Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Usifananishe kihivyo mkuu, Serie A na EPL tofauti. Mwenzako katoa mfano wa Spurs ambayo inacheza EPL. Na hata kule Serie A, pulisic ni yule yule wa mabao 6 hadi 8. kwa vile ligi dhaifu anaweza akajitahisi akafikisha goli 10 kwa msimu. Sasa hapo kaongeza nini?
Mkuu nitake radhi. Mimi nimeongea vitu vinavyofanyika wewe unaongea theories yan vitu ambavyo bado havijatokea. Nimetolea mfano wa Spurs sijui umeipotezea wapi hiyo mada.

Hakuna sehemu namremba Poch na sina sababu hiyo. Anaangushiwa lawama sasaivi na ndiye atakayekuja kufukuzwa ila nyuma kuna uzembe mkubwa wa viongozi, period
 
Club kubwa kama THE BLUES ni kituko sana kujenga timu kwa wachezaji kindergarten.

TODDY alichemsha sana kwenye hili, kubeba ubingwa EPL timu inahitaji kuwa na matured experience players mix na kindergarten wasiozidi 2 ambao ni sub

Kuwa na hawa kindergarten players wengi THE BLUES itaishia kuwa kama Brighton kusindikiza wanaume kwenye ubingwa kila msimu.
Wezentu wakati wana fanya usajili sisi the blues tulikuwa sokoni tunanunua mazagazaga.

cash money forever:voice
 
Ladder449.png
 
NDugu acha kukariri mpira. Mpira ni science lazima ufuate taratibu kufikia lengo fulani. Huyu Pulisic aliyekua anatoka anachechemea kila baada ya mechi 3 leo hii ni mchezaji tegemeo kule Milan ndani ya nusu msimu keshachangia magoli ambayo kwa huku Chelsea alikua anachangia msimu mzima. Ruben Loftus Cheek kila mechi anaanza kule. Kwanini huku majeruhi ni walewale kila msimu. James, Chilwell, Fofana na ni majeruhi wanakaa muda mrefu.

Hili hambo huwezi lipuuzia kwa sababu hawa ni watumishi kwa hiyo ni expenses kwa timu
Poche hafundishi mpira wowote wa kisayansi, acheni kumremba kihivyo. tulishasema Pulisic hakuongeza chochote kule serial a,m kaenda tu kwenye ligi anayoiwezea
 
Mkuu nitake radhi. Mimi nimeongea vitu vinavyofanyika wewe unaongea theories yan vitu ambavyo bado havijatokea. Nimetolea mfano wa Spurs sijui umeipotezea wapi hiyo mada.

Hakuna sehemu namremba Poch na sina sababu hiyo. Anaangushiwa lawama sasaivi na ndiye atakayekuja kufukuzwa ila nyuma kuna uzembe mkubwa wa viongozi, period
Hata niongee hadi kesho hutanielewa kwa sababu tuna opinion na perspectives tofauti kabisa kumhusu kocha na ukocha
Kocha ni kama kepteni wa meli. Meli ikipata shida huwezi kwenda kuwalaumu abiria au wasaidizi, that is a rule
 
Hata niongee hadi kesho hutanielewa kwa sababu tuna opinion na perspectives tofauti kabisa kumhusu kocha na ukocha
Kocha ni kama kepteni wa meli. Meli ikipata shida huwezi kwenda kuwalaumu abiria au wasaidizi, that is a rule
Ndio mana wanafukuzwa makocha hawafukuzwi wachezaji.
 
NDugu acha kukariri mpira. Mpira ni science lazima ufuate taratibu kufikia lengo fulani. Huyu Pulisic aliyekua anatoka anachechemea kila baada ya mechi 3 leo hii ni mchezaji tegemeo kule Milan ndani ya nusu msimu keshachangia magoli ambayo kwa huku Chelsea alikua anachangia msimu mzima. Ruben Loftus Cheek kila mechi anaanza kule. Kwanini huku majeruhi ni walewale kila msimu. James, Chilwell, Fofana na ni majeruhi wanakaa muda mrefu.

Hili hambo huwezi lipuuzia kwa sababu hawa ni watumishi kwa hiyo ni expenses kwa timu

League mkuu, Huwez compare Seria A na Premier league

Anyway hizi hapa ni stats za Pulisic
IMG_1744.jpg

IMG_1745.jpg


Hizi hapa ni za loftus cheek
IMG_1746.png
 
League mkuu, Huwez compare Seria A na Premier league

Anyway hizi hapa ni stats za Pulisic
🤣🤣 mkuu naona tutakua na mjadala mrefu ambao sioni mwisho wake. Ukisema ligi kwan huko Seria A hawachezi mpira au hawatumii sheria za FIFA au labda EPL wanachezea kwenye mbigiri? Mpira ni ule ule tu japo ki ubora wanazidiana lakini sio kufikia hatua kusema ukicheza ligi fulani hautapata injury. EPL na Seria A zimezidiana kwa nafasi 1 kama sio mbili kiubora.
 
mkuu naona tutakua na mjadala mrefu ambao sioni mwisho wake. Ukisema ligi kwan huko Seria A hawachezi mpira au hawatumii sheria za FIFA au labda EPL wanachezea kwenye mbigiri? Mpira ni ule ule tu japo ki ubora wanazidiana lakini sio kufikia hatua kusema ukicheza ligi fulani hautapata injury. EPL na Seria A zimezidiana kwa nafasi 1 kama sio mbili kiubora.

Nimekuwekea injury zake hapo sijui utasemaje tena
 
Hata niongee hadi kesho hutanielewa kwa sababu tuna opinion na perspectives tofauti kabisa kumhusu kocha na ukocha
Nadhani ulipaswa kusema hatutaelewana.
Kocha ni kama kepteni wa meli. Meli ikipata shida huwezi kwenda kuwalaumu abiria au wasaidizi, that is a rule
Huu mfano uliotolea ni sawa na kusema timu ifanye vibaya uanze kulaumu mashabiki. Mashabiki hawaajiri kocha, wachezaji au kuchagua wamiliki wa timu.
 
Ukishakuwq na kocha ambae anaona kufungwa ni kawaida jua mpi katika hali ngumu, Kwake kufungwa hata haimuumi

IMG_1747.jpg
 
🤣🤣 mkuu naona tutakua na mjadala mrefu ambao sioni mwisho wake. Ukisema ligi kwan huko Seria A hawachezi mpira au hawatumii sheria za FIFA au labda EPL wanachezea kwenye mbigiri? Mpira ni ule ule tu japo ki ubora wanazidiana lakini sio kufikia hatua kusema ukicheza ligi fulani hautapata injury. EPL na Seria A zimezidiana kwa nafasi 1 kama sio mbili kiubora.
Wewe tu ndie unayelinganisha serie a mlenda mlenda legue na EPL ambayo ni physical league
 
Tungekuwa na forward wenye akili kama huyu tungekuwa mbali

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom