

Hapa Chelsea ndio analazimishwa na ndio maana anacheza vibayaSi kiungo mkabaji, anaunganisha midfield na defence
Ahsanteni wamiliki kwa MAAMUZI yenu ya ovyo kwenye kuendesha hii timu, Ahsanteni pia kwa kuifanya THE BLUES mid table team.
Nimekubali matokeo nimenyoosha mikono juu.



piga hao mpaka akili zikae sawa


Hakuna mchezaji hapoAkicheza no. 10 au wide winger Jackson anawazidi wengi pale kwa sababu kuu chache
Ana uwezo wa kupokonya mipira
Ana uwezo wa kuhold mpira
Ana uwezo wa kuwatoka mabeki na kutoa assists au strategic passes
Jackson hapendi pasi za kinyumenyume
Bado ni mdogo na ataendelea kukomaa
Tatizo lake kubwa hana confidence na goli basi hapo tu



Wamiliki wanakuja baadaye, tatizo la msingi ni la huyu FRAUD COACHAhsanteni wamiliki kwa MAAMUZI yenu ya ovyo kwenye kuendesha hii timu, Ahsanteni pia kwa kuifanya THE BLUES mid table team.
Nimekubali matokeo nimenyoosha mikono juu.View attachment 2894250