Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

1706119260426.png
 
Hivi januari hii hatufanyi usajili ya mshambuaji? Make akina Broja na Jackson pale mbele wameshindwa kabisa
 
Lundo la wachezaji wote tulionao tusajili tena? Wachezaji wanaendelea kuimarika. Tunae PALMER
Chelsea wana pesa nyingi sana ...wawauze Zyche Hakim, Kepa na Lukaku then walete forward wa kueleweka darajani haiwezekana tuwe tunaongoza kwa kutengeneza nafasi ya kufunga then akina Jackson na Broja wanachezea hizo nafasi.
Hao wachezaji tukiwauza wote kwa pamoja hatuwezi kukosa 40
 
Hakuna mchezaji hapo
Akicheza no. 10 au wide winger Jackson anawazidi wengi pale kwa sababu kuu chache

Ana uwezo wa kupokonya mipira
Ana uwezo wa kuhold mpira
Ana uwezo wa kuwatoka mabeki na kutoa assists au strategic passes
Jackson hapendi pasi za kinyumenyume
Bado ni mdogo na ataendelea kukomaa
Tatizo lake kubwa hana confidence na goli basi hapo tu
 
Yaani unatetea hadi matakataka!
Akicheza no. 10 au wide winger Jackson anawazidi wengi pale kwa sababu kuu chache

Ana uwezo wa kupokonya mipira
Ana uwezo wa kuhold mpira
Ana uwezo wa kuwatoka mabeki na kutoa assists au strategic passes
Jackson hapendi pasi za kinyumenyume
Bado ni mdogo na ataendelea kukomaa
Tatizo lake kubwa hana confidence na goli basi hapo tu
 
Leo tuko vs Aston Villa katika round ya 4 ya FA CUP.

Ni game muhimu kuonesha kama tumepiga hatua au tuko pale pale.

Ps.
Poch Out
 
Kitakachotufanya tushindwe au tushinde leo ni mambo matatu tu
  1. Kuepuka individual mistakes
  2. Kuwa wakatili golini
  3. Kuwachezesha wachezaji sehemu zao ambazo watacheza vizuri
Najua Chilwell hatacheza, Nkunku hatakuwepo

Nafasi ya LB itakuwa wazi kwa Colwill tu
Nafasi ya RB itakuwa wazi kwa Disasi tu

Line up leo itakuwa hivi

Confirmed line up vs Aston Villa today

---------------- Palmer -------------------

Sterling ---------Gallagher----------Madueke

------Enzo -------------------Caicedo------

Colwill ------Badiashile ------Silva------Disasi

---------------- Petrovic -------------------

Sub
  1. Bergstrom,
  2. Gilchrist,
  3. Chilwell,
  4. Williams,
  5. Castledine,
  6. Chukwuemeka,
  7. Mudryk,
  8. Broja,
  9. Washington
 
Watu wamejaliwa bahati sana, Baba Rahma bado ni mchezaji wa Chelsea tu?
Mganga wa David Fofana ndiye balaa yaani mchezaji analipwa zaidi ya paund 200,000 kwa wiki na bado hakucheza na akatolewa kwa mkopo

Sidhan kama David fofana anapata hiyo, hata Enzo tu hapati hiyo only sterling na james
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom