juan david
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 3,952
- 5,438
Total ly mkuu, hamfuatilii Gallagher, hata kama sio elite player kwenye hiyo nafasi lakini huu upondaji haukubaliki kabisa
Gallagher anapenda short passes na acuracy yake kwenye kila mechi fairly ni karibu na 90-95%
Mfutailie na mhukumu, msije mkamhuklumu wakati hata hamfuatilii
Mifano iko nyingi na stats zake zipo. acheni huo unyanyapaa sio mzuri
Mkuu tukubali tu Galagher akiwa na mpira hana maajabu na hiyo ndio weakness yake
Tujaribu kuangalia hilo uone anapokuwa na mali mguuni
Galagher akiwa hana mpira hapo ndio ubora wake ulipo na ndio anachopendewa hivho + shooting