Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nipo Mkuu mwenzangu.

..Wiki iliopita I had a lot on my plate including safari ya Chicago.
Hii ngoma ilinipita lakini naona vijana hawakunilet-down.

To all haters eti sijui 'kombe la mbuzi', this is for you, mwanao ni
mwanao hata kama ni kilema!...Mtakula jeuri yenu tu.

I'm back!

Karibu sana, lakini USIKIMBIE!
 

Siku nyingi sijapata muda wa kukatiza humu jamvini....halafu eti mnashangalia!
Haya bana hongereni, sababu hata Anceloti akitimuliwa atakua na cha kujivunia.

Ajivunie kombe la MABATI lile?, kibongobongo lile ni sawa na Kombe la Kipingu hivi or la Mbuzi.....Lol!
 
Nipo Mkuu mwenzangu.

..Wiki iliopita I had a lot on my plate including safari ya Chicago.
Hii ngoma ilinipita lakini naona vijana hawakunilet-down.

To all haters eti sijui 'kombe la mbuzi', this is for you, mwanao ni
mwanao hata kama ni kilema!...Mtakula jeuri yenu tu.

I'm back!


Haha mtani bana una makeke mengi sana, ili kombe ushaona timu nyingine zinashangilia sana? Lakini Chelsea tushawazoea mnakawaida ya kufield first XI yenu ata kwenye makombe kama ya coca cola na sijui Inter Toto.
 
Haha mtani bana una makeke mengi sana, ili kombe ushaona timu nyingine zinashangilia sana? Lakini Chelsea tushawazoea mnakawaida ya kufield first XI yenu ata kwenye makombe kama ya coca cola na sijui Inter Toto.

Wewe mtani naona bado unami tu.
Nimesema kombe ni kombe hata kama ni la mbao!
Afu hio kauli ya kusema tuna-field first XI yetu sio kweli.
In this context kumbuka we were playing against Man-U
na hio si mchezo and that was a necessity.

Hebu tusubiri msimu ujao ukianza.

Baaden ustadh.
 
Siku nyingi sijapata muda wa kukatiza humu jamvini....halafu eti mnashangalia!
Haya bana hongereni, sababu hata Anceloti akitimuliwa atakua na cha kujivunia.

Karibu sana bro na asante kwa hongera zako za kihuni.
We are still keeping the place warm and lively.

In your records unaeza kuandika kua Anceloti tayari
ana-silver ware ndani ya kabati lake...🙂
 
wakubwa mnacheza na hull city na bado mnajificha mnasubiri dakika ya 90 mtoke ha ha ha.nawasalimia tu na wachungulia hapa.
 
Tusubiri Mr. Bean utafanyaje na hao majeruhi wako 6, huku Everton wakikusubiri kwa hamu.
 
Tumemaliza mchezo kwa kifua mbele; thanx to the man of the match A.K.A "the Son of Africa" DROGBA.

Ze Blues 2 - Hull City 1

Congrats to all Chelsi fans.... Sorry guys though, the game played by Chelskum today wasnt that good

37 games remaining to the good
 
lool mimi nilikuwa nataka kuakikisha kwamba mpo manake community shield mlikuwepo mnaenda dakika kwa dakika leo naona kimyaaa.

Hahaha, walikuwa wameshikwa vibaya ndio maana hawakuonekana, lakini muda si mrefu wataanza kuja. Ila Drogba kawatoa leo.
 
Hahaha, walikuwa wameshikwa vibaya ndio maana hawakuonekana, lakini muda si mrefu wataanza kuja. Ila Drogba kawatoa leo.

jamaa kawaokoa kweli, Anelka alikuwa anacheza makida makida tu pale mbele,, utashangaa wametia fitna kama kipindi kile cha scholari eti hatakiwi chelsea, mi nadhani isingekuwa drogba pia hapa walipo wasingefika!

hongereni chelsea lakini leo mlishikwa pabaya!
 
Hahaha, walikuwa wameshikwa vibaya ndio maana hawakuonekana, lakini muda si mrefu wataanza kuja. Ila Drogba kawatoa leo.
Wengine naona hamlali mpaka mtembelee hili jamvi letu kutoa vijineno. Drogba ndiye anatutoa kila siku na sio siri.

Drogba-Didier_2347632.jpg



Didier-Drogba-Chelsea-Hull-City-Premier-Leagu_2347643.jpg



Didier-Drogba-Chelsea-Hull-City-Premier-Leagu_2347650.jpg
 
Mr bean kashatoa dozi huku 6-1 kama namba yako ya majeruhi uliotaja.

Hongera zenu, ila isijekuwa mnatangulizwa kwa baiskeli ya miti ktk mteremko, mkifika kilimani wenye vitu vyao vya uhakika wanawaacha mkisoma namba tu!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom