Baada ya mechi 13, Aston Villa walikuwa pointi 1 kutoka kushuka daraja, wakamfukuza Gerrard, Emery akachukua timu, na wakaishia kuingia michuano ya Ulaya.
Makocha wakubwa huwainua wachezaji atakaowakuta. Hawasubiri hadi wanunue wachezaji wanaoingia kwenye mfumo wao.
Tuchel alishinda UCL na Chelsea bila kusubiri asajiliwe wachezaji wake
Nahisi hata kama Pochettino akipewa wachezaji anaowataka bado mafanikio yake kubwa itakuwa ya manati sana
View attachment 2840698
Oya ,huyu mtumishi hewa Reece James na Fofana wapelekwe uarabuni au Real Madrid huko ,wauzweNdio captain wenu huyo. Tangu Msimu huu uanze kacheza mechi ngapi? View attachment 2840619
Huyu unai si alifeli pale arsenal.Baada ya mechi 13, Aston Villa walikuwa pointi 1 kutoka kushuka daraja, wakamfukuza Gerrard, Emery akachukua timu, na wakaishia kuingia michuano ya Ulaya.
Makocha wakubwa huwainua wachezaji atakaowakuta. Hawasubiri hadi wanunue wachezaji wanaoingia kwenye mfumo wao.
Tuchel alishinda UCL na Chelsea bila kusubiri asajiliwe wachezaji wake
Nahisi hata kama Pochettino akipewa wachezaji anaowataka bado mafanikio yake kubwa itakuwa ya manati sana
View attachment 2840698
Dah unalinganisha usingizi na kifo.
Tuchel alikuwa na Mendy, Christensen, Rudger, Silva, Chilwell, Alonso, Kante, Kovacic, Jorgnho, Mount, Werner, Pulisic, Harvetz, Ziyech, Odoi, Cheek
Haya mpe wachezaji tulionao James na Chilwell injuries, Sanchez pazia, Cucurela kituko, Disasi kituko, Caicedo, Enzo, Gallagher uwezo wao haufiki hata robo ya Kante, Jorginho, Kovacic, Mount.
Pulisic, Werner, Odoi, Kai walikuwa wanastruggle kufunga magoli lakini walikuwa bora kuliko sterling, Mudyk, Jackson, Maduake.
Kwanza Tuchel hawezi kukubali kuja kufundisha hizi mbarara ni kuharibu profile yake.
Hao wachezaji uliowataja walikuwa wa hovyo sana kwa makocha wengine kumbukaDah unalinganisha usingizi na kifo.
Tuchel alikuwa na Mendy, Christensen, Rudger, Silva, Chilwell, Alonso, Kante, Kovacic, Jorgnho, Mount, Werner, Pulisic, Harvetz, Ziyech, Odoi, Cheek
Haya mpe wachezaji tulionao James na Chilwell injuries, Sanchez pazia, Cucurela kituko, Disasi kituko, Caicedo, Enzo, Gallagher uwezo wao haufiki hata robo ya Kante, Jorginho, Kovacic, Mount.
Pulisic, Werner, Odoi, Kai walikuwa wanastruggle kufunga magoli lakini walikuwa bora kuliko sterling, Mudyk, Jackson, Maduake.
Kwanza Tuchel hawezi kukubali kuja kufundisha hizi mbarara ni kuharibu profile yake.
Kinidhamu nasikia msio mzuri na ndio maana anauzwa cheap sanaTuna hali mbaya, je hili mido litatufaa ??
Tottenham and Chelsea target Rayan Cherki has been put up for sale in the January transfer window for just £8.5m by Lyon.
View attachment 2840700
Mfano uchezaji wa Caicedo ni kama wa Kante, yeey ni box to box midfielder ambaye alitakiwa acheze offesnively zaidi. Ila sasa anachezeshwa kama DM. Hata Enzo naye ni box to box. Usajili wa Midfield utatakiwa ulenge kwenye DMJinsi Kante na Kovacic walivyokuwa wanatumika chin ya tuchel na ndio hivyo hivyo
Enzo Caicedo wangetumika
Ukiniambia chini ya Poch eneo lipi tuko bora kuanzia defenc mpk kwenye kushambulia?
Unauhakika Tuchel angempamga Sanchez bila kujua uwezo wa Petrovic ukoje?
Ni vile tu Poch hataki kumpa nafas Petrovic nafasi
Tatizo kubwa la Chelsea sasa hivi ni mbele na hasa striker, maeneo mengine yako sawa kabisaChini ya Poch hakuna eneo lililo bora kwa sababu kila eneo halina exprienced player ambaye ni uti wa mgongo wa eneo husika.
Ushambuliaji - Hakuna exprienced player mwenye uwezo wa kuibeba hiyo safu na kuamua matokeo. Sterling ni kituko
Kiungo - Hakuna exprienced player wa kubeba hilo eneo
Ulinzi - Silva umri umeshamtupa mkono anachofanya sasa hivi anatupa bonus ya mkono wa kwaheri sio tegemezi tena, James & Chilwell watumishi hewa. Hilo eneo la ulinzi huwezi kujivunia kwamba tunaye mchezaji mwamba wa kulibeba.
Kipa ndio kabisa kimeo
Ndio maana Poche anataka asajiliwe kila eneo mchezaji mmoja mwenye exprienced kubwa, wachezaji waliopo waongezee nyama.
Ukiondoa Arsenal timu zote alizozichukua baada ya hapo hata kabla aliboresha wachezaji na matokeoHuyu unai si alifeli pale arsenal.
PsG?Ukiondoa Arsenal timu zote alizozichukua baada ya hapo hata kabla aliboresha wachezaji na matokeo
Unai HAKUFELI Arsenal. Labda kama kuna maana nyngine Mnayoizungumzia kuhusu Kufeli. Ila amekuwa na Msimu mmoja na Nusu tu na akaifikisha timu Fainali ya Europa na alikuwa na "Winning %" kubwa kuliko hata Arteta. Mikel yeye ana miaka 5 Arsenal na ana Kombe 1 sasa sijajua kama huku ndo kufaulu ama la!unai si alifeli pale arsenal.
Hapa huu ufananisho hakufanani kabisa. Caicedo ni DM kiasili na ndo namba yake B2B hafai maana namba zake kwenye ushambuliaji sio kubwa.Mfano uchezaji wa Caicedo ni kama wa Kante,
Chini ya Poch hakuna eneo lililo bora kwa sababu kila eneo halina exprienced player ambaye ni uti wa mgongo wa eneo husika.
Ushambuliaji - Hakuna exprienced player mwenye uwezo wa kuibeba hiyo safu na kuamua matokeo. Sterling ni kituko
Kiungo - Hakuna exprienced player wa kubeba hilo eneo
Ulinzi - Silva umri umeshamtupa mkono anachofanya sasa hivi anatupa bonus ya mkono wa kwaheri sio tegemezi tena, James & Chilwell watumishi hewa. Hilo eneo la ulinzi huwezi kujivunia kwamba tunaye mchezaji mwamba wa kulibeba.
Kipa ndio kabisa kimeo
Ndio maana Poche anataka asajiliwe kila eneo mchezaji mmoja mwenye exprienced kubwa, wachezaji waliopo waongezee nyama.
Caicedo hata RB alishacheza vizuri Brighton ilipomfunga Man U 1-0 mwaka jana.Unai HAKUFELI Arsenal. Labda kama kuna maana nyngine Mnayoizungumzia kuhusu Kufeli. Ila amekuwa na Msimu mmoja na Nusu tu na akaifikisha timu Fainali ya Europa na alikuwa na "Winning %" kubwa kuliko hata Arteta. Mikel yeye ana miaka 5 Arsenal na ana Kombe 1 sasa sijajua kama huku ndo kufaulu ama la!
Hapa huu ufananisho hakufanani kabisa. Caicedo ni DM kiasili na ndo namba yake B2B hafai maana namba zake kwenye ushambuliaji sio kubwa.
KANTE alikuwa anaweza hata simama Mwenyewe kama "Lone DM" Kitu ambacho Caicedo hakiwezi. {Kifupi CAIDEDO ni kuporomoka kiusajili, Ni mzuri lakini sio Daraja la KANTE}
Chelsea ya TT unayosema imesukwa zaidi na Lampard ambae si Mwalimu mzuri lakini ukifuatilia mahojiano yake na taswira aliokuwa nayo kwa Chelsea inaonyesha angeweza kuwa Mkurugenzi Mzuri sana wa Michezo. Yeye anakwambia Bodi ilimletea Timo na Kai kitu ambacho mpaka anaondoka hakuwahi jua Nafasi zao Bora ni zipi!
LAMPARD Alitaka msajili RICE na Haaland akiwa bado Salzburg, ila Bodi ikamletea TIMO na KAI.
Kwa taarifa yako Unai Emery alifukuzwa Arsenal kwa sababu za kufanya vibaya kwenye ligi na kuwa alionekana mbele ya uongozi wa Arsenal kuwa hafai kwenye kandanda la Uingereza. "Incompartible with EPL"Unai HAKUFELI Arsenal. Labda kama kuna maana nyngine Mnayoizungumzia kuhusu Kufeli. Ila amekuwa na Msimu mmoja na Nusu tu na akaifikisha timu Fainali ya Europa na alikuwa na "Winning %" kubwa kuliko hata Arteta. Mikel yeye ana miaka 5 Arsenal na ana Kombe 1 sasa sijajua kama huku ndo kufaulu ama la!