Master kinga
Member
- Aug 15, 2023
- 43
- 35
Ila huyu bwana mdgo kipa anajua sanHahahahandio nitaamini Poche ana matatizo makubwa
Ila huyu bwana mdgo kipa anajua sanHahahahandio nitaamini Poche ana matatizo makubwa
Hii game mlikuwa mnashinda, ujinga wenu tu.Chief unaweza kujituma mpaka tone kwa mwisho ila uwezo wa wachezaji ukafika mwisho + errors lazima ufungwe.
Tetesi ni kuwa kocha alimwambia apashe ili ajiandae kuingia ila akamwambia kocha kuwa atacheza mechi ijayo siyo hii ngoja wamalizie tu.HONGERENI THE BLUES KWA SARE YA KIBABE
Hii mechi ya leo ungempanga Madueke angejiharishia.
Tetesi ni kuwa kocha alimwambia apashe ili ajiandae kuingia ila akamwambia kocha kuwa atacheza mechi ijayo siyo hii ngoja wamalizie tu.




Halafu akamuingiza chezaji Challobah, tokea amaeingia nakuja kumuona anapasia nyavu.Mkuu tulihitaji hata attacker mmoja either mudryk aingie o Jackson abaki kwa pace zao coz City walikuwa washaweka Highlin so tulihataj mtu wakuattack kwa counter.
Game tulikiwa tunaiweza kuwashambulia city kwa counter huku tukijilinda ila kuwatoa wote Palmer,Sterling na Jackson.
Tukaanza karibisha pressure.
Disasi siku zote anakichafua pengine jana ndio kazidisha zaidiDisasi leo kapiga Kazi sana![]()
Jackson mzuri ni kwamba ana shida tu na goli akibaki peke yake. Akiwa mbali na goli hana shidaHata kama kuna rungu la FFP usajili wa ST ni lazima.
Wachezaji na kocha na benchi lote la ufundi wangenote game plan ya mechi kama hizi waache kutuuzi. Wakicheza hivi na Liva Carabao ni yetuHii nguvu ya leo tungekuwa tunaitumia kila mechi tungekuwa top 4 wallah. Leo vijana wanajituma ile mbaya hakuna individual errors za kijinga.
Bado mna utoto sana hasa pale mbele. Dogo Palmer ndio kidogo anajielewa. Gallagher ni mzigo.Tunatengeneza nafasi nyingi ila execution ndio tatizo. Huyu Jackson kama Mzize tu
Jana Kuku, Mende, wote walikuwa upande wetu, tungefungwa wangetutukana kwa hasira ya kutoshindaNamna mlivyojipata mnakua mpk na jeuri ya kusema chochote. Sawa tu
Carabao hamtashinda. Jitahidini tu mshinde shinde game kadhaa angalau mpate hata nafasi ya kucheza UEFA Conference.Wachezaji na kocha na benchi lote la ufundi wangenote game plan ya mechi kama hizi waache kutuuzi. Wakicheza hivi na Liva Carabao ni yetu
Disasi akicheza na Sila mpira wake unakuwa chini kidogo. Akicheza bila Silva anakuwa kiongozi bora pale nyuma kwa kujituma kupita maelezoDisasi siku zote anakichafua pengine jana ndio kazidisha zaidi
Tumekosa magoli kipumbavu sana hawa City ilibidi wafe hata kwa goli tatu kwa zile clear chances tulizotengeneza. Mwisho huoni kama hawa jamaa wanahitaji kupumzika then aingize watu wa kulinda kilichopo ndio maana kaingiza Casadei na Chalobah wasaidie ukabaji.Mkuu tulihitaji hata attacker mmoja either mudryk aingie o Jackson abaki kwa pace zao coz City walikuwa washaweka Highlin so tulihataj mtu wakuattack kwa counter.
Game tulikiwa tunaiweza kuwashambulia city kwa counter huku tukijilinda ila kuwatoa wote Palmer,Sterling na Jackson.
Tukaanza karibisha pressure.
Gallagher nafasi yake kubwa ni kutibua wasiweze kupasiana vizuri. Kacheza vizuri sana . Yeye tatizo lake sio creative player, yeye ni mtibuajiBado mna utoto sana hasa pale mbele. Dogo Palmer ndio kidogo anajielewa. Gallagher ni mzigo.
Jackson yuko vizuri ila maamuzi ya mwisho bado.
Sasa kama ile counter wachezaji wawili (Jackson na Enzo) wanaenda kupiga shoot mpira mmoja wote wawili huo si utoto?
Hata wao jana walitukosa kosa, Haaland kalogwa janaTumekosa magoli kipumbavu sana hawa City ilibidi wafe hata kwa goli tatu kwa zile clear chances tulizotengeneza. Mwisho huoni kama hawa jamaa wanahitaji kupumzika then aingize watu wa kulinda kilichopo ndio maana kaingiza Casadei na Chalobah wasaidie ukabaji.