juan david
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 3,952
- 5,438
Kwa Jinsi Petrovic anavyocheza, ni kocha ambae hana akili ndie anaeweza muweka Bench kwa ajili ya lile shati Sanchez
Mechi haitokuwa nyepesi pale villa park ni kama tumeshatoka tayariPoche mzuri sana kwenye mechi 2 za mtoano. 2nd leg Villa anakufa nyingi.
Hivi huyo dogo alicheza nafasi gani jana?Gilchrist ndio alikuwa stopper , alipotoka tu tujapigwa msako wa nyani kwenye shamba la mahindi , Villa wamecheza vizuri baada ya Yule dogo kutoka
Hivi Gilchrist alicheza nafasi gani?Kuna watu huwa hawataki kuliona hili Tukianza muongelea Poch wanahisi tunachuki
Utasemaje game umeikamata na magoli hufungi? Ndio maana sub zilizofanyika ni hasa katika ushambuliaji. Yote ni katika kujaribu namna nyingine ya kupata matokeo na hiyo inaonesha Poch mentality yake haikua kupata sare.Kwani mkuu kuna mtu kasema Chilwel alipaswa kuanza???
Gilchrist kwani alikuwa anacheza vibaya???Jibu ni hapana
Angalia wakat Disas anacheza kama RB na Chilwel kama LB uone kama Villa walikuwa hawatushambulii.
Hakuna anayesema flan angeanza wote tunajua hali ya Chilwel ikoje ila katika Game ambayo umeikamata halaf unafanya Sub na kubadilisha muundo wa team wakat muundo wa kwanza ulikuwa vizuri ni ukosefu wa akili huo.
Kama sub ya Chilwell target ilikua kuanza kushambulia kutokea chini pembeni ndio maana ya ile sub. Hiyo ni ishara yalikua ni maelekezo ya kocha. Wachezaji hawawezi kujichezea tu ili mradiSub alizofanya ndio zimeenda kubadilisha muundo au unahis wachezaj huwa wanaweka muundo wao wenyewe kama maelezo ha Kocha
Poch analazimika kuwachezesha wachezaji out of position kutokana na ufinyu wa kikosi. Hata angekuja kocha gani kwa kikosi hiki mlitegemea kina Gallagher achezaje? Colwill au Disasi? Poch mwenyewe anajua tuna ufinyu wa kikosi na wachezaji average what do you expect hapo?Madueke anacheza vizuri, kosa kosa ya madueke ni kawaida kwa wachezaji wenye umri kama wake. Tatizo la Poche kulalamikiwa ni mfumo wake wa uchezaji na upangaji mbovu wa wachezaji, kupendelea wachezaji fulani na kuwa axe wengine bila sababu. Issue itakayobaki ni mashab iki waliokuwa wakisema wachezaji wa Chelsea ni wa viwango vya chini. na Sisi wengine tunakataa hilo. hawa wachezaji tulionao ni wa viwango vya juu, ubovu ulikuwa kwa kocha kulazim isha mifumo isiyofanya kazi
Sasa mkuu unasema mchezo umeukamata kwa dakika 70 hupati goli utafanya nini? Lazima ufanye sub kujaribu watu wengine uone watafanya nini. Halafu pia sub ni kama kamari pia. Juzi hapa tumeshuhudia game ya Egypt na Ghana. Ghana amecheza vizuri kufikia kupata uongozi wa goli 2-1 lakini kuna sub ya beki ilifanyika jamaa likaingia kuchoma kabisa.Najaribu kumwambia Southern Highland hili jambo hataki kuelewa Sub za Poch huwa majanga wakat mchezo tunapoluwa tumeukamata
Hata tukiungana wote tumchukie Poch au wachezaji hakuna kitu tunaweza badilisha, tunachofanya hapa tunabadilisha mawazo kulingana na kile tunakiona na kukielewa hivyo kwa lugha nyepesi ni kama burudani tu.Kuna watu huwa hawataki kuliona hili Tukianza muongelea Poch wanahisi tunachuki
Hivi jezi yenye jina lake ishawahi kulowa hata tone la jasho huyu jasusi???Naitwa Wesley Fofana nimesajiliwa Chelsea kuja kula mshahara bure, mshahara wa bure ni mtamu nyamnyamView attachment 2884614
We jamaa hujuagi mpira.Hata tukiungana wote tumchukie Poch au wachezaji hakuna kitu tunaweza badilisha, tunachofanya hapa tunabadilisha mawazo kulingana na kile tunakiona na kukielewa hivyo kwa lugha nyepesi ni kama burudani tu.
Back to the topic. Sikua na maana Gilchrist ni mbaya au alikua hasaidii ila nilichomaanisha ni lengo la Coach ni kutaka kushambulia kutokea chini. Hii inasaidia kuongeza idadi ya watu tunaposhambulia.
Nipinge kwa hoja wewe unayejua kama ambavyo nafanya na wengine humu. Otherwise usipende kufuata mkumbo au kufanya kwa hisia soma umuelewe mtuWe jamaa hujuagi mpira.
Hivi huyo dogo alicheza nafasi gani jana?
Utasemaje game umeikamata na magoli hufungi? Ndio maana sub zilizofanyika ni hasa katika ushambuliaji. Yote ni katika kujaribu namna nyingine ya kupata matokeo na hiyo inaonesha Poch mentality yake haikua kupata sare.
Sasa mkuu unasema mchezo umeukamata kwa dakika 70 hupati goli utafanya nini? Lazima ufanye sub kujaribu watu wengine uone watafanya nini. Halafu pia sub ni kama kamari pia. Juzi hapa tumeshuhudia game ya Egypt na Ghana. Ghana amecheza vizuri kufikia kupata uongozi wa goli 2-1 lakini kuna sub ya beki ilifanyika jamaa likaingia kuchoma kabisa.
Haya mambo kwenye mpira ni very normal kutokea. Mlitaka awaxhezeshe wachezaji walewale mwanzo mwisho bado mngesema hafanyi sub![]()
Hata tukiungana wote tumchukie Poch au wachezaji hakuna kitu tunaweza badilisha, tunachofanya hapa tunabadilisha mawazo kulingana na kile tunakiona na kukielewa hivyo kwa lugha nyepesi ni kama burudani tu.
Back to the topic. Sikua na maana Gilchrist ni mbaya au alikua hasaidii ila nilichomaanisha ni lengo la Coach ni kutaka kushambulia kutokea chini. Hii inasaidia kuongeza idadi ya watu tunaposhambulia.
Alicheza RB na Badiashile LB, anacheza pia nafasi za CB, kote ni mzuri kwenye kukabaHivi huyo dogo alicheza nafasi gani jana?
Sub ilishusha agressiveness ya kupress na Aston Villa wakapata mwanya wa kutushambulia, kipa alifanya kama save 3 za maana, angekuwa Sanchez angeachia mbili katika hizo 3. kip-indi cha kwanza tuliwaweka mfukoni Aston Villa ni mabao tu ndizo zilizokosekana kwa sababu ya poor finishing. Badiashile na Gilchrist walimiliki vizuri nafasi za pembeniUtasemaje game umeikamata na magoli hufungi? Ndio maana sub zilizofanyika ni hasa katika ushambuliaji. Yote ni katika kujaribu namna nyingine ya kupata matokeo na hiyo inaonesha Poch mentality yake haikua kupata sare.