juan david
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 3,952
- 5,438
BADIASHILE kumpa pass ya kisigino Adui, kuna watu hapa watamlaumu kocha.


if unahisi shida ni wachezajiKipi tumefanya uwanjani hapo ndio watu wanapolalamika
Je kunapattern yoyote ya kiuchezaji??
Why unawatumia wachezaj nje ya nafasi zao ?
Why Game nyingi tunaruhusu magoal ya vichwa huku almost CB zetu ni 6.0+ kwenye urefu


