Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mpaka sasa tumecheza vizuri
1st half, tuko sawa

Hakuna gap kubwa kati ya kiungo na ulinzi na kiungo na forward

Jackson kila kitu anafanya sawa ila Decision na Finishing inabid aboreshe

Ht. City 0-1 Chel
 
Hii nguvu ya leo tungekuwa tunaitumia kila mechi tungekuwa top 4 wallah. Leo vijana wanajituma ile mbaya hakuna individual errors za kijinga.

Mbinu tu

Game nyingi katikat huwa tunaacha gap kubwa ila 1st half vs City na Vs Villa tulikuwa hatuach gap kubwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom