Cash Money Forever
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 720
- 1,314
FA inampa hisani Klop angalau abebe EPL ya kwaheriWazee vipi kuondoka kwa Salah kwenda AFCON Liverpool bado itapoteana?
FA inampa hisani Klop angalau abebe EPL ya kwaheriWazee vipi kuondoka kwa Salah kwenda AFCON Liverpool bado itapoteana?
Hahaha sasa mkuu unakuwa mkali mambo yanavyokwenda vibaya wakati huu, wakati wewe na Lembu mlituaminisha Poche ni bonge la kocha:-
Anaibua , kunoa na kukuza vipaji
Pattern zake za uchezaji ni zaidi ya Pep.
Tutegemee mpira wa makombe
Bahati nzuri members hapa tumetokea kuwaamini sana katika uchambuzi, labda mliteleza bahati mbaya kumsifia Poche
Ngoja nitafute hizo post zenu sio kwa ubaya lakini.
FA inampa hisani Klop angalau abebe EPL ya kwaheri
Acha kujitoa ufahamu, wenzio wanajua mlipewa mbeleko ndio mana wametulia, wewe kucha unajipitisha humu. Si utulie. na ushindi wenu wa mezani.Kwahiyo kina Modricky na Palmar wamekatazwa na FA wasifunge na wakakubali wakati kina Jota wao wameruhusiwa na FA wafunge?
Debut alianza na assistFofana kufunga 2 huko Burnley
Debut alianza na assist
Mechi ya pili 2 goals
Tunaweza tukabadilisha mwelekeo kwenye usajili wa striker msimu wa kiangazi
Update: Sorry hio assist hakuipatia Burnley, kumbe mechi ya jana ndio debut yake a akafunga goli 2
Debut alianza na assist
Mechi ya pili 2 goals
Tunaweza tukabadilisha mwelekeo kwenye usajili wa striker msimu wa kiangazi
Update: Sorry hio assist hakuipatia Burnley, kumbe mechi ya jana ndio debut yake a akafunga goli 2
Kumbe zote kaingia kama Sub, naona mechi zijazo ataanzaAlitoa Assist dhid ya Man City licha ya kufungwa 3-1
Kuna sehemu akasema alimuacha Maatsen kwa sababu uongozi ulimuweka kwenye ratiba ya kuuzwa nikajibu mbona na Gallagher aliwekwa kwenye ratiba kama hiyo hiyo lakini kila mechi hakosi?Kwa kocha gani kwanza? Kama Matsen kamuona hafai unahisi Fofana atamuona anafaa
Kuna sehemu nimesom kuwa Chelsea wameamua kumjumuisha Chalobah kwenye timu ya kwanza
Mwaswali
Kwani alikuwa ametolewa?
Si alikuwa ni majeruhi?
ila kwa wengine wakicheza vibaya tu nikosa