Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Una Gusto na Matsen ila cha ajabu unawachezesha Disasi na Colwill kama RB n LB respectively[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mnaondelea kumtetea Poch endeleeni
 
Hao Gusto na Matsen wana ubora gani? Wote ni wale wale

Kwa hiyo unataka kusema Gusto sio bora
Refer game za Nyuma

Tujitahidi kufatilia mpira

Huyu Maatsen ni vile tu Poch hatak mpa nafasi kwenye hiyo nafas

Against sheffield utd unataka kusema 4CB kwa team inayocheza low block
 
Mkuu Enjoy mazagazaga yako uliyoyasajili kwa rekodi.

Nadhan mkuu game huwa huangalii kama unahisi shida ni wachezaji tuko hapa Tuendelee kuomba uzima tu.

If Klop angefanikiwa kuwapata Enzo n Caicedo o Caicedo n Lavia kila goti lingepigwa

Hawa hawa wachezaj peleka Arsenal,City o Liverpool muone kama hamtolalamika


Kuna swali nilikuuliza ni sehem ipi uwanjan tunaonekana tuko bora tangu Poch amekuja?
 
Hatuwezi kuwa bora uwanjani kwa aina ya wachezaji tulionao.

Muangalie Enzo wa Potter na Hata wa Lampard alikuweje halaf njoo kwa Enzo wa Poch

Hakuna hata mchezaj mmoja aliyeimprove

Against sheffield utd unacheza na 4CB kweli ??[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hatuwezi kuwa bora uwanjani kila eneo kwa aina ya wachezaji tulionao. Wengi mazagazaga
Katika hii list ebu taja zagazaga ni yupi ili January auzwe

Mudryk--Sterling---Nkunku----Jackson---- Palmer

Lavia---Chukwuemeka----Enzo---Caicedo --- Gallagher

Maasten--Colwill --Badiashile--Silva--Disasi--James

-------------Sanchez --------Petrovic-------
 
Una Gusto na Matsen ila cha ajabu unawachezesha Disasi na Colwill kama RB n LB respectively[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mnaondelea kumtetea Poch endeleeni
Huyo Gusto katoka majeruhi ulitegemea angeanza au huyo Matsen hana maajabu yoyote hamfikii hata Cucurela kwa hizo beki kucheza ni sawa tu wala hakuna lawama
 
Huyo Gusto katoka majeruhi ulitegemea angeanza au huyo Matsen hana maajabu yoyote hamfikii hata Cucurela kwa hizo beki kucheza ni sawa tu wala hakuna lawama

Mkuu against sheffield utd

Na si kwamba labda ilikuwa major injury
 
Katika hii list ebu taja zagazaga ni yupi ili January auzwe

Mudryk--Sterling---Nkunku----Jackson---- Palmer

Lavia---Chukwuemeka----Enzo---Caicedo --- Gallagher

Maasten--Colwill --Badiashile--Silva--Disasi--James

-------------Sanchez --------Petrovic-------
Sioni mchezaji wa kuanza kwenye best eleven ya Arsenal.

Sioni mchezaji wa kuanza kwenye best eleven ya Man City

Naona Enzo na Caicedo wakianza kwenye kikosi cha Liverpool
Kwaiyo hayo yote yaliyobaki nia zagazaga msemo wa jamaa hapo juu[emoji16][emoji16]
 
Huyo Gusto katoka majeruhi ulitegemea angeanza au huyo Matsen hana maajabu yoyote hamfikii hata Cucurela kwa hizo beki kucheza ni sawa tu wala hakuna lawama
Maatsen usimlinganishe na CUcurella hata kidogo
Poche hakumtaka tangu mwanzoni, Maatsen amekuwa muungwana tu akanyamaza
Ungeona performance ya Matsen Burnely na Pre season usingecoment hivyo
Nafikiri Pochettino hamtumii sana kwa sababu wamejiandaa kumuuza January
 
Maatsen usimlinganishe na CUcurella hata kidogo
Poche hakumtaka tangu mwanzoni, Maatsen amekuwa muungwana tu akanyamaza
Ungeona performance ya Matsen Burnely na Pre season usingecoment hivyo
Nafikiri Pochettino hamtumii sana kwa sababu wamejiandaa kumuuza January
Maatsen ni mchezaji wa timu ndogo hana kiwango hicho unachosema halafu yule ni beki 3 ulitaka ni mlinganishe na nani
 
Sintahitaji kuendeleza issue ya Unai Emery na Arteta kwa sababu wewe una ubishi tu kwenye hili wakati takwimu ziko wazi kabisa kwamba Arsenal Unai ilimkataa kabisa kama Ten Hag Man U inavyomkataa. Bodi sio wajinga wamtimue kocha mwenye uzoefu lukuki, makombe ya ulaya manne halafu eti waje kumuamini mwanafunzi ambaye anaanzia ukocha Arsenal

Issue ya Kante na Caicedo iko hivi
Advance role ni kiungo box to box apart from CDM. Ni nafasi ya kiungo anayecheza mbele na hapo hapo ana uwezo wa kurudi nyuma na kukaba. aliyembadilishia hiyo nafasi na mashabiki wakalalamika hadi wakachoka ni Sari alipokuja na Jorginho ili ampe mtoto wake nafasi hiyo ya katikati kwenye single pivot role na Kante akapelekwa mbele.

Kante mwenyewe akiri kubadilsihiwa role badala ya DM sasa anacheza mbele
"It is something possible [to play Jorginho's role], but the manager decides. It's fine, it's fine. I like this [more advanced] position. Prefer it? It depends on the game, but I enjoy it. I'm with the manager, and I'm enjoying the way I'm playing now.
"It is a position I used to play when I was in France. I'm enjoying participating more in the offensive positions to change the game. I am enjoying it."

Tarehe 23 Feb 2019, Kante akiongea na Nizaar Kinsella wa Goal

Kante na Caiceod ni copy and paste take it or leave it kwa uchezaji wao. Wanatofautiano kidogo sana.
Kante kajipatia sifa kubwa kwenye ball recoveries, tackling na kusoma mchezo na Caicedo hivyo ana uwezo wa kuusoma mchezo na kujua mashambulizi ya adui inapitia mkondo gani, kuwepo ontime na kukaba au kuzuia au kunyang'anya mpira, wewe unawaseparate vipi kama kweli unawafuatilia hawa wachezaji wawili.
Hii touch MAP inaonyesha jinsi Caicedo anavyocheza box to box zaidi ya CDM
View attachment 2841857
Akiwa Brighton Caicedo kwenye ball recoveries alikuwa wa 8 kwenye ligi na umri wake wa 20-21
Amekuja Chelsea wanamlazimisha acheze CDM amekuwa wa 74, wastage of tallent kwa sababu ya Pochettino mfahidhina ameamua kumfanya mfungwa.
View attachment 2841856
Much like Kante, Caicedo’s recovery tackles and his ability to anticipate where the ball will go, sticking out a spidery leg to turn possession back over, are among his best qualities.
Tuko pamoja kabisa caisedo kawekwa kwenye cage yule ni box to box hata Brighton amecheza na DM Gilmor kijana wetu , nasubiri ujio wa lavia labda poche atamfungulia .
 
Mechi ijayo atacheza halafu sio kila kitu tukosoe kocha anajua zaidi kuliko sisi mashabiki pamoja ya kuwa na mapungufu yake

Unashindwa mpa dakika za kutosha game hii then unaenda mpa dakika nyingi za kutosha game ngumu dhid ya Newcastle
 
Unashindwa mpa dakika za kutosha game hii then unaenda mpa dakika nyingi za kutosha game ngumu dhid ya Newcastle
Hiyo mechi jana Kocha aliboa kipindi cha kwanza
Kumfanya Palmer acheze no. 10 ilimfunga kucheza wide. Sterling ameelezea kuwa HT walifanya mabadiliko ya yeye Sterling kuhamia no 10 na Palmer akaenda RW na ndio maana Chelsea walicheza vizuri baada ya half time na aliyefunguka kucheza vizuri ni Palmer na huku Sterling alijitoa kumsaidia
Nafurahi kama Kocha akiwa anashirikiana na wachezaji kuja na mkakati mzuri wenye kuzaa matunda
Natumaini hilki kosa halitajiridia kwenye mechi na Newcastle Jumanne
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom