Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Huu hapa msumari mwingine wa utosi kwa wale wanaopenda kuona Poch anatimuliwa. Lakini tujiulize swali moja mpaka kufikia Poch kutoa kauli hizi means anajiamini na kujiamini huku kunatokana na aidha kupewa nguvu na management haijulikani wamezungumza nini juu ya mustakabali wake.

Tuemdelee kunywa supu, kama unahisi chumvi nyingi ongeza maji.

Hizo ni propaganda tu.

Nini maana ya kutumia 1B kwenye usajili, If ni project ilikuwa ni taratibu unasajili kama Liverpool.

Do you know inamaana gani hiyo? Financially
Unajua why Msim huu tunahitaji kurudi kwenye ueropean night (UCL,UEL or UECL)

If unahis ni project ya 3yrs kaa hapo usubir what will happen katika miaka 3 ambayo hushiriki uefa, ushindi kombe lolote then angalia kipi kitatokea
 
Ndg hauko kwenye uhalisia
Kwanza ulichokiandika ni correct 100%
Malalamiko yetu sio afanye maajabu ya top 4 au kubeba makombe
Hata hii Carabao na FA asipobeba ahakuna shabiki atakayemlaumu
TATIZO KUBWA NAANDIKA KWA HERUFI KUBWA UELEWE
  • Hana progress nzuri na timu
  • Anavyoikochi timu haionyeshi kuwa hii timu itakuja kuwa nzuri within 2 or 3 years
  • Anapanga timu hovyo
  • Anawaweka wachezaji nje ya nafasi zao hata pale walipoproof kuwa hawafanyi vizuri
  • Anafanya sub za kitoto sana
  • ameshindwa kabisa kuifanya timu icheze agressively
  • Ameshindwa kabisa kuweka balance kwenye mildfield
  • ameshindwa kabisa kutafuta dawa ya chelsea kutoboka kule nyuma, kan'ang'ana na 4-2-3-1 ambayo kwa wachezaji tulionayo inaonyesha haifanyi timu kuwa Solid
  • Kauli zake kwenye media ni hovyo sana, haionyeshi uwajibikaji
Hata ukipeleleza kwenye maoni ya mashabiki wengi dunianbi wanalalamikia the same thing kama nilivyoandika hapo juu

Mechi ya jana ni kwa sababu Villa walikuwa kwenye low form yao hawakucheza ile game yao ya haraka na ung'ang'anizi kwenye kumiliki mipira.

Conclusion
T%unajua timu ni changa
Tunajua kuwa hawana experience
tunajua kuwa wengi wao ni mara ya kwanza kucheza pamoja
tuinajua pia kuwa Pochettino bado hajaleta wachezaji wake
Lakini kama yeye ni elite coach, aonyeshe improvement klwa hao wachezaji
1. Chilwel, James, Gusto, Cuculera injured, wewe kama mtaalamu unamchezesha nani full back wa kushoto na kulia kwa wachezaji tulio nao wengine?

2. Hatuna typical namba sita na hivyo usitegemee mabeki kuwa stable. Muda wote tunaposhumbuliwa huwa unamtazama Caisedo yuko wapi na anafanya nini?
 
1. Chilwel, James, Gusto, Cuculera injured, wewe kama mtaalamu unamchezesha nani full back wa kushoto na kulia kwa wachezaji tulio nao wengine?

2. Hatuna typical namba sita na hivyo usitegemee mabeki kuwa stable. Muda wote tunaposhumbuliwa huwa unamtazama Caisedo yuko wapi na anafanya nini?

Kuna game kibao Gusto mzima ila anachezeshwa LB huku RB Disasi
Kuna game za mwanzoni Chilwel N Cucu wazima ila Colwil ndie LB huku Chilwel Lw

Ukawa na Matsen ambaey Pre season nzima umemtumia why kwenye league humpi nafasi mpka huyo Dortmund ameenda

Jiulize game ngapi Sterling anazingua ila madueke akizingua game moja tu ijayo haioni


Yuko too rigid
 
Hizo ni propaganda tu.

Nini maana ya kutumia 1B kwenye usajili, If ni project ilikuwa ni taratibu unasajili kama Liverpool.

Do you know inamaana gani hiyo? Financially
Unajua why Msim huu tunahitaji kurudi kwenye ueropean night (UCL,UEL or UECL)

If unahis ni project ya 3yrs kaa hapo usubir what will happen katika miaka 3 ambayo hushiriki uefa, ushindi kombe lolote then angalia kipi kitatokea
Toka wamiliki wanachukua timu walishaweka wazi wana project ya miaka 5 ndio mpaka Potter kusajiliwa lakini wewe uko hapa unanibishia utafikiri mimi ndio nimesema. Its either Poch ataendelea kuwepo au hata asipokuwepo yoyote atakayekuwa kocha mkuu lazima ataajiriwa kwa kuzingatia matakwa ya wamiliki.
 
Toka wamiliki wanachukua timu walishaweka wazi wana project ya miaka 5 ndio mpaka Potter kusajiliwa lakini wewe uko hapa unanibishia utafikiri mimi ndio nimesema. Its either Poch ataendelea kuwepo au hata asipokuwepo yoyote atakayekuwa kocha mkuu lazima ataajiriwa kwa kuzingatia matakwa ya wamiliki.

Mkuu inaweza kuwa ni project ila hakuna project unayotumia 1BN kwenye usajili ndani ya madirisha 3 ya usajili.

Tusipofuzu mashindano youote ya ulaya ndani ya misim miwili tutakuwa na hali mbaya sana + ffp.

Jiulize why Boehly anataka kuexpand uwanja, why msim huu priority kubwa ni kurudi kwenye michuano ya ulaya?


Why msim huu tu ulikuwa mgumu kupata mdhamini baada ya 3 mkataba wake kuisha?

Inshort bila kushinda o kurudi kweny michuano ya ulaya tegemea more loss ——> FFP
 
Ninachopinga hapa ni taswira mnayomtetea Caicedo kuwa sio mkabaji, wakati kipindi cha usajili mlikua mkichuana na Liverpool kusajili kiungo mkabaji.

Mwisho wake Liverpool wakamkosa nyie mkampata, Liverpool wakalazimika kumchezesha McAllister out of position kutoka CAM mpaka kuwa CM ili wacheze pivot wapate structure nzuri ya ukabaji, angalia sasa hivi wapo wapi kwenye msimamo.

Hii excuse ya kusema Caicedo sio natural DM ni kwa sababu ya floppiness aliyonayo kwenye ukabaji kwa sasa, kwa sababu tunamjua Caicedo wa Brighton alivyo aggressive na mzuri kiukabaji, wengi tulikua tukimtabiria kuja kuwa DM bora EPL na alikua akichukuliwa km mkabaji.

Sio dhambi kiungo mkabaji kulainika na kuwa box to box, kama ilivyo kwa Rodri na sasa tunaona kwa Rice, ila haibadili fact kwamba Caicedo ni DM.View attachment 2897852
Kumbe hizo ndizo zinakuponza, mengi yanaandikwa na hizo directories za washikaji, hapa tunazungumzia uhalisia wa mchezaji not from written bogust post and rattings za kuboresha visits za hizo directories. Caicedo anachezeshwa DM na anaharibu kwa sababu sio role yake. Hata makocha nguli wanakuwaga na different opinions kuhus nafasi sahihi ya wachezaji kadha
Mimi simjudge Caicedo kwa hizo historia na posts zinazowakilisha maoni ya watu kama mimi
Kante tuliaminishwa kuwa ni DM na Sarri alipombadilishia majukumu watu wakalia, wakalalamika, kaja Lampard kaendlea kumfanya b2b, kaja TT kaendelea kumfanya b2b hadi akatuwezesha kubeba UCL
Story hiyo hiyo tunaaminishwa kuwa Caicedo DM sawa sasa anacheza kwa sababu hatuna DM natural, ila akipatikana hutamuona Caicedo akichezeshwa kwenye Dm labda kocha rigid kama Poche tu ndie atakayeng'ang'ania kumchezesha hapo
Caicedo is not a natural DM hata kama anachezeshwa hapo. Utakuja kurudia haya maoni baadaye
 
Mkuu inaweza kuwa ni project ila hakuna project unayotumia 1BN kwenye usajili ndani ya madirisha 3 ya usajili.

