Raha sana yani...Chelseeeeeeeeeeeeeeeeeeeeea 4-1
thats ur final cup of the year 2009/10 enjoy it chelsea fans.
teheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee na kubebwa kote na penati wameshindwa
Stupid penalty from Evra...
Chelskum Win the shield
Kazi ndo imeanza hiyo babu, hatukamatiki mwaka huuthats ur final cup of the year 2009/10 enjoy it chelsea fans.
alikimbilia pub, nadhani keshalewa hajui hata matokeo yakojemkuu masanilo upo?raha saaaanaaaa
alikimbilia pub, nadhani keshalewa hajui hata matokeo yakoje
hakuna forces ziliungana sie tulikuwa tumetulia tuna enjoy kuangalia weakness za timu zote mbili na tumeziona nyingi mno kiasi cha kwamba matumaini makubwa tunayo hapa emirates.Hongereni watani kwa kuchukua kombe lenu la kwanza na la mwisho la msimu huu.
**Naona washabiki wa Arsenal na Liverpool walijoin forces dhidi ya Manchester United hehehehehe.
hakuna forces ziliungana sie tulikuwa tumetulia tuna enjoy kuangalia weakness za timu zote mbili na tumeziona nyingi mno kiasi cha kwamba matumaini makubwa tunayo hapa emirates.
lol bado sijaanza kununua naona bei kubwa nasubiri mpaka ijumaa nadhani wachezaji watashuka bei.bado wameweka bei za last season.Yani leo washabiki wote wa Chelsea watatokea, watu kama akina Peasant, AljuniorTZ etc etc.
vipi ushaanza kununua wachezaji kwenye Fantasy League kule?