juan david
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 3,952
- 5,438
Haya Dirisha la usajili limefunguliwa, Toddy mipesa anachekeleaaaa his favourite part. Nyamnyam
nimejikuta nimecheka sana




Haya Dirisha la usajili limefunguliwa, Toddy mipesa anachekeleaaaa his favourite part. Nyamnyam




Caicedo sio DM mzuri zaidi anavyocheza box to box. Pochettino amejaribu kumchezesha DM na Enzo mbele ikakataa, Caicedo kaanza kuoneka mzuri aliporuhusiwa kucheza box to box. Anahitaji uhuru wa kukaba ba kushambulia. Labda Lavia anaweza kucheza nafasi ya DM
Ndio mchongaji, mimi nahudhuria discussions nyingi za wachambuzi wa soka na kulinganisha na ukweli wa yanayotokea uwanjani. Ila wewe ni mchongaji wa maneno tu na mropokaji. Unapoingilia mada au ku question argument ya mtu mwingine weka hoja sio porojoArsenal wana hamis77 while Chelsea wana lembu hawa Watu wamefanana kwa kila kitu mpaka chambuzi zao.
Unaweza kuta wanapiga uchambuzi utadhani ni kina Ian Right lakini ukiwafuatilia utagundua wanavyoviongelea hata havi-exists ni myth na stori za kufikirika.
Kiufupi wanaongezeka vitu ambavyo havipo bali wanabuni tu.
Ndio mchongaji, mimi nahudhuria discussions nyingi za wachambuzi wa soka na kulinganisha na ukweli wa yanayotokea uwanjani. Ila wewe ni mchongaji wa maneno tu na mropokaji. Unapoingilia mada au ku question argument ya mtu mwingine weka hoja sio porojo





Upo sahihi sijui kwanini watu wa Liverpool na Arsenal wanaanza fuvu kwenye jambo ambalo Lipo waziArgument za Caicedo ni DM au B2B zipo na ni hot na ushahidi wa mechi alizocheza Caicedo pia unaongezea hiyo debate
Mechi mbili za mwisho Caicedo alicheza kama B2B na alicheza vizuri kuliko alipoanza alicheza kama DM na hakucheza vizuri
Sio kwamba Caicedo sio DM kwa sababu hata B2B midfielder ni DM ila DM huru kwa lungha rahisi
Caicedo anapenda kuwa huru akicheza nyuma kama DM na hapo hapo akicheza mbele kama attacking midfielder. Hii role inampa nafasi ya kucheza uwanjan mzima. Sasa ukiongea hii lugha kuna wapendwa wa Livakuku wakija huku kwetu wanajifanya wajuaji kweli na sidhani hata kama wanawafuatilia wachezaji wanaosemwa kwenye mijadala!
Ukweli ni kwamba Caicedo ni B2B zaidi ya DM
Enzo ni Regista, nafasi aliyokuwa anacheza Jorgninho na akija Lavia may be yeye ataweza role ya DM??
Kwa sababu hii ndio maana uongozi wanalazimisha kumuuza Gallagher hata kama Pochettino anasisitiza sana asiuzwe kwa sababu ni mcheza muhimu kwenye hii project.
Na huu ukweli kama Pochettino ni liberal manager anatakiuwa kubadili line up kutoka 4-2-3-1 kwenda 4-3-3
View attachment 2859754
So far ndio role ameicheza vizuri japo bado anatakiwa kujiongeza zaidi kama aalivyofanya kule BrightonIla Caicedo mzito sana kucheza B2B.
Yah aboreshe kwenye kufanya maamuzi ya haraka pale anapopokea pasi, pia kuwa kwenye box sahihi kwa wakati sahihi.So far ndio role ameicheza vizuri japo bado anatakiwa kujiongeza zaidi kama aalivyofanya kule Brighton
System aliyoikuta ya Pochettino pia inabana
Jackson ana miak 22 tuDarwin Nunez:
5 goals
15 Big chances missed
Nicolas Jackson
7 goals
12 Big chances missed
Bowed over Haland no no no!lile jini hadi sasa linaongoza magoli na halijacheza mechi 4 .
Na physic yupo imara kwelikweli,na sio mfupi huyu jamaa pia epl ni adivantege.Conor Gallagher
SELL OR KEEP?
Never get tired
Never get injured
Never go low form
No tattoos
No scandles
No hypes
No too much talk
Deffensive ability= Very Strong
Paasing ability= Strong
Key passes = strong
Tackling = strong
Ball recoveries = strong
Interceptions = strong
Where to get a midfilder like him?
View attachment 2859891
Passing ability, strong ipi hiyo. Kama back pass hapo sawa. Kwenye pass 10. Pass 9 zote back pass. Sasa kunamchezaji humo.Conor Gallagher
SELL OR KEEP?
Never get tired
Never get injured
Never go low form
No tattoos
No scandles
No hypes
No too much talk
Deffensive ability= Very Strong
Paasing ability= Strong
Key passes = strong
Tackling = strong
Ball recoveries = strong
Interceptions = strong
Where to get a midfilder like him?
View attachment 2859891
Umemaliza kila kitu, angefanyia kazi hayo madhaifu, na kuwa na jicho la kupga pasi, basi angekua ni Ngolo Kante wa kizungu. bonge moja la mchezaji.Gallagher pass ability yake sio nzuri, anapiga pass mbovu nyingi kupelekea kupoteza mpira mara kwa mara.
Udhaifu mwingine mkubwa pale anapopokea pass anachelewa kufanya maamuzi ya haraka ya kutoa pass, mpaka adui anamfikia kumpa presha ndio anajikuta ametoa pass mbovu, kuchezewa rafu au kunyang'anywa mpira.
Gallagher ni mzuri asipokuwa na mpira zile vurugu zake za kukimbia kimbia na kutoa presha kwa adui, kuintercept pass, kuvuruga mipango ya adui ndio faida kubwa anayotupa.
Kabisa chiefUmemaliza kila kitu, angefanyia kazi hayo madhaifu, na kuwa na jicho la kupga pasi, basi angekua ni Ngolo Kante wa kizungu. bonge moja la mchezaji.
Sio kweli, mmejenga tabia ya kumchukia Gallagher pasipo sababu. Sio mchezaji mzuri sana kama akina Kante lakina sio mbaya kama mnavyombeza. Passing ya Gallagher iko strong kwa maana ya 70+%,Passing ability, strong ipi hiyo. Kama back pass hapo sawa. Kwenye pass 10. Pass 9 zote back pass. Sasa kunamchezaji humo.
Nasikitika tulimuuza Gilmor anapga pass tu huko Brighton tukabaki na hii ng'ombe.
Total ly mkuu, hamfuatilii Gallagher, hata kama sio elite player kwenye hiyo nafasi lakini huu upondaji haukubaliki kabisaGallagher pass ability yake sio nzuri, anapiga pass mbovu nyingi kupelekea kupoteza mpira mara kwa mara.
Udhaifu mwingine mkubwa pale anapopokea pass anachelewa kufanya maamuzi ya haraka ya kutoa pass, mpaka adui anamfikia kumpa presha ndio anajikuta ametoa pass mbovu, kuchezewa rafu au kunyang'anywa mpira.
Gallagher ni mzuri asipokuwa na mpira zile vurugu zake za kukimbia kimbia na kutoa presha kwa adui, kuintercept pass, kuvuruga mipango ya adui ndio faida kubwa anayotupa.
Kwa kweli naona Gallagher wanamchambua kwa chuki ni kweli Gallagher alikuwa sio Mzuri kwenye pass lakini msimu ameniweka sana kwenye upigaji wake wa pass ana 70+ ya accurate pass nazani hawa wanamzungumzia wa zamani. Jambo muhimu sana kwa huyu mchezaji hana record mbaya ya injuries yupo bora pia upande tunaweza tukamuuza alafu tukaleta kitanda cha mgonjwaTotal ly mkuu, hamfuatilii Gallagher, hata kama sio elite player kwenye hiyo nafasi lakini huu upondaji haukubaliki kabisa
Gallagher anapenda short passes na acuracy yake kwenye kila mechi fairly ni karibu na 90-95%
Mfutailie na mhukumu, msije mkamhuklumu wakati hata hamfuatilii
Mifano iko nyingi na stats zake zipo. acheni huo unyanyapaa sio mzuri