Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

uyo kipa ni kimeo acheni kumtetea footwork hana makosa kibao leo baada ya kufungwa akafanya kosa kama lile alilofanya dhidi ya arsenal anampasia mtu wa timu pinzani icho kitu hata onana hawezi fanya
Yeye ndie jana kacheza vizuri, kaokoa magoli zaidi ya tatu. Wengine wote jana walikuwa maboga yaliyolala
 
Pochettino : “I am not disappointed because I think they gave everything." (@NizaarKinsella) #CFC


Mnaoendelea kumtetea huyu mpuuzi endeeleeni kumtetea tu hapa hakuna kocha
Kwa performance ile unasema hivyo
1701932322924.png
 
Ukishakuwa na kocha loser tegemea hivi vitu.

Mim niliyeko huku naona kabisa makosa yale yale yanajirudia kila game
Yule muargentina yeye haoni??

Hakuna kocha pale
Bado kuna fans hapa wanapeleka malalamiko kwa wachezaji. Wachezaji hawana makosa yeyote. Kama kuna shabili asiyejua, mchezaji anatekeleza maelekezo ya kocha na wasaidizi wake uwanjani.
Kazi ya kocha ni kuhakikisha wale wasioweza kutekeleza malekezo anakula benchi au anakaa nje ya timu kabisa. Sasa wachezaji wanapocheza vibaya halafu kocha anasema wamecheza vizuri, they gave everything maana yake uwezo wa kocha ndio umeishia hapo.
Pochettino ni kocha mzuri ila kwa hii project ya Chelsea kaonyesha udhaifu mkubwa sana
Labda aamue kubadilika
Baadhi ya makosa yake
Pre seaosn tulicheza vizuri baada ya hapo mbinu zote, style yote na wachezaji waliofanya vizuri kama Maatsen akaweka nje akaja na mambo mapya
Kosa la pili
Kwenye timu kubwa anakuja na gameplan nzuri ila tukishamalizana na hizo timu timu dhaifu kama Forest, Man U anakuja na gameplana mbovu kupita maelezo
Kosa la tatu
Anawachezesha wachezaji nje ya nafasi zao, anawaacha wachezaji wazuri kwenye benchi, anafanya sub za vituko na anachelewa sana kumuondoa mchezaji ambaye hayuko kwenye form
Kosa la nne
Anajificha sana kwenye mwamvuli wa LONG TEREM PROJECT,
Anajificha pia kwenye wachezaji wapya wasiokuwa na uzoefu
Hakuna juhudi yeyote inafanyika kuondoa hilo
 
hili timu letu ni bovu tusipeane moyo yani mechi kama hii inachukiza sana makosa ni mengi wanacheza tu nyuma kipa ndio tumepigwa footwork hana kudaka majanga mbele hakuna watu yani leo tumefungwa kwa kuonyesha kabisa bora manyumbu wana fighting spirit kuliko chelsea
bado hamjasema.
Ila Chelsea nyinyi ni ndugu zetu wa damu kabisa, ukiangalia hata Head to head hatujayofautiana. hamis77 ukuje hapa utie neno, wewe ndio uliowaaminisha hawa ndugu zetu kua walau wao mpira wao unaonekana kuliko nyumbu na ukawapea nafasi ya juu kwenye top 10 ukiwaweka juu ya nyumbu, vipi bado unasimamia kauli yako au ndio mambo yaleyale ya kusambaza false hopes tu mpaka kwa hawa ndugu zetu marass?
1701933019633.jpg
 
bado hamjasema.
Ila Chelsea nyinyi ni ndugu zetu wa damu kabisa, ukiangalia hata Head to head hatujayofautiana. hamis77 ukuje hapa utie neno, wewe ndio uliowaaminisha hawa ndugu zetu kua walau wao mpira wao unaonekana kuliko nyumbu na ukawapea nafasi ya juu kwenye top 10 ukiwaweka juu ya nyumbu, vipi bado unasimamia kauli yako au ndio mambo yaleyale ya kusambaza false hopes tu mpaka kwa hawa ndugu zetu marass? View attachment 2835417
Kuna uchawi hpa duniani....yaani pamoja na ubovu kwlikwli wa Manunu eti wamepitwa point 3 na City🤠🤠🤠
 
Gallagher kwa tuliowahi kukusema vibaya au kutotambua mchango wako tunaomba utusamehe. Game ya leo pengo lako dhahiri linaonekana
View attachment 2835163

Sent from my SM-G973U using JamiiForums mobile app

Hivi bado mnahisi tu kutokuwepo kwa huyu ndio sabab ya kufungwa????
Sio mechi ya kwanza tunafungwa na makosa yanaonekana yale yale huwez laumu eti kisa flan hayupo


Shida ya team inajulikana hakuna kupepesa macho
Shida ni Pochetino
 
hili timu letu ni bovu tusipeane moyo yani mechi kama hii inachukiza sana makosa ni mengi wanacheza tu nyuma kipa ndio tumepigwa footwork hana kudaka majanga mbele hakuna watu yani leo tumefungwa kwa kuonyesha kabisa bora manyumbu wana fighting spirit kuliko chelsea
Kipa uki mfuata TU anapiga pasi mkaa ni vichekesho kabisa ,tuache masikhara twende ac Milan tuchukue kipa
 
Nyny ni gari la mkaa...mpk mtakapowauza kina Rashidi Makame na Martial mkaleta watu wa kazi ndo mtaacha kudharaulika...vngnevyo mechi 2 zijazo mnadundwa tena
Narudia tena matatizo ni mengi tunayo.
But one thing about life, usiwahi dharau manchester United
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom