Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Natamani sana Fofana arudi haraka, Disasi sio beki wa kumtegemea. Akiwekwa mchakamchaka hawezi kabisa. Kaingia Chong ikawa balaa kwake, alishindwa kabisa kumdhibiti japoo Poche alichangia kabisa. Tulipoanza kulemewa tukiwa 3-0 alitakiwa tu kuweka ulinzi shirikishi wa backline ya 5
3-5-2 ili mabeki wawe protected
 
Enzo hakuhitajika kabisa muda huo tulikuwa tumeanza kulemewa, Ilihitajika kubadili form kwa kuweka mabeki watano na viungo wakabaji 3-5-2 ingefaa sana
Huwa nasema hivi kwa Pochetino hata akitumia hiyo formation bado tutaendelea kuruhusu
 
Huwa nasema hivi kwa Pochetino hata akitumia hiyo formation bado tutaendelea kuruhusu
Itategemea nani anaunda hiyo form
Alipoingia Gilchrist alisaidia sana maana Disasi alikuwa very exposed
Tatizo tu Gilchrist aliingia dakiak ya 91, alitakiwa aingizwe kwenye dakika ya 70-75 ili kutengeneza backline ya 5
 
Matokeo ya Luton wakiwa nyumbani
1703948458674.png
 
Itategemea nani anaunda hiyo form
Alipoingia Gilchrist alisaidia sana maana Disasi alikuwa very exposed
Tatizo tu Gilchrist aliingia dakiak ya 91, alitakiwa aingizwe kwenye dakika ya 70-75 ili kutengeneza backline ya 5
Tangu 1st half ilikuwa ishaonekana Jins luton wanavyocheza.

Kwa kocha kilaza kama Poch ndio anaeweza waruhus hawa luton warudi mchezo ila kwa kocha anaejielewa baada ya goal la 3 ilikiwa unacontrol
Game

Game kama hizi unaongoza 3-0 ilifaa mechi imalizike 4-0,5-0,6-0 sio 3-2
Ni aibu
 
Krismasi tulikula vibaya
Mwaka mpya angalau tunaingia vizuri

Thiago Silva:
"Sikutaka tu kutumia Mwaka Mpya kama nilivyofanya Krismasi, samahani". 🤪
 
2024 january window ,Ikimpendeza tajiri miluzi anaweza kwenda pale Real sociedad atuletee Zubimendi ,kiungo cha chini apige Enzo(deep line playmaker ) juu yake weka wakabaji wawili Zubimendi na Caisedo ,kisha juu unakuwa na namba 10 kutoka Stearling/Mudriky ,kulia play maker Palmer na namba nine Nkunku sub Jackson& Broja .Kwa chelsea hii unacheza uefa ila tu kocha asiwe Poch.
 
2024 january window ,Ikimpendeza tajiri miluzi anaweza kwenda pale Real sociedad atuletee Zubimendi ,kiungo cha chini apige Enzo(deep line playmaker ) juu yake weka wakabaji wawili Zubimendi na Caisedo ,kisha juu unakuwa na namba 10 kutoka Stearling/Mudriky ,kulia play maker Palmer na namba nine Nkunku sub Jackson& Broja .Kwa chelsea hii unacheza uefa ila tu kocha asiwe Poch.

Yani umekaa ukawaza ukaona uje na Midfield ya aina hii sio?

Caisedo - Zubimendi
Enzo

Hakuna Kocha mwenye akili akachezesha hiyo Mido.
 
2024 january window ,Ikimpendeza tajiri miluzi anaweza kwenda pale Real sociedad atuletee Zubimendi ,kiungo cha chini apige Enzo(deep line playmaker ) juu yake weka wakabaji wawili Zubimendi na Caisedo ,kisha juu unakuwa na namba 10 kutoka Stearling/Mudriky ,kulia play maker Palmer na namba nine Nkunku sub Jackson& Broja .Kwa chelsea hii unacheza uefa ila tu kocha asiwe Poch.
Kwangu mimi sioni haja ya Chelsea kuingia kwenye usajili kwenye dirisha la januari, kocha itabidi atulize kichwa au aweze kuwatafuta washauri wengine waone namna ya kuboresha kikosi....mimi sioni timu yenye wachezaji wazuri kama Chelsea isipokuwa Kocha wetu ndiye goigoi utafikiri anaumwa.
 
2024 january window ,Ikimpendeza tajiri miluzi anaweza kwenda pale Real sociedad atuletee Zubimendi ,kiungo cha chini apige Enzo(deep line playmaker ) juu yake weka wakabaji wawili Zubimendi na Caisedo ,kisha juu unakuwa na namba 10 kutoka Stearling/Mudriky ,kulia play maker Palmer na namba nine Nkunku sub Jackson& Broja .Kwa chelsea hii unacheza uefa ila tu kocha asiwe Poch.
Caicedo sio DM mzuri zaidi anavyocheza box to box. Pochettino amejaribu kumchezesha DM na Enzo mbele ikakataa, Caicedo kaanza kuoneka mzuri aliporuhusiwa kucheza box to box. Anahitaji uhuru wa kukaba ba kushambulia. Labda Lavia anaweza kucheza nafasi ya DM
 
Kwangu mimi sioni haja ya Chelsea kuingia kwenye usajili kwenye dirisha la januari, kocha itabidi atulize kichwa au aweze kuwatafuta washauri wengine waone namna ya kuboresha kikosi....mimi sioni timu yenye wachezaji wazuri kama Chelsea isipokuwa Kocha wetu ndiye goigoi utafikiri anaumwa.
Usajili utafanyika kwa sababu za thahiri. Mfano striker ni wa lazima, CB mzoefu na kiongozi mridhi wa Silva lazima
LB ni wa lazima. Sio chini ya wachezaji watatu au wanne
Hapo pia lazima mauzo yafanyike
  1. Gallagher atauzwa, kwa sasa Chelsea na Spurs wanaendelea na mazungumzo ya kumuuza Gallagher. Gallagher akiuzwa lazima DM anunuliwe
  2. Broja mkopo haukwepeki
  3. Lesley mkopo haukwepeki
  4. Maatsen lazima auzwe
  5. Chalobah mlango huo wa kutokea
  6. Malang Sarr hata kwa thumuni atauzwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom