Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Drogba alikuta mfumo mzuri sana wa akina
  1. Cech,
  2. Carvalho,
  3. Terry,
  4. Gallas,
  5. Makelele,
  6. Lampard,
  7. Geremi,
  8. Joe Cole na wengineo
na bado hakucheza vizuri sana alikuwa na uchezaji mbovu kama huu huu wa Jackson kwenye miguu. Kwenye mpira wa vichwa tu ndio alikuwa mzuri. Lakini kwe nye misimu iliyofuata Drogba alibadilika na kuwa moto wa kuotea mbali

akifunga mabao 10 na assists 5 katika mechi 26 alizocheza. Kumbuka kwamba alikuwa mzee kuliko Jackson na chini ya kocha mzuri sana.

Tumpe Jackson muda

Ambaye nina wasiwasi wa kumpa muda ni Pochettino tu

Ila stil alifunga magoal muhim

Magoal anayofunga jackson niyale tap in hakuna goal ambalo utasema hapa amekurupushana na mabeki
 
Ila stil alifunga magoal muhim

Magoal anayofunga jackson niyale tap in hakuna goal ambalo utasema hapa amekurupushana na mabeki
Kwny top teams pale England forward line Yao ya mbele hakuna hata mmoja mwny sifa na uwezo kama wa Jackson....jamaa ni utapeli wa mchana kabisa....Hojlund pamoja na kwmba hajafunga goli EPL mpk Sasa ila ni mzuri kuliko Jackson
 
Unajua Klabu ya mpira ni kama nchi
Alipokuwa Magufuli, kila mtu alinyooka, huduma za hospitali zilirudi, huduma za shule sekta ya uma ziliimarika na huduma nyingi za uma zilizboireka
Umeme tulikuwa tunapata bila kukatika, huwezi sikia eti mtera bwawa limekauka

Sasa kaingia Farao mwingine kila siku ni visingizio tu

Chelsea tuna kopcha mwenye visingizio kama serikali ya Tanzania
Wachezaji wachanga, hawana uzoefu na EPL, huyu mpumbavu anayeitwa Sterling hapo chini ingekuwa ni PEP baada ya dk 3 angekuwa anasugua benchi na ndivyo alivyo mfanya kule City hadi akakimbilia huku kwetu
Poche angekuwa ni kocha bora angefanya naye hivyo hivyo

View attachment 2852314
View attachment 2852315

 
Ongeeni yote ila sababu kuu ya matatizo yote ya timu kufanya vibaya ni MAAMUZI MABOVU ya uongozi wa club.

Picha linaanza club in sporting director wawili. Hiki ni kituko katika kufanya maamuzi juu ya kocha na wachezaji

Uongozi makini unatoa taswira makini uwanjani.

Uongozi makini unafanya maamuzi sahihi katika wakati sahihi.

THE BLUES tunao uongozi wa ovyo sana.
 
Pochettino kuhusu Jackson:

"Yeye ni kijana mdogo, umri wake ni miaka 22 tu. Ni msimu wake wa kwanza katika klabu yenye matarajio mmakubwa na katika Ligi kubwa, ambayo ni ligi tofauti. Anahitaji muda ili kuzoea ligi na mazingira.
1703594449292.png
 
Ongeeni yote ila sababu kuu ya matatizo yote ya timu kufanya vibaya ni MAAMUZI MABOVU ya uongozi wa club.

Picha linaanza club in sporting director wawili. Hiki ni kituko katika kufanya maamuzi juu ya kocha na wachezaji

Uongozi makini unatoa taswira makini uwanjani.

Uongozi makini unafanya maamuzi sahihi katika wakati sahihi.

THE BLUES tunao uongozi wa ovyo sana.
Wa hovyooo mno kaka
 
Ongeeni yote ila sababu kuu ya matatizo yote ya timu kufanya vibaya ni MAAMUZI MABOVU ya uongozi wa club.

Picha linaanza club in sporting director wawili. Hiki ni kituko katika kufanya maamuzi juu ya kocha na wachezaji

Uongozi makini unatoa taswira makini uwanjani.

Uongozi makini unafanya maamuzi sahihi katika wakati sahihi.

THE BLUES tunao uongozi wa ovyo sana.
Kuna shida hapo ila Pochettino hafai hata arembwe namna gani, hata uongozi uwe mzuri namna gani Poche hafai, ameharibu vipaji na anaendelea kuharibu vipaji. Mudryk alikuwa nahitaji little tweak tu, Enzo alianza vizuri kaja Poche kamdidimiza, Caicedo ni namba nyingine hiyo ila kwa pochettino hatatoboa. Sembuse hao akina Jackson
Jackson alikuwa mzuri sana Pre season, Chelsea ilicheza vizuri Pre seaosn, mfumo ulikuwa mzuri pre seaosn. Ameanza ligi na uwendawazimu akaacha kila kitu cha Prew season

Maatsen alikuwa ni mmoja wa best player pre seaosn amemuozeshea benchi bila sababu
Wachezaji wanafanya makosa anawasifia kama alivyokuwa nafanya Potter
Mchezaji anaboronga uwanjani asubuhi anaachwa hadi mpira uishe
Halafu mnajifanya vipofu hamuoni makosa ya kocha

Nakumbuka TT alipokuja alichanganya karata vizuri na kufanya rotation ya nguvu kila mchezaji aliridhika na walijitoa kweli kweli
 
Huu ndio Ukweli wa Chelsea kipindi hiki cha Pochettino

Enzi za Thomas Tuchel hata Chalobah alikuwa CB mzuri sana, lakini sasa kipaji kimepotea. Pochettino anaua vipaji badala ya kuendeleza, mpaka pale tutakapojitambua thamani ya Enzo itakuwa $30M na Caicedo $25M na kikosi cha $1bn kitakuwa $200k.
1703595184760.png
 
Chelsea tumebaki na Palmer tu ambae anatafsiri mpira kulingana na akili yake wala sio ya coach sasa akianza ku flop sijui coach atamuelekeza nini .
Kuna shida hapo ila Pochettino hafai hata arembwe namna gani, hata uongozi uwe mzuri namna gani Poche hafai, ameharibu vipaji na anaendelea kuharibu vipaji. Mudryk alikuwa nahitaji little tweak tu, Enzo alianza vizuri kaja Poche kamdidimiza, Caicedo ni namba nyingine hiyo ila kwa pochettino hatatoboa. Sembuse hao akina Jackson
Jackson alikuwa mzuri sana Pre season, Chelsea ilicheza vizuri Pre seaosn, mfumo ulikuwa mzuri pre seaosn. Ameanza ligi na uwendawazimu akaacha kila kitu cha Prew season

Maatsen alikuwa ni mmoja wa best player pre seaosn amemuozeshea benchi bila sababu
Wachezaji wanafanya makosa anawasifia kama alivyokuwa nafanya Potter
Mchezaji anaboronga uwanjani asubuhi anaachwa hadi mpira uishe
Halafu mnajifanya vipofu hamuoni makosa ya kocha

Nakumbuka TT alipokuja alichanganya karata vizuri na kufanya rotation ya nguvu kila mchezaji aliridhika na walijitoa kweli kweli
 
Kwny top teams pale England forward line Yao ya mbele hakuna hata mmoja mwny sifa na uwezo kama wa Jackson....jamaa ni utapeli wa mchana kabisa....Hojlund pamoja na kwmba hajafunga goli EPL mpk Sasa ila ni mzuri kuliko Jackson

Kwa chance anazopata Jackson, Hojlund sahivi angekuwa 10+ goals
 
Kinachoniuzi ni kwamba since day 1 nilishamkataa Poche hapa, nikawa nasema huyo ni mid table coach hawezi kumchallenge Pep kwenye ubingwa nikasema aje Enrique au Conte au Morinyo.

Mkaponda sana mara sijui wamepitwa na wakati hamtaki mpira wa ulinzi shirikishi, mnamtaka Poche ili tucheze soka la kisasa, lakistyle na sio la kupaki bus.

Leo mnatupigia makelele hapa Poche OUT acheni hizo kuleni matapishi yenu.

Poche endelea kushikilia bomba mpaka akili zitukae sawa kwenye kufanya maamuzi sahihi.

Nilisema hapa Naglesman o Enrique tungekuwa safe kwa profile ya wachezaji tulionao
 
Kinachoniuzi ni kwamba since day 1 nilishamkataa Poche hapa, nikawa nasema huyo ni mid table coach hawezi kumchallenge Pep kwenye ubingwa nikasema aje Enrique au Conte au Morinyo.

Mkaponda sana mara sijui wamepitwa na wakati hamtaki mpira wa ulinzi shirikishi, mnamtaka Poche ili tucheze soka la kisasa, lakistyle na sio la kupaki bus.

Leo mnatupigia makelele hapa Poche OUT acheni hizo kuleni matapishi yenu.

Poche endelea kushikilia bomba mpaka akili zitukae sawa kwenye kufanya maamuzi sahihi.

Tangu siku ya kwanza nilisema Poch sina imani nae
 
Shida kubwa ya Chelsea ni forward kocha angefanyia kazi safu ya ushambuliaji angepona huwezi kuwa na washambuliaji wazito kama jck na broja
 
View attachment 2853767

lembu wewe ndio ulikuwa kinara wa kumpendekeza Poche aje THE BLUES.

Tulikuuliza maswali mengi sana kwamba ataweza kuchukua kombe mbele ya pep anaye tawala Epl?

Tukakuuliza kwanini asirudi Conte au Enrique bado ukaendelea kumiminia sifa zote Poche.

Ukaenda mbali ukawa unatupa updates za Poche pre-season anavyofumua opponents, kutithibitishia tumelamba dume.

Leo umebaki nyuma nyuma unatupiga mishale mgongoni.

Naomba kwanza ufute hizi kauli zako ndio.
Hapana, uliniquote vibaya, kocha niliyempenda mimi na siku zote ni Antonio Conte, Fuatilia maandishi yangu yote. Poche kama nilimpenda ni kwa sababu tu Conte ilishindikana. Kocha mwingine ambaye nilimponda waziwazi na bado namponda ni Luis Enrique, nilisema huyo Barcelona alikuta kila kitu kiko kwenye order akatembelea upepo tu

Halafu usinilazimishe kuwa nilimtetea Poche mbele ya Conte, labda kama ni Luis sawa ila Conte ndie kipenzi changu siwezi hata siku moja kumuweka Pochettino mbele ya Conte
 
Kinachoniuzi ni kwamba since day 1 nilishamkataa Poche hapa, nikawa nasema huyo ni mid table coach hawezi kumchallenge Pep kwenye ubingwa nikasema aje Enrique au Conte au Morinyo.

Mkaponda sana mara sijui wamepitwa na wakati hamtaki mpira wa ulinzi shirikishi, mnamtaka Poche ili tucheze soka la kisasa, lakistyle na sio la kupaki bus.

Leo mnatupigia makelele hapa Poche OUT acheni hizo kuleni matapishi yenu.

Poche endelea kushikilia bomba mpaka akili zitukae sawa kwenye kufanya maamuzi sahihi.
Mimi sijawahi kumkubali Pochetino mbele ya Conte, Poche nilikuja kumkubali ili kuona atafanyeje baada ya hao akina Conte kutotakiwa. Huyu ni kocha wa kawaida sana
 
Poche hawezi kufukuzwa mpaka msimu uishe.

Sidhani kama tutakuwa kwenye hatari sana ya kushuka daraja kutokana na mwenendo mgumu wa ligi unavyokwenda kwa timu zote.

Kufungwa kote huko bado tumetulia nafasi ya 10 & 11 kwa muda mrefu.

Poche akiboresha uchezaji/Mbinu zake + usajili wa January nadhani anaweza kumaliza ndani ya Top 10 msimu huu.
Afukuzwe sasa au baadaye sio issue ila ukweli ni kwamba Pochjettino hana tena mwelekeo, mbinu zake, falsafa zake, malekezo yake hayaeleweki kwa wachezaji kabisa, anticlockwise. Anaongea Kiiingereza halafu wachezaji wanasikia kigiriki. Najua hawa wamarekani na ego yao kubwa hawatamfukuza hadi itokee kama yale ya Potter
 
Hapana, uliniquote vibaya, kocha niliyempenda mimi na siku zote ni Antonio Conte, Fuatilia maandishi yangu yote. Poche kama nilimpenda ni kwa sababu tu Conte ilishindikana. Kocha mwingine ambaye nilimponda waziwazi na bado namponda ni Luis Enrique, nilisema huyo Barcelona alikuta kila kitu kiko kwenye order akatembelea upepo tu

Halafu usinilazimishe kuwa nilimtetea Poche mbele ya Conte, labda kama ni Luis sawa ila Conte ndie kipenzi changu siwezi hata siku moja kumuweka Pochettino mbele ya Conte
Hans Flick yupo free ,hawa wapumbav akina Boehly na genge lake wake offer , atafanya vizuri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom