juan david
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 3,952
- 5,438
Kama lembu alivyosema tofauti ya Roman Abromovich na Toddy ni katika kufanya maamuzi sahihi kwa wakati sahihi.
Roman alikuwa analeta makocha sahihi kwa wakati sahihi, Toddy analeta makocha sio sahihi kwa wakati huu wa kujenga timu kurudi kwenye njia yake ya mafanikio.
Wamiliki wanaona aibu yani wanaogopa kufanya maamuzi kwa sababu wataonekana kama maclown vile you can not spend 3month unamtafuta mwalim halaf uangukie kwa poch ni upumbavu wa hali ya juu
Abramovich hakuwa na maswala ya interview sijui nini akimtaka kocha ni chap anampata au kocha akatae kama mwenyewe haya maswala sijui uwaweke kwenye mchujo uwafanyie interview ni upumbav kwa makocha wanaojielewa huwez wafanya hivyo.
Lampard