Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Angalia kwa mfano goli la wazi la Sterling, yuko pale Palmer na Jackson na goli tupu
Angalia uchezaji wa Jackson, huyo hata kumsubiri akue haifai, ni aibu kwa Chelsea kuwa na mchezaji kama Jackson
It is an abomination and insult

Kwa kocha anaejielewa hawa wote wangeanza sugua bench ili akili zikaw sawa.

Ila kwa sababu tuna wamiliki wa hovyo baadala ya kutatua tatizo ndio kwanza wanakimbilia kwenye PR na Kwenye kusajili
Hata aje nani as long as kocha bado ni Pochetino hii hali itaendelea
 
Kuna wachezaj hata wafannye vibaye aje ila mechi ijayo watakuwepo

Halaf kuna wachezaj hata wafanye vizuri wakitokea sub bado mechi ijayo wataanzia bench.
 
Hakuna mchezaji atakaeimprove chini ya Pochetino.

Kila mchezaji chini yake Wataonekana hawafai.

Fukuza hiii pochfat

Leta kati ya hawa
Arne Slot
Ruben Amorim
Naglesman
De Zerbi

Alternativ
Endelea fatilia maendeleo
Xabi Alonso
Farioli

Muone kama kuna wajinga watakuwa wanatusumbua kila gameweek
 
Kwa kocha anaejielewa hawa wote wangeanza sugua bench ili akili zikaw sawa.

Ila kwa sababu tuna wamiliki wa hovyo baadala ya kutatua tatizo ndio kwanza wanakimbilia kwenye PR na Kwenye kusajili
Hata aje nani as long as kocha bado ni Pochetino hii hali itaendelea
Kuwa na Jackson an Broja uwanjani ni bora kucheza nusu. Hawana msaada wowote hao mabegwe
 
Chelsea ina cheza vizuri sana kama mapungufu yapo ni madogo sana !



Ball linatembea sana tu , kuna movement una ziona !!


Changamoto yao kubwa hawana namba 9 anaye jua kazi.


Kuwategemea Palmer na Rahim kupata magoli ni Dhambi hii !!


Beki za kati za Chelsea zina mapungufu hakuna kiranja , hakuna Swiper kama Wolves wangekuwa na washambuliaji hatari aisee


Chelsea angeliwa , Ila Man United imeoza yote hadi kocha wao uozo tu

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Tunawamiliki wasio na uelewa hata kidogo na mpira. Project na pochettino tayari ni failure inahitaji decision full stop
Kocha timu imemzidi uwezo wachezaji wanafanya silly mistakes na hukuna wanachohofia kutoka kwa kocha, sub ya broja&Jackson ilitakiwa ifanyike hata kabla ya dak 30
Nidhamu ya timu ipo chini wachezaji wanapata kadi za njano kwa matukio ya kitoto kocha hana say
Sterling ni kama anacheza ndondo mtaani anafanya anachojisikia uwanjani ilihali akijua mechi inayofuata lazima atapangwa
 
Halaf kuna Watu mnamtetea

Hembu mtuoneshe tactical anazofanya Pochetino zinazoleta matokeo au ambazo zinazoonekana

IMG_1097.jpg
 
Halaf kuna Watu mnamtetea

Hembu mtuoneshe tactical anazofanya Pochetino zinazoleta matokeo au ambazo zinazoonekana

View attachment 2851823
Siku Chelsea SC ikishinda mechi 4 tu mfululizo mtanistua nije kutamba jukwaani, Pochettino anasababisha wengine tusionekane sababu nnzi wa Arsepimbi, Mwantesa Utd, Liverkuku na Mwacity hujaa sana humu.

Machezaji yanacheza hayana morali wala kujiamini kama Makolokolo?

Jackson ni Bahanuzi aliyechangamka kabisa yani mlaini kuliko hata mlenda wenyewe.

Kila siku tatizo ni lile lile timu zinazopaki basi zikishambulia kwa counter attacks lazima Chelsea SC iachie points.

Kocha gani habadiliki wala kuwa na plan B ikiwa plan A ilifeli tena mara nyingi tu?

Pochettino ni midtable Coach kiuwezo, Washabiki Maandazi endeleeni tu kukaza mafuvu "tumpe muda" mkistuka Chelsea SC iko nafasi ya 15 au inashuka daraja.

Fukuza Pochettino haraka sana

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Staki kuamini kama tulikaa almost miez 3 tukitafuta kocha tukawaacha Naglesman etc tukaja kumuona Pochetino
 
Chelsea ina cheza vizuri sana kama mapungufu yapo ni madogo sana !



Ball linatembea sana tu , kuna movement una ziona !!


Changamoto yao kubwa hawana namba 9 anaye jua kazi.


Kuwategemea Palmer na Rahim kupata magoli ni Dhambi hii !!


Beki za kati za Chelsea zina mapungufu hakuna kiranja , hakuna Swiper kama Wolves wangekuwa na washambuliaji hatari aisee


Chelsea angeliwa , Ila Man United imeoza yote hadi kocha wao uozo tu

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Ukilinganisha mpira walioucheza Arsepimbi na Liverkuku 23/12/2023 utagundua Chelsea SC hawana hadhi ya kucheza kabisa EPL maana mpira Wachezaji hawakabi, Beki zinarudia rudia makosa ya kipuuzi mara nyingi tu, hakuna Mchezaji anayejaribu kupiga mashuti ya mbali zaidi ya Gallagher pekee, hawatumii nafasi za wazi kumaliza mashambulizi japo si wote.

2024 bado Chelsea SC tutaendelea kuwa wasindikizaji bora tu EPL, tusisahau kujiandaa kisaikolojia kuvumilia maumivu yasiyokoma.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Angalia kwa mfano goli la wazi la Sterling, yuko pale Palmer na Jackson na goli tupu
Angalia uchezaji wa Jackson, huyo hata kumsubiri akue haifai, ni aibu kwa Chelsea kuwa na mchezaji kama Jackson
It is an abomination and insult
Afu kuna Kenge hukataa duniani hakuna bahati, hivi Jackson anachezaje Ulaya tena EPL ilihali Mayele anacheza Africa? Inafikirisha sana.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
if unahisi shida ni wachezaji

Kipi tumefanya uwanjani hapo ndio watu wanapolalamika
Je kunapattern yoyote ya kiuchezaji??
Why unawatumia wachezaj nje ya nafasi zao ?
Why Game nyingi tunaruhusu magoal ya vichwa huku almost CB zetu ni 6.0+ kwenye urefu
Mabeki ni mdebwedo Mtu anaruka free header afu beki anamshika shati au anamkumbatia kwa chini, nawakumbuka sana akina Terry, Ivanovich na Canavaro walivyokuwa wakatili kutocheka na kima kwenye penalty box.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom