Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

1707675751227.png
 
Kuidhamini hii tim kwa sasa inahitaji moyo[emoji23][emoji23] maana hujui wakat gani watashinda
😂😂😂 inatia hasira, ila ndio hivyo kibahat bahat tutatetea nafas yetu y 10. tukitolewaga pale tunakuaga kama mbogo kutaka kurudi pale, utaona leo jinsi tunavyoitetea nafasi yetu y 10, tuna hati miliki nayo, msimu mzima tumeishi hapo.
 
Mnatumia pesa kuwahadaa madogo (wachezaji) wasaini darajani, alafu mnakuja kulalamika eti "wachezaji wetu wengi hawaipendi timu"
 
Tanesco wamekata umeme game nalichungulia livescore, naona ball possesion tunaongoza kwa 80% on target 0, Palace on target 2.
Imekaaje hii.
 
Tanesco wamekata umeme game nalichungulia livescore, naona ball possesion tunaongoza kwa 80% on target 0, Palace on target 2.
Imekaaje hii.

Na tushapigwa kimoja[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Possession ambayo haina manufaa[emoji16][emoji16][emoji16] mnakaa na mpira hamna threat yoyote mnayoonesha[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Na tushapigwa kimoja[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Possession ambayo haina manufaa[emoji16][emoji16][emoji16] mnakaa na mpira hamna threat yoyote mnayoonesha[emoji23][emoji23][emoji23]
Aisee bora tupgwe tu, maana hamna namna. Pengine Poch atatimuliwa
 
Aisee bora tupgwe tu, maana hamna namna. Pengine Poch atatimuliwa

Watu huwa wabishi sana humu ndani.
Watakuwa kupoint mistake ya madueke wanasahau uchezaji wetu

Kwa uchezaji huu tunaweza cheza hata dakika 520 na bado tusipate goal[emoji1787]

Kushinda against Villa wanahisi ni bonge la Kocha wanasahau kuwa villa wenywe walikuwa open

Against A low block team Poch hana uwezo huo na wachezaj wake wa kukimbia wakina Galagher katila game inayohitaj creativity


Against big boys away tuko hapa[emoji23][emoji23]

42mins hatuna attempt yoyote[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Guys, sikutegemea kuwa Chelsea ndio tuko serious hvy.!
Rasmi nimenyanyua mikono juu KMMK
 
Guys, sikutegemea kuwa Chelsea ndio tuko serious hvy.!
Rasmi nimenyanyua mikono juu KMMK

Tukisema hapa huwa tunaambiwa tunachuki na Kocha

Haitaji kuwa na degree kuona uozo tulionao na haitaj uwe na degree kujua wachezaj wangu niliwachezesha hiv napata ubora wao.

Wote tutaimba lugha moja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom