juan david
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 3,952
- 5,438
HT. Che 1-2 Wolves
Hawa wachezaji wa Pochettino hawako agressive na mpira kabisa na ndio inayowaangusha
Pia ball contrtol ni mbovu kabisa a wanazidiwa na Woles
Wolve wako na mpira mara chache ila wakipata ball control na agresisveness inawafavours
Too much to watch this Chelsea shit
Mabeki hawajui kutumia miili yao kucheza mpira, wanazuia mashuti kistaharabu mno ona sasa two deflections two goals
Daah. Sema mwenyeweMabeki hawajui kutumia miili yao kuzuia mashuti, wanazuia mashuti kistaharabu mno ona sasa two deflections two goals
Hapana mkuu ni vizuri wachezaji wacheze kwenye position zao. Hapo ni kuharibu mchezajiCaicedo anatengeneza na kuharibu. Ana matatizo gani jamani. Anakaa na mpira hadi anyang'anywe na hajifunzi
May be lile wazo langu la Caicedo kucheza mbele ilikuwa na sense. Kule mbele ni mzuri au apigwe bench, wapewe wale academy nafasi. Yuko Casadei na Castledine ni wazuri
Kwai Caicedo nafasi yake ni ipi?Hapana mkuu ni vizuri wachezaji wacheze kwenye position zao. Hapo ni kuharibu mchezaji
Si kiungo mkabaji, anaunganisha midfield na defenceKwai Caicedo nafasi yake ni ipi?






cunhaaa 3-1Hawa jamaa Wana allergy na timu zinazovaa jezi nyekundu hakyanani....na leo yameshanichania mkeka wanguMpaka mseme!