Kule Twitter wale waliokuwa wakijitahidi kumtetea Pochettino wameshasalimu amri. Too sturbone
Huyu Vince alikuwa anmtetea sana Poche. Je huku Jamii akina
Southern Highland
Cash Money Forever
Bado mnasimama na Poche?
View attachment 2894244



Kwahiyo unataka kusema sasa hivi Enzo ni kiungo mkabaji na Caicedo ni offensive mid? 😂Hapa Chelsea ndio analazimishwa na ndio maana anacheza vibaya
Caicedo ni box to box midfielder ambaye anacheza mbele zaidi, Ana uwezo wa kukaba lakini anakuwa mzuri akisaidia mashabulizi. Unaweza ita CM maana box to box wengi ni CM. Enzo anajua kukaba zaidi ya Caicedo na kilio ya wengi ni Enzo acheze deep amuachie Caicedo acheza advanced roles
Wewe ndie umesemaKwahiyo unataka kusema sasa hivi Enzo ni kiungo mkabaji na Caicedo ni offensive mid? 😂
Mtatafuta kila namna ya kumtetea Caicedo lakini kiuhalisia mmepigwa pakubwa.. Caicedo alikua analindwa na system. Kununua mchezaji wa system kwa £115 mil ni uongo!
Tumpe mitano tena, unasemajeHaya muda wa kulaumu Poch umefika
Kwahiyo unataka kusema sasa hivi Enzo ni kiungo mkabaji na Caicedo ni offensive mid?
Mtatafuta kila namna ya kumtetea Caicedo lakini kiuhalisia mmepigwa pakubwa.. Caicedo alikua analindwa na system. Kununua mchezaji wa system kwa £115 mil ni uongo!