lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,383
- 25,488
Poche mpuuzi tusipumbazwe na mechi moja. Ngoja tukutane na Leeds United au Brendford uone vimbwangaNilijua tu hii comment haiwezi kosekana. Naingia humu ndio nakutana nayo
Poche mpuuzi tusipumbazwe na mechi moja. Ngoja tukutane na Leeds United au Brendford uone vimbwangaNilijua tu hii comment haiwezi kosekana. Naingia humu ndio nakutana nayo
ninachopenda kwa Disasi ni hiyo mentality yake kama ya RudigerDisasi leo kapiga Kazi sana![]()
Mkuu ila mimi naona kubadili shape kwenda backline ya 5 ilikuwa muhimu. Tungeweka attacker hao city wangetukanda dakika za mwishoniMkuu tulihitaji hata attacker mmoja either mudryk aingie o Jackson abaki kwa pace zao coz City walikuwa washaweka Highlin so tulihataj mtu wakuattack kwa counter.
Game tulikiwa tunaiweza kuwashambulia city kwa counter huku tukijilinda ila kuwatoa wote Palmer,Sterling na Jackson.
Tukaanza karibisha pressure.
For me sajili zote ni nzuri, kocha tu aache visingizio na awafundishe vijana namana ya kucheza sokaMalo Gusto, Cole palmer Moja ya Sajili Bora za Toddy
Malo Gusto 20yrs old ,bonge Moja la FB ,nilimuona mechi Moja tu nikamkubali
Anakaba hadi kivuli,anapandisha timu vzr
Nyie jamaa huwa mnanifurahisha sana. Poch anafanya kila kitu ila kwenu always ni mbaya tu japokuwa wachezaji wanamuangusha lakini bado lawama ni kwa Poch.Poche mpuuzi tusipumbazwe na mechi moja. Ngoja tukutane na Leeds United au Brendford uone vimbwanga
Atapumzika huko na familia yake. Huku watu hawapoi ni lawama mpka keshokutwaAngalau pochi yenu apumzike kutukanwa.
The blues 💙🔥🔥🔥
Na nyie jamaa hata Poche avurunde mnahamishia kwa wachezaji ambao wao wako tu pale kupokea maagizo. Jana walipewa maagizo wamefanya. Subiri mechi hizo nilizotaja na uweke akiba ya pongezi kwa PocheNyie jamaa huwa mnanifurahisha sana. Poch anafanya kila kitu ila kwenu always ni mbaya tu japokuwa wachezaji wanamuangusha lakini bado lawama ni kwa Poch.
Haya tutamfikishia ujumbe aache upuuzi.
Usipompanga Jackson striker nani acheze ile nafasi?Naomba jamani Poche chonde chonde usimpange tena Jackson kwenye ustrika
Muweke winga wa kulia au kushoto au katikati na. 10 tuitampenda bure, sio mara ya kwanza Jackson akicheza wide anatupa vitu vizuri kama hivi. Anajua kuunganisha wenzake vizuri, anajua kuhold mpira na anajua kuanzisha build up na kuassists. Mimi namuona yeye kama wide winger kwa asili
View attachment 2907593
Hawezi kudeliver kama akicheza wideUsipompanga Jackson striker nani acheze ile nafasi?
Ni lazima acheze Jackson tu
Jackson kuendelea kucheza winga lazima tumpate Stiker kamili, la sivyo Jackson ataendelea ku-operates kwenye uwinga na ustriker.Naomba jamani Poche chonde chonde usimpange tena Jackson kwenye ustrika
Muweke winga wa kulia au kushoto au katikati na. 10 tuitampenda bure, sio mara ya kwanza Jackson akicheza wide anatupa vitu vizuri kama hivi. Anajua kuunganisha wenzake vizuri, anajua kuhold mpira na anajua kuanzisha build up na kuassists. Mimi namuona yeye kama wide winger kwa asili
View attachment 2907593
Siku nyingine wakipewa maagizo hawafanyi? Au kwenye hizo mechi unazozisema huwa hawafuatiNa nyie jamaa hata Poche avurunde mnahamishia kwa wachezaji ambao wao wako tu pale kupokea maagizo. Jana walipewa maagizo wamefanya. Subiri mechi hizo nilizotaja na uweke akiba ya pongezi kwa Poche
Hujanielewa hata nachozungumza umekurukupuka. Ngoja ni summarize, nilichomaanisha ile nafasi acheze nani pale mbele au unalazimisha abadili mfumo acheze bila striker anachezaje?Hawezi kudeliver kama akicheza wide
Nashukuru Poche na ujinga wake hana mtizamo kama wako
Wewe unajuaje au labda maagizo ni ya kipuuzi au hayaeleweki??Siku nyingine wakipewa maagizo hawafanyi? Au kwenye hizo mechi unazozisema huwa hawafuati