Tusipofuzu mashindano youote ya ulaya ndani ya misim miwili tutakuwa na hali mbaya sana + ffp.

Jiulize why Boehly anataka kuexpand uwanja, why msim huu priority kubwa ni kurudi kwenye michuano ya ulaya?


Why msim huu tu ulikuwa mgumu kupata mdhamini baada ya 3 mkataba wake kuisha?

Inshort bila kushinda o kurudi kweny michuano ya ulaya tegemea more loss ——> FFP
FFP inafanyiwa calculations ndani ya miaka mitatu na ndio maana kwa sasa UEFA na FA wamenyamaza kwanza
Hiyo miaka mitatu ikiisha bila kubeba makombe makubwa itakayobalanzisha mahesabu, lazima tutalimwa tena sana
 
Toka wamiliki wanachukua timu walishaweka wazi wana project ya miaka 5 ndio mpaka Potter kusajiliwa lakini wewe uko hapa unanibishia utafikiri mimi ndio nimesema. Its either Poch ataendelea kuwepo au hata asipokuwepo yoyote atakayekuwa kocha mkuu lazima ataajiriwa kwa kuzingatia matakwa ya wamiliki.
Ndg, project haina shida ya miaka 5, execution yake ndio yenye shida kwa sababu hao wamerakni feki hawakufocus mafanikio ya muda mfupi na muda wa kati. Kama tutasubiri miaka 5 ndipo tuanze kubeba makombe tutaanzisha crisis na FFP kwa UEFA na FA na penalties hizo zitasababisha Chelsea ishuke daraja ukichukulia maanani hatufanyi vizuri kwenye ligi
 
Caicedo ni DM
Kwa uhalisia na alivyocheza Chelsea hii miezi 6, Caicedo ni b2b zaidi ya DM
Natural DM ni mfano wa Makelele na Esien kwa wale mnaoijua Chelsea ya zamani
Caicedo style yake ya uchezaji ni wa kuzunguka uwanja mziam kama akina Kante nk. Mufuatilie mchezaji ndipo mkoment
 
Kumbe hizo ndizo zinakuponza, mengi yanaandikwa na hizo directories za washikaji, hapa tunazungumzia uhalisia wa mchezaji not from written bogust post and rattings za kuboresha visits za hizo directories. Caicedo anachezeshwa DM na anaharibu kwa sababu sio role yake. Hata makocha nguli wanakuwaga na different opinions kuhus nafasi sahihi ya wachezaji kadha
Mimi simjudge Caicedo kwa hizo historia na posts zinazowakilisha maoni ya watu kama mimi
Kante tuliaminishwa kuwa ni DM na Sarri alipombadilishia majukumu watu wakalia, wakalalamika, kaja Lampard kaendlea kumfanya b2b, kaja TT kaendelea kumfanya b2b hadi akatuwezesha kubeba UCL
Story hiyo hiyo tunaaminishwa kuwa Caicedo DM sawa sasa anacheza kwa sababu hatuna DM natural, ila akipatikana hutamuona Caicedo akichezeshwa kwenye Dm labda kocha rigid kama Poche tu ndie atakayeng'ang'ania kumchezesha hapo
Caicedo is not a natural DM hata kama anachezeshwa hapo. Utakuja kurudia haya maoni baadaye
Mjomba una kichwa kigumu sana.. Nitakuja na namna nyengine ya kukuelewesha ili uelewe, kwa sasa ngoja nikuache, utashusha glucose level yangu tu!
 
 

Attachments

  • ssstwitter.com_1707393762631.mp4
    8 MB
Mjomba una kichwa kigumu sana.. Nitakuja na namna nyengine ya kukuelewesha ili uelewe, kwa sasa ngoja nikuache, utashusha glucose level yangu tu!
Wee mjomba uko rigid sana sijui hayo madarasa uliyopita umemuelewaje mwalimu wako
nenda kasome wajomba wenzako wanavyojadili soka usijifungie kwenye bokso la kusoma rating za mablogu tu
Unaweza subscribe wachambuzi nguli wa soka Twitter wako wengi sana

View: https://www.reddit.com/r/footballmanagergames/comments/14uxvbk/caicedos_best_role_position/
 
Pochettino akishinda makombe mawili ya FA na Carabao nitakuja hapa kupiga magoti na kutubu na kuachana na sera ya #PochettinoOUT
 
  • Thanks
Reactions: K11
Kati ya kitu wamarekani huwa hawakosei kwenye mahesabu ya pesa katika biashara. Kuna njia nyingi za kugenerate mapato na njia kuu kwa Chelsea ni kuuza wachezaji wa academy ili kupata pure profit. Mchezaji kama Galagher, Chalobah na academy players ambao ni injury prone wanaweza kuuzwa
 
Kati ya kitu wamarekani huwa hawakosei kwenye mahesabu ya pesa katika biashara. Kuna njia nyingi za kugenerate mapato na njia kuu kwa Chelsea ni kuuza wachezaji wa academy ili kupata pure profit. Mchezaji kama Galagher, Chalobah na academy players ambao ni injury prone wanaweza kuuzwa
Gallagher?????
 
1. Chilwel, James, Gusto, Cuculera injured, wewe kama mtaalamu unamchezesha nani full back wa kushoto na kulia kwa wachezaji tulio nao wengine?

2. Hatuna typical namba sita na hivyo usitegemee mabeki kuwa stable. Muda wote tunaposhumbuliwa huwa unamtazama Caisedo yuko wapi na anafanya nini?
Hizo za injuries zilikuja baadaye, tangu mwanzo Pochettino alikuwa sturbone. Alimchezesha Chilwell kama LW hata baada ya kuboronga mara kadhaa. Kumbuka pia alimchezesha Enzo kama no. 10 na kumfanya Gallaher kama no. 8 baadaye akaamua kumrudisha Enzo kwenye no. 8. Mabadiliko kwa sababu ya injuries inajulikana
Kilichouma zaidi ni kumzika Maatsen ili tu kijana wake Colwill acheze LB.

Kama natural 6 hayupo kwa nini anga'ga'ne na hiyo formnation inayomuhitajki DM. si awe flexible, kwani lazima tu 4-2-3-1?? si ziko 4-4-2 au 3-4-3 NK. Mbona akina Conte a TT walibadilika kulingana na wachezaji waliopo na ikafanya kazi?
Elite Coaches always make changes to adapt to environements that work best for the team.
 
Hizo ni propaganda tu.

Nini maana ya kutumia 1B kwenye usajili, If ni project ilikuwa ni taratibu unasajili kama Liverpool.

Do you know inamaana gani hiyo? Financially
Unajua why Msim huu tunahitaji kurudi kwenye ueropean night (UCL,UEL or UECL)

If unahis ni project ya 3yrs kaa hapo usubir what will happen katika miaka 3 ambayo hushiriki uefa, ushindi kombe lolote then angalia kipi kitatokea
Kitakachotokea ni mapato kuporomoka, dhamani ya wachezaji kushuka. Timu haitapata mapato makubwa kutoka kwenye matangazo, makombe na kuuza wachezaji, kitakachotokea ni kuanza crisis na UEFA FFP na FA FFP, kupigwa ban, fine na deductions za points and eventually tunaweza ishia Championship kiutani utani tu. Wanaoona mbali wanajua haya niliyosema
 
Ian Maatsen Yesterday
1 assist
1 key pass
1 big chance created
1 Hit Woodwork
4 Passes into the final third
55/58 (95%) Pass accuracy
3/4 (75%) Cross accuracy
4/11 (36%) Ground duels
2 Clearances
3 Recoveries

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom