juan david
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 3,952
- 5,438
Mudryk leo anacheza kama no 10 na anacheza vizuri san
Sisi mashabiki tunaona LW ni ya Jackson, No. 10 ya Mudryk, RW ya Palmer, LCB ya Colwill, RCB ya Disasi sijui kama Pochettino anaona kama tunavyoona au anaona kengeza?Mudryk leo anacheza kama no 10 na anacheza vizuri san
Acha kujidanganya, Hakuna mchezaji hapo ni mbahatishaji tu huyo.Sikuwahi kuwa na mashaka na Mudryk, nilikuwa na mashaka juu ya uwezo wa Pochettino wa kukuza kipaji chake
View attachment 2919541
Unavyoongea naona wivu kali ndani yakoAcha kujidanganya, Hakuna mchezaji hapo ni mbahatishaji tu huyo.
Huyo next season Chelsea wanauza.Unavyoongea naona wivu kali ndani yako