Xavi Alonso baada ya kumtwanga Tuchel na Bayern Munich yake 3-0 hapo jana anasema hivi:
"Tumedhibiti vyema wakati sahihi wa kupress, wakati wa kusubiri, ni nani akae na mpira, ambaye na ni nani asikae na na mpira."
Xabi Alonso akiwa na maelezo mengi juu ya ushindi wa 3-0 wa timu yake ya Leverkusen dhidi ya Bayern.
Mambo ya kujifunza
Kuna wachezaji wakipata mpira wanatakiwa kupasi haraka haraka kwani hawawezi kumiliki mpira wakijaribu kukaa nao wananyang'anywa
Mfano kwetu wa klwanza ni Mudryk, Broja kabla hajaondoka na hata Caicedo, sometime Sterling, Chilwell, Gallagher
Wachezaji wenye uwezo wa kukaa na mpira na kuutendea haki
Enzo, Madueke, Jackson, Nkuku, Gusto, Chukwuemeka, Palmer
Mabeki sikuwataja kwa sababu hawatakiwi kukaa na mpira ikiwa kua presure na opponent karibu