI.nikushauri tu acha ulevi wa pombe zisizopimwa. Utakuja kunishukuru badae.
Unatuletea mada zako za kilevi hapa, we kwa akili zako timamu unaona kuna kocha mule, chelsea imecheza na vitoto vy vinavyovaa pampas then unasema walijitahid?? Kwa kuomba muda uishe waende penalties au?
Uachage kunywa matap tap ili uongee vitu vyenye maana mbele za watu.






Lile koroboiMtu anakuibia 50,000/- ukikasirika anakuambia "kwanza hela gani hii hata chai na chapati vingunguti hupati'
Kushinda kombe raha sana

Hatari sanaHujaelewa kaka, inshu sio kukosa hako kakikombe ka kahawa. Kinachouma tumefungwa na vitoto vy kindagaten.
Kosi la bilion 1000 likapak basi dhidi ya vitoto ili kungoja matuta. Nyie nyie kuna makocha ni wehu.




Kama ningekuwa Pochettino sitawahi kucheka au kuwalinda wachezaji wanaokosa nafasi za rahisi kama hizi. Nitawakemea tu na kuwaacha benchi kwa baadhi ya michezo nyingi tu ili wajifunze
Tofauti sasa yeye anacheka nao tu na kuwatetea kwenye media
Tunakubali sio failure zote tumlaumu Poche, lakini yeye ndie boss, sisi mashabiki tunamtazama yeye arekebishe kama kashindwa asepe, kwani lugha gani ngumu hapo, au sisi mashabiki ndio tukawachape hao watoto viboko? hapana
Mfano miaka miwili iliyopita tu Mudryk alikuwa na mchezaji bora wa Ukraine. Alikuwa anakiwasha sana kule Shakhtar Donetsk. Yuko wapi sasa hivi.
View attachment 2917819
View attachment 2917820





Mapenzi mabaya sana
Si useme tu ni Caicedo😂Sikiliza Kevin-Prince Boateng akimuelezea Dizerbi na jinsi anavyowafanya wachezaji chini yake kuwa wazuri
Alicheza Sosuolo wakati Dizerbi akiwa Kocha
Anasema Dizerbi ni mzuri kwa kufundisha mbinu za ndani
"Nimecheza chini yake nikiwa na miaka 32 na alinifanya kuwa mzuri"
"Anafundisha kila kitu, anasema kila kitu ukifanya iwe na sababu, kwa mfano kila mchezan akiwa uwanjano ana miraba ya options zimemzunguka kwa kila mchezaji ana options sita akiwa na mpira ya kupasi mpira, umbali, matumizi ya mwili, ubora wa pasi, mguu upi utumie na kwa uzito gani upige pasi"
Na mwisho akamalizia kuwa anawafanya wachezaji wa kawaida kuwa top players
Mimi namuomini kwa sababu ndivyo anavyofanya pale Brighton, wakija Chelsea wanaonekana wa kawaida kwa sababu wanakuja kuwa chini ya kocha asiye na clue za kuinua viwango vya wachezaji
Tukisema Poche atawadidimiza wachezaji na kuwafanya waonekane Matakataka mnatubishia
View attachment 2921839
Di Zerbi atafeli vibaya sana, THE BLUES kwa sasa mashabiki wake wengi wamejaa sumu makocha chipukizi hawatapata muda wa kurelax kujenga timu na kuhimili presha ya kubeba makombe.Mapenzi mabaya sana
Aletwe Dizerbi apewe hao watoto utaone tofauti hata kama ni ndogo
Dizerbi angekuwa na hawa wachezaji tungukuwa mitaa ya namba 7 au 6
Kwa nini sasa umuite kipochi?Kwahiyo wanangu hamumtaki kipochi tena
Na hata mwaka hajamaliza