Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Wakuu wa Darajani... kwa mbaali kama naiona TOP FOUR vile - mnasemaje wahenga?
BANGE.jpg
 
Hakuna mchezaji Chelsea mwenye juhudi na bidii zaidi ya Gallagher, nitasikitika akiuzwa.


Pia Cucu naye hapaswi kuuzwa, ni kiraka mzuri wa kushoto na kulia.

Wengi wanaowasema vibaya Gallagher na Cucu hawaangalii mpira, wanasubiri mechi iishe watoe comments zao mbovu juu ya hao wachezaji zisizo na reference
Kwenye back line kuna Kenge wawili wanakera sana mistakes zao , wale wafaransa wawili Badiashile na yule kilaza Disasi ,aisee ni as if hawana miguu wala ubongo wale watoto
 
Colwill nae hafai kucheza kama left back ,yule ni kuchomesha tu
Ana share yake ya kuchomesha magoli msimu huu akicheza kama left back
Yaani Christiansen au Kourt zouma ni better center backs kuliko hawa wafaransa wawili aisee ,tumeyatimba
Halafu tuna tatizo la kufungwa magoli ya mipira ya juu ,ile mechi ya Luton ndio ilituexpose vizuri , na sijui Pochetino anafanya nini kusolve hili tatizo sugu.
 
Kwenye back line kuna Kenge wawili wanakera sana mistakes zao , wale wafaransa wawili Badiashile na yule kilaza Disasi ,aisee ni as if hawana miguu wala ubongo wale watoto
Mfumo wa Pochettino ndio unaowafanya waonekane hivyo
Kumbuka Rudiger alionekana kama Disasi wakati wa Lampard asiyeweza kuifanya timu iwe solid. Na alishaandaliwa kuuzwa kama sio TT alikuja kuonyesha kuwa Rudiger ni Beki mzuri
Kumbuka Badiashile alivyokuwa mzuri wakati wa Potter
Mimi naamini Pochettinoi sio mzuri kwenye kuisuka timu kutokea kwenye defence kama ilivyokuwa kwa TT, Conte au Mourinho
 
Kwa mfumo wa Pochettino anamuona Gallagher ni mzuri kwa sababu kwenye short passes Gallagher kwa sasa ndie anayeongoza pale Chelsea kwa acuracy ya 90-95%
Pochettino kashasema anataka kujenga timu kwenye msingi wa Gallagher, Palmer, James, Chilwell na anamuona kama ni mchezaji anayefundishika tofauti na hao wengine. Kama nilivyosema mwanzoni akipatikana mzuri zaidi yake sawa ila kama atauzwa halafu tunarudi kuwa na mtu asiyeweza kuyafanya anayofanya Gallagher itakuwa majuto

Board wanataka kumlazimisha Kocha aijenge timu chini ya Caicedo kwenye hiyo nafasi ya B2B ya Gallagher na mashabiki wengi wanaompenda Gallagher wanakubali kama mpango ndio huo auzwe Gallagher ili atoe nafasi kwa Caicedo

Enzo (Regista) ------------------------Caicedo (B2B)

--------------Lavia (DM)------------------

Kwa sababu Pochetino hana akili.

Tunajua siku zote ubora wa Enzo n Caicedo uko wapi ila yeye anafanya opposit

Chilwell anarudi soon utaona Kule LW atacheza Yeye huku LB akiendelea kumtumia Colwill.

Kwa mawazo ya Poch tutaendelea kuwa midtable, kila mchezaji ataonekana ni wakawaida


Galagher anafaa kuwa squad player ila sio kusema eti unataka ujenge team eti kumzunguka yeye ni ujinga Huo.

Anajua kabisa miaka 2 ijayo hawezi kuwepo hapa ndio hizo propaganda za English anazisema
 
Hawa home grown wanauzwa kwa ajili ya kukwepa FFP na Gallagher ndie mwenye bei nzuri
  1. Maatsen alitakiwa auzwe tangu msimu uliopita akakataa jap[o kocha naye hamkubali
  2. Chalobah naye hivyo hivyo - kocha hamkubali
  3. Conor Gallagher ndipo penye kivumbi kwa sababu uongozi unataka kumuuza na kocha hataki na mchezaji naye hataki. Conor Gallagher kashsema anataka kubaki kupigania nafasi yake na kocha anamuunga mkono. Kwa upande wa uongozi wanamuona Galagher ndiye pekee anayeweza kuleta noti ngingi za kubalance vitabu
  4. Mwingine atakayeuzwa ni Broja na nadhani maamuzi yameshapitishwa akikosa soko atatolewa mkopo kwanza

Ningemchezesha Chalobah over Disasi

Maatsen ni swala la mda subir aende Dortmund ndio watu watakapojua hawajui
 
Kumbuka yupo Caicedo, Enzo, Lavia na bado Gallagher anacheza zaidi yao

Umesahau kuwa hao wakina Enzo wanachezeshwa katika nafasi sio zao wote tunajua Enzo sio no 10 haitaji uwe na digrii kujua hilo
Caicedo sio Lone 6 DM

Lavia ni injury tu.

Ila kwa kocha anaejielewa tuna middle nzuri kuliko team zote pale juu


Kila mchezaj akicheza kwenye nafasi yake hapo ndio unaweza toa hukumu

Muangalie game ambazo enzo huwa yupo na ambazo huwa hayupo pale kati huwa pakoje
 
Colwill nae hafai kucheza kama left back ,yule ni kuchomesha tu
Ana share take ya kuchomesha magoli msimu huu akicheza kama left back
Yaani Christiansen au Court zouma ni better center backs kuliko hawa wafaransa wawili aisee ,tukeyatimba
Halafu tuna tatizo la kufingwa magoli ya mipira ya juu ,ile mechi ya Luton ndio ilituexpose vizuri , na sijui Pochetino anafanya nini kusolve hili tatizo sugu.

Nishasema hili la mipira ya juu Kila game lazima turuhusu goal la mipira ya juu either free header au player kabakia peke yake

Na kocha limekaa tu pale
 
Wewe unamzungumzia Gallagher wa zamani but Gallagher wa sasa amiprove sana kwenye pass nenda kaangalie accurate yake ya pass
Tatizo mnaamini kw kuwa wazungu wameshaandika accurate pass70%, hamuangalii hizo accurate pass zimesaidia nini, anapiga pass nyingi salama, hajui kupga pasi za kujilipua.

Tatizo jingine mnaangalia tu mechi za chelsea, angalieni na mechi nyingine za huko duniani watu wanavyopga pass kwnye msitu wa watu, sio Ghallager Accurate pass 70% kapasia beki, na mnamsifia.

Usiende mbali angalia tu hapo brighton kijana wetu Gilmor anavyopga pass za uthubutu, bora Accurate pass upate 30% lakini za uthubutu, ila sio 70% za kuwapasia mabeki wa nyuma na wapembeni.

Chelsea kweli tumekua team ya kawida yaani mpk Ghallager tunaona bonge la mchezaji dah!
 
Tatizo mnaamini kw kuwa wazungu wameshaandika accurate pass70%, hamuangalii hizo accurate pass zimesaidia nini, anapiga pass nyingi salama, hajui kupga pasi za kujilipua.

Tatizo jingine mnaangalia tu mechi za chelsea, angalieni na mechi nyingine za huko duniani watu wanavyopga pass kwnye msitu wa watu, sio Ghallager Accurate pass 70% kapasia beki, na mnamsifia.

Usiende mbali angalia tu hapo brighton kijana wetu Gilmor anavyopga pass za uthubutu, bora Accurate pass upate 30% lakini za uthubutu, ila sio 70% za kuwapasia mabeki wa nyuma na wapembeni.

Chelsea kweli tumekua team ya kawida yaani mpk Ghallager tunaona bonge la mchezaji dah!
Gilmour anafanya vizuri kwa sababu ya Dizerbi, akija kwa Pochettino atarudi kupiga basic passes. Ndio kocha anawaelekeza hivyo.
Zile pasi za Enzo zimezimika baada ya Pochettino kuja. Hawa wachezaji tusiwahukumu sana wakati huu, tusubiri Msimu ujao labda huyu mwehu akiendelea kuboronga atafukuzwa
 
Nishasema hili la mipira ya juu Kila game lazima turuhusu goal la mipira ya juu either free header au player kabakia peke yake

Na kocha limekaa tu pale
Fala Sana huyu Poch ,sidhani kama kuna achievement ya Maana tutapata na huyu mpuuzi
 
Gilmour anafanya vizuri kwa sababu ya Dizerbi, akija kwa Pochettino atarudi kupiga basic passes. Ndio kocha anawaelekeza hivyo.
Zile pasi za Enzo zimezimika baada ya Pochettino kuja. Hawa wachezaji tusiwahukumu sana wakati huu, tusubiri Msimu ujao labda huyu mwehu akiendelea kuboronga atafukuzwa
Hata Caicedo nae hapgi tena pasi za maana, cjui kapatwa na nini yule jamaa.
 
Binadamu hubadilika, akiwa chini ya kocha mwenye kujua football Gallagher anaweza kufanya hivyo
Kuna mchezaji wa kubadilika ila sio Ghallager, yule sio talented ni mchezaji wa kujifunza darasani. Manguvu mengi akili kidogo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom