lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,383
- 25,492
Takwimu zilingane kwani hao wachezaji ni marobot, unaonyesha jinsi usivyojua hata chemmbe ya sokalembu ulini-Quote Mimi,
Hoja yangu kubwa kwako ni kukataa ufananisho wa Caicedo na Kante kiuwezo.
Kuwa "Box to Box MD" lazima namba zako ziwe na Uwiano Mzuri kwenye Box lako na Box la Mpinzani. Kila mtu anayefanya "Pressing" kila Pande ya Uwanja huwezi muita "Box to Box"
Timu nyingi zinazuia kulingana na "ZONES" za Uwanja wengine wanaanzia Juu wengine kati ya Uwanja na wengine wanazuia kwenye eneo lao.
Kuitwa B2B lazima namba zako Kiulinzi ziwe Nzuri na Vile vile kiushambuliaji ziwe Juu. Hilia Jina linatumika Vibaya. Niletee namba za KANTE na Caicedo Kwenye ushambuliaji.
Mfano wa B2B ni YAYA, LAMPARD, GERRARD, POGBA, BELLINGHAM, BARRELA, SAVIC, ILKAY, et al. Wenye uwiano mzuri wa Kushambulia na kuzuia. Unamwitaje CAICEDO "BOX TO BOX" na anakuwa na msaada mkubwa zaidi mbele ya Box lake kuliko la Mpinzani!!
NASUBIRI NAMBA ZAKE KWENYE KUSHAMBULIA!
USIZUNGUKE UKIWA NA HOJA NI-TAG ,
Tunaposema wachezaji hawa wanafanana ni vitu vichache tunaangalia
- Wote ni box to box
- wote wanajua kutackle
- wote wanauwezo mkubwa kufanya ball recoveri
- wote wanajua kuusoma mchezo
- Wote wana uweoz wa kusaidi safu ya ushambuliaji na hapo hapo kusaidia mabeki kukaba
Halafu usikwepe mada, wewe ulikuwa nalazimisha Caicedo ni DM, kitu ambacho nimekukatalia na nimeweka ushahidi hadi maoni ya nguli wengi wa soka. Mchezo na Shefield United ilionyesha pia wazi kuwa Caicedo anacheza vizuri akicheza kioungo advanced role na natumaini ninaposema Advance3d role unaelewa
Advanced role ni majukumu ya kusaidia mashambulizi kama kiungo
