Ukishakuwa na kocha loser tegemea hivi vitu.
Mim niliyeko huku naona kabisa makosa yale yale yanajirudia kila game
Yule muargentina yeye haoni??
Hakuna kocha pale
Bado kuna fans hapa wanapeleka malalamiko kwa wachezaji. Wachezaji hawana makosa yeyote. Kama kuna shabili asiyejua, mchezaji anatekeleza maelekezo ya kocha na wasaidizi wake uwanjani.
Kazi ya kocha ni kuhakikisha wale wasioweza kutekeleza malekezo anakula benchi au anakaa nje ya timu kabisa. Sasa wachezaji wanapocheza vibaya halafu kocha anasema wamecheza vizuri, they gave everything maana yake uwezo wa kocha ndio umeishia hapo.
Pochettino ni kocha mzuri ila kwa hii project ya Chelsea kaonyesha udhaifu mkubwa sana
Labda aamue kubadilika
Baadhi ya makosa yake
Pre seaosn tulicheza vizuri baada ya hapo mbinu zote, style yote na wachezaji waliofanya vizuri kama Maatsen akaweka nje akaja na mambo mapya
Kosa la pili
Kwenye timu kubwa anakuja na gameplan nzuri ila tukishamalizana na hizo timu timu dhaifu kama Forest, Man U anakuja na gameplana mbovu kupita maelezo
Kosa la tatu
Anawachezesha wachezaji nje ya nafasi zao, anawaacha wachezaji wazuri kwenye benchi, anafanya sub za vituko na anachelewa sana kumuondoa mchezaji ambaye hayuko kwenye form
Kosa la nne
Anajificha sana kwenye mwamvuli wa LONG TEREM PROJECT,
Anajificha pia kwenye wachezaji wapya wasiokuwa na uzoefu
Hakuna juhudi yeyote inafanyika kuondoa hilo