Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Wanaomtetea Poch 2nd half sijui leo mtasemaje
Au ndio mtawageukia wachezaji kama kawaida yenu
Mimi nimeamua kukaa kimyakubishania hii mada ya Poch kwa sababu hata siku ambazo tulicheza vizuri both halves bado alipondwa tu eti au mtawageukia wachezaji. Leo mnamponda kwa sababu second half timu imecheza vibaya.
What a Nonsense determinants
 
[emoji117] Chelsea fc (TODDY) ni Project UCHWARA na KITAPELI.

1. Wakurugenzi wa ovyo
2. Kocha kilaza
3. Wachezaji mazagazaga

"BLUE BILLION POUND BOTTLE JOB"
Chelsea ikicheza mashabiki wake wanapita mtaani wakirembua huku wanatingisha wowowo na kudai kua wao hawauzi wala hawagawi bure[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
tapatalk_-1619872729_360x488.jpg
 
Kuna ndugu yetu anaitwa DISASI akishika mali anatetemeka kama mtu mwenye alcohol addiction,kiufupi namba macho maana atakosea tu
 
Mimi nimeamua kukaa kimyakubishania hii mada ya Poch kwa sababu hata siku ambazo tulicheza vizuri both halves bado alipondwa tu eti au mtawageukia wachezaji. Leo mnamponda kwa sababu second half timu imecheza vibaya.

What a Nonsense determinants
Mlevi wewe.
 
Ila Sanchez hamna kitu pale yani sijui hata kwa nini tulimsajili ya naona kabisa mda wote akiwepo ni kama mabeki wanakuwa na presha haleti ile calmness pale nyuma
 
[emoji117] Chelsea fc ya TODDY ni Project UCHWARA na KITAPELI.

1. Wakurugenzi wa ovyo
2. Kocha kilaza
3. Wachezaji mazagazaga

"BLUE BILLION POUND BOTTLE JOB"
 
Tunapotofautiana kimawazo haina maana tufike huku, istaharabu na kuvumiliana ndio njia pekee ya kufurahia sports
Comment zake unazielewaga?? Mi namshaurigi tu mkuu ila sio kwa ubaya, ulevi wa pombe zisizopimwa sio mzir hat kidogo.
 
Sanchez ni kipa hewa huyo, ni aina ya Kepa mrefu tu huyo. Tena Kepa angekuwa mrefu kama yeye angekuwa shot stoper
Yn mm nikimuona kwenye lineup najua hapo kuna sanamu, bora hata petrovic
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom