Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Vipi ndugu zanguni Enzo kaishika game leo au ndo yale yale toka aje Chelsea ni kama Sawadogo tu.
 
Staki kuamini kama tulikaa almost miez 3 tukitafuta kocha tukawaacha Naglesman etc tukaja kumuona Pochetino
Hawa wamiliki ni mandazi, kuna vitu Naglesman aliviona akahoji na kutoa maoni yake ambayo ni kinzani na ya wamiliki akaachwa ndipo wakamuendea Pochettino mr. ndio kwa akina Boehly. Yaani hawa wamiliki wanamtaka kocha full kenge na puppet wa kumuamrisha tu.

According to Sky Sports journalist Melissa Reddy, Nagelsmann felt as though there were numerous issues at Chelsea including "fundamental structural, recruitment and process decisions that wouldn't best serve his management."
 
Mabeki ni mdebwedo Mtu anaruka free header afu beki anamshika shati au anamkumbatia kwa chini, nawakumbuka sana akina Terry, Ivanovich na Canavaro walivyokuwa wakatili kutocheka na kima kwenye penalty box.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app

Hayo mambo yanaanzia mazoezini jinsi ya kudefend kama kwenye mazoezi hawafundishwi kudefend set pieces unategemea nin.

Yani kocha ndie anayeamua kutengeneza ukuta wake kama hatilii mkazo hilo eneo hata waje mabeki wemye 7.0 urefy bado tutapigwa tu

Mabeki wafupi tulionao ni wachache sana tena ni full backs ila wale wa kati wote ni warefu
 
Disasi alifanya makosa
Badiashile tena kafanya makosa
Silva tena alifanya makosa
Lesley alifanya makosa
Broja alifanya makosa
Jackson anaendelea kufanya makosa makubwa sana
Sterling anaendelea kufanya makosa

Unapokuwa na makosa mengi, si kuhusu mchezaji mmoja tu, ni kuhusu stimu nzima!
Hapo bado tunasema tunaye kocha kweli?
 
Disasi alifanya makosa
Badiashile tena kafanya makosa
Silva tena alifanya makosa
Lesley alifanya makosa
Broja alifanya makosa
Jackson anaendelea kufanya makosa makubwa sana
Sterling anaendelea kufanya makosa

Unapokuwa na makosa mengi, si kuhusu mchezaji mmoja tu, ni kuhusu stimu nzima!
Hapo bado tunasema tunaye kocha kweli?
Silva umri umekwenda hapaswi kucheza kila mechi ,fikiria kuna mabeki wa kati WATATU walio fit kabisa wenye umri mdogo Colwill,Badiashile na Disasi bado kwenye mechi za wolves unampanga silva na kulazimisha Colwill acheze pembeni,Mara Disasi beki wa kulia huu ni kuihujumu team kabisa.
 
Hadi sasa pesa za kuuzwa kihuni Chelsea na serikali ya England ,serikali haijui ipeleke wapi maana wamemdhulumu baba wa watu bila sababu.
Hawa laana inawatafuna,, pesa nyingi sana aliwekeza pale yule mrusi

Awa watu kilahisi tu,, Leo wanataka kufanya zuruma.
 
Ukiona tunakosa points, Chelsea tuliyonayo kwa sasa ndio hii
Yaani huyu kwa zile mechi 9 tu alizovuma Vilareal tukamsajili kweli!

View attachment 2842249
Huyu hata msimbazi hapati number.. hamna kitu mule. anajigonga gonga miguu tu. Hata Ulaya kuna dili aisee, huyu ndiye mchezaji wa 39 thousand dollars kweli ?
 
Pia tumgeukie na kocha, naona timu ishamshindaa... mbinu zimeisha - unamiliki mpira 80% karibu mechi 7 ila unafungwa wewe, kuna tatizo pale.
 
Unajua Klabu ya mpira ni kama nchi
Alipokuwa Magufuli, kila mtu alinyooka, huduma za hospitali zilirudi, huduma za shule sekta ya uma ziliimarika na huduma nyingi za uma zilizboireka
Umeme tulikuwa tunapata bila kukatika, huwezi sikia eti mtera bwawa limekauka

Sasa kaingia Farao mwingine kila siku ni visingizio tu

Chelsea tuna kopcha mwenye visingizio kama serikali ya Tanzania
Wachezaji wachanga, hawana uzoefu na EPL, huyu mpumbavu anayeitwa Sterling hapo chini ingekuwa ni PEP baada ya dk 3 angekuwa anasugua benchi na ndivyo alivyo mfanya kule City hadi akakimbilia huku kwetu
Poche angekuwa ni kocha bora angefanya naye hivyo hivyo

1703493092849.png

1703493182106.png
 
Labda hatumtendei haki Nicolas Jackson, Drogba alikuja EPL mwaka wa 2004 akiwa na miaka 26 na kufunga mabao 10 pamoja na asists 5 ndani ya mechi 26 na makosa mengi sana njiani. Kitu kizuri kwake alikuja kwenye timu iliyokomaa sana. Tumpe Jackson muda, atakuja kuwa mzuri sana
 
Labda hatumtendei haki Nicolas Jackson, Drogba alikuja EPL mwaka wa 2004 akiwa na miaka 26 na kufunga mabao 10 pamoja na asists 5 ndani ya mechi 26 na makosa mengi sana njiani. Kitu kizuri kwake alikuja kwenye timu iliyokomaa sana. Tumpe Jackson muda, atakuja kuwa mzuri sana
Sasa mpaka kutuliza mpira nayo tumpe muda? Chezaji linakosa basic football knowledge hata ya ball control
 
Labda hatumtendei haki Nicolas Jackson, Drogba alikuja EPL mwaka wa 2004 akiwa na miaka 26 na kufunga mabao 10 pamoja na asists 5 ndani ya mechi 26 na makosa mengi sana njiani. Kitu kizuri kwake alikuja kwenye timu iliyokomaa sana. Tumpe Jackson muda, atakuja kuwa mzuri sana

Tuache kumcompare huyu pimbi na Drogba

Huyu jamaa ukiangalia game za mwanzo alikuwa vizuri kweli basic zote alikuwa anafanya sahihi idk kipi kimemkumba kila mchezaji anaregress now hakuna mchezaj atakaeimprove chini ya Poch hakuna kila mchezaj ataonekana ni takataka mpk hapo Poch atakapoondoka
 
Tuache kumcompare huyu pimbi na Drogba

Huyu jamaa ukiangalia game za mwanzo alikuwa vizuri kweli basic zote alikuwa anafanya sahihi idk kipi kimemkumba kila mchezaji anaregress now hakuna mchezaj atakaeimprove chini ya Poch hakuna kila mchezaj ataonekana ni takataka mpk hapo Poch atakapoondoka
Drogba alikuwa na stats mbovu mwsimu wake wa kwanza Chelsea na alikuwa na umri mkubwa kuliko jackson. Pia tukumbuke kuwa Jackson alikuwa anafanya vizuri Laliga na pia tuklumbuke Enzo alifanya vizuri na Potter, Caicedo alifanya vizuri na Di Zerbi. Hawa wachezaji wote viwango vyao vimeporomoka
Mimi nadhani hata Jakcson ni mhanga wa ufundishaji wa Pochettino na hasa point yangu ililenga hapo
Wachezaji huwa wanatumia maelekezo ya kocha kwa asilimia kubwa na pale maelekezo yasipoelewekwa ndipo tunaishia kuona vioja kama hivi vya wachezaji wa Chelsea
Tukumbuke pia wakati wa Lampard Rudiger alikuwa na makossa mengi sana na hadi uongozi ulianza kufanya mpango wa kumuuza ndipo alipokuja TT na kumfanya kuwa CB ambaye hata klaby kama Real Madrid wakamuona
Wakati wa TT Chalobah alikuwa ni CB mzuri sana, sasa yuko wapi, tutamuuza hata kwa $ mil 10

Jakcson ni victim wa ufundishaji mbaya wa Pochettino
 
Drogba alikuta mfumo mzuri sana wa akina
  1. Cech,
  2. Carvalho,
  3. Terry,
  4. Gallas,
  5. Makelele,
  6. Lampard,
  7. Geremi,
  8. Joe Cole na wengineo
na bado hakucheza vizuri sana alikuwa na uchezaji mbovu kama huu huu wa Jackson kwenye miguu. Kwenye mpira wa vichwa tu ndio alikuwa mzuri. Lakini kwe nye misimu iliyofuata Drogba alibadilika na kuwa moto wa kuotea mbali

akifunga mabao 10 na assists 5 katika mechi 26 alizocheza. Kumbuka kwamba alikuwa mzee kuliko Jackson na chini ya kocha mzuri sana.

Tumpe Jackson muda

Ambaye nina wasiwasi wa kumpa muda ni Pochettino tu
 
Drogba alikuwa na stats mbovu mwsimu wake wa kwanza Chelsea na alikuwa na umri mkubwa kuliko jackson. Pia tukumbuke kuwa Jackson alikuwa anafanya vizuri Laliga na pia tuklumbuke Enzo alifanya vizuri na Potter, Caicedo alifanya vizuri na Di Zerbi. Hawa wachezaji wote viwango vyao vimeporomoka
Mimi nadhani hata Jakcson ni mhanga wa ufundishaji wa Pochettino na hasa point yangu ililenga hapo
Wachezaji huwa wanatumia maelekezo ya kocha kwa asilimia kubwa na pale maelekezo yasipoelewekwa ndipo tunaishia kuona vioja kama hivi vya wachezaji wa Chelsea
Tukumbuke pia wakati wa Lampard Rudiger alikuwa na makossa mengi sana na hadi uongozi ulianza kufanya mpango wa kumuuza ndipo alipokuja TT na kumfanya kuwa CB ambaye hata klaby kama Real Madrid wakamuona
Wakati wa TT Chalobah alikuwa ni CB mzuri sana, sasa yuko wapi, tutamuuza hata kwa $ mil 10

Jakcson ni victim wa ufundishaji mbaya wa Pochettino

Hembu tuache mkuu hizi je Drogba alikuwa anamiss sitter kama anazokosa Huyu pimbi au angalia magoal aliyokuwa anafunga drogba huo msim wake wa 1 halaf angalia magoal anayofunga jackson.

Tuache hizi tabia za kucompare wachezaji
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom