Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

BADIASHILE kumpa pass ya kisigino Adui, kuna watu hapa watamlaumu kocha.

if unahisi shida ni wachezaji

Kipi tumefanya uwanjani hapo ndio watu wanapolalamika
Je kunapattern yoyote ya kiuchezaji??
Why unawatumia wachezaj nje ya nafasi zao ?
Why Game nyingi tunaruhusu magoal ya vichwa huku almost CB zetu ni 6.0+ kwenye urefu
 
Tunaye kocha zezeta kwenye mpira anayefanana na akina Jackson an Broja
Sterling anakula mshahara wa bure tu pale Chelsea
Timu hii inadidimia, sijui hata wanaomsifia Pochettino wanapata wapi ujeuri

Kuna watu wanamtetea Poch kwa uzezeta wake
 
Dah ,
Mzee tunadhalilishwa ni noma
Pumbavu sana haya matoto
Nyny ni timu ambayo tunaweza kutabiri kufungwa kwenu na ikawa hvyohvyo...tengenezeni timu ya kueleweka kabla hatujakutana tena...mkija hivi mlivyo tusilaumiane
 
Hahaha hivi kuna mwanadamu mwenye akili bado anafikiri potatoe la kiagertina lina cha kuoffer na hii timu. wachezaji wanashindwa hata kutuliza mpira.kuna muda huwa najiuliza course za ukocha zinakataza kufanya sub hata first half kama unaona mchezaji anazingua?
 
Nilitaka kushangaa yaani nyumbu jana wagongwe halafu eti leo hizi kenge zishinde.
 
Team imejaa dysfunction.

Mchezaj yule yule anafanya makosa ila Kuna mpumbav anayejiita kocha anashindwa kufanya maamuzi ya kumtoa o kuwatoa
Cha ajabu unakuta mechi zijazo bado wanaanza


Tuna kocha mbovu kuwahi kutokea bora

Hivi utawezaje kufanya kitu kile kile kila week na unaruhusu vitu vile vile kila week


Team haina pattern maalum ya kiuchezaji tupo tupo tu
 
  1. Petrovic
  2. James
  3. Colwil
  4. Disasi
  5. Chilwell
  6. Enzo
  7. Caicedo
  8. Gallagher
  9. Mudryk
  10. Nkunku
  11. Palmer
Sub
  1. Sanchez
  2. Gusto
  3. Badiashile
  4. Maatsen
  5. Lavia
  6. Lesley
  7. Sterling
  8. Madueke
Mpe kocha mzuri mwenye historia ya kushinda hawa wachezaji hapo juu uone matokeo atakayokupa.
Sio huyu zezeta kutoka Argentina
 
Hizi mistake za wachezaj zinatokea kwa sababu ya kocha anayafumbia macho

You cant do same mistake kila week kwa makocha kama akina Arteta o Pep uwone reaction yake itakavyokuwa.
Same Player makosa yale yale.

Ukiachana na makosa ya Wachezaj ila Poch hamna kitu.
Huwez kuwa unalea ujinga huo

Poch yeye kichwani hamna kitu sijaona kipi anachofanya mpaka watu wanamtetea
 
  1. Petrovic
  2. James
  3. Colwil
  4. Disasi
  5. Chilwell
  6. Enzo
  7. Caicedo
  8. Gallagher
  9. Mudryk
  10. Nkunku
  11. Palmer
Sub
  1. Sanchez
  2. Gusto
  3. Badiashile
  4. Maatsen
  5. Lavia
  6. Lesley
  7. Sterling
  8. Madueke
Mpe kocha mzuri mwenye historia ya kushinda hawa wachezaji hapo juu uone matokeo atakayokupa.
Sio huyu zezeta kutoka Argentina

Toa Galagher weka Lavia
Mido iwe ya Lavia halafu Enzo n Caicedo wacheze kama 8S
 
Toa Galagher weka Lavia
Mido iwe ya Lavia halafu Enzo n Caicedo wacheze kama 8S

Ukiachana na hilo tuna team nzuri kuliko hata baadhi ya team nyingi zilizopo juu yetu
Mpe kocha mwenye akili hii team uone kama saizi tusingekuwa pale juu tunakimbizana
 
Toa Galagher weka Lavia
Mido iwe ya Lavia halafu Enzo n Caicedo wacheze kama 8S
Sijamweka kwa sababu hajaanza kucheza na hata hivyo yuko sub, bado hapo akina Fofana na Chukwuemeka
Huyu kocha anatupotezea muda kwa kweli, amepewa wachezaji wazuri anashindwa kuwatumia
 
Halaf njoo kwa Pochetino sasa


IMG_1093.jpg
 
Hizi mistake za wachezaj zinatokea kwa sababu ya kocha anayafumbia macho

You cant do same mistake kila week kwa makocha kama akina Arteta o Pep uwone reaction yake itakavyokuwa.
Same Player makosa yale yale.

Ukiachana na makosa ya Wachezaj ila Poch hamna kitu.
Huwez kuwa unalea ujinga huo

Poch yeye kichwani hamna kitu sijaona kipi anachofanya mpaka watu wanamtetea
Angalia kwa mfano goli la wazi la Sterling, yuko pale Palmer na Jackson na goli tupu
Angalia uchezaji wa Jackson, huyo hata kumsubiri akue haifai, ni aibu kwa Chelsea kuwa na mchezaji kama Jackson
It is an abomination and insult
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom