Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mnajificha kwenye hicho kivulo cha experience

Simple qn
Hiv mchezaj mpka acheze miaka mingapi o game ngapi ndio useme anaexperience???
Miaka 28 kama akina Sterling au 32 kama akina Salah?
Hizi ni alegations za kutoelewa soka kabisa. Mtu kama Enzo au Caicedo wameshaproove kwenye zaidi ya misimu miwili
Janury tutampa wachezaji sawa, tutawanunua akina Joao Palhinha miaka 28 na Ivan Toney miaka 27 na muwataje na wengine tena wenye experience ya EPL ila ukweli ni huu. Pochettino hataweza kuwashindana na akina PEP, KLOPP, Arteta, Unai, DiZerbi, Ange Postecoglou, Huyu ni wa kushindana na akina David Moyes
 
Majeruhi wetu 10 hawa hapa - pamoja na tarehe za matarajio ya kurudi kwao dimbani.

1. Reece James

Baada ya kurejea katika utimamu kamili mwezi uliopita, matatizo ya James yalizidi kuumia siku ya Jumapili. Nafasi yake ilichukuliwa na Levi Colwill kabla ya kuelekea moja kwa moja kwenye handaki huko Goodison Park.

Ni mapema mno kujua ni muda gani atakabiliana nao, hata hivyo, Chelsea na Pochettino watakuwa na matumaini kuwa utambuzi sio mbaya sana.

2. Robert Sanchez
Kipa huyo alipata jeraha la goti katika mechi ya kichapo dhidi ya Manchester United Jumatano lakini alikuwa sawa kucheza dhidi ya Everton. Hata hivyo, baada ya kuumia katika kipindi cha pili, Sanchez alizidisha jeraha hilo leo.
Nafasi yake ilichukuliwa na Djordje Petrovic.
Alichosema Pochettino: "Alipata tatizo dhidi ya Manchester United, tatizo kwenye goti lake na alihisi kitu katika kipindi cha pili."

3. Christopher Nkunku
Baada ya miezi kadhaa ya ukarabati, Nkunku hatimaye amerejea kwenye mazoezi ya kikosi cha kwanza. Mauricio Pochettino alifichua kuwa safari ya katikati ya wiki kwenda Manchester United ilikuwa mapema sana na alikosa wikendi pia.
Alichokisema Pochettino: "Bado tunatathmini siku baada ya siku, ona kesho. Siamini kwamba atahusika lakini tunatakiwa kutathmini siku baada ya siku."
Akizungumza kabla ya kushindwa na Everton, alisema: "Hatua ya mwisho huwa ni jambo gumu zaidi. Wako karibu sana, lakini wakati huo huo tulikuwa na ucheleweshaji mdogo, lakini tunatumai kwamba wanaweza kuhusika hivi karibuni."
Tarehe inayowezekana ya kurudi: Sheffield United (H) - Jumamosi, Desemba 16.

4. Romeo Lavia
Lavia amekuwa akiuguza tatizo la kifundo cha mguu tangu alipowasili Stamford Bridge na bado hajacheza mechi yake ya kwanza kwa The Blues. Mwezi uliopita, kiungo huyo wa kati alikabiliwa na kikwazo kikubwa katika safari yake ya kupona, na hivyo kusukuma tarehe yake ya kurejea mwezi Desemba.

Alichosema Pochettino: "Romeo anaendelea vizuri pia lakini kama Christopher hatahusika."

"Hatua ya mwisho daima ni jambo gumu zaidi. Wako karibu sana, lakini wakati huo huo tulikuwa na ucheleweshaji mdogo, lakini tunatumai kwamba wanaweza kuhusika hivi karibuni."

Tarehe inayowezekana ya kurudi: Sheffield United (H) - Jumamosi, Desemba 16

5. Malo Gusto
Malo Gusto alijiondoa kwenye kikosi cha Ufaransa chini ya miaka 21 mwezi Novemba kutokana na jeraha la goti. Beki huyo mwenye umri wa miaka 20 alifanyiwa uchunguzi wa MRI na baadaye ikabainika kulikuwa na 'kidonda kidogo' kwenye ligament ya ndani ya upande.

Ingawa hakuingia kwenye kikosi dhidi ya Brighton, alionekana akirejea kwenye mazoezi ya kikosi cha kwanza cha Chelsea kabla ya mechi, na kupendekeza kwamba anaweza kupatikana kwa mchujo hivi karibuni.

Alichosema Pochettino: "Tunaona pia kama Malo Gusto anaweza kupatikana lakini mbali na hayo hakuna
Tarehe inayowezekana ya kurudi: Sheffield United (H) - Jumamosi, Desemba 16

6. Noni Madueke
Madueke aliachwa kwenye benchi kwa pambano dhidi ya Brighton na hakutokea mbadala. Anakaribia kukosa kucheza baada ya kushuka uwanjani kutokana na jeraha dogo akiwa mazoezini.

Jina lake liliondolewa kwenye orodha ya majeruhi mbele ya Everton lakini aliachwa kabisa na kikosi cha Merseyside.
Alichokisema Pochettino: "Noni baada ya mechi, baada ya Brighton pia, matatizo madogo yanatumai kwamba hivi karibuni watapatikana kufanya mazoezi na kupatikana kwa timu."

Tarehe inayowezekana ya kurudi: Sheffield United (H) - Jumamosi, Desemba 16

7. Lesley Ugochukwu
Ugochukwu alikuwa mwingine ambaye hakucheza dhidi ya United baada ya kupata jeraha dogo baada ya mechi ya Brighton. Kinda huyo hakujumuishwa kwenye kikosi kilichokabiliana na Seagulls pia lakini hata hivyo alifutiliwa mbali kwa safari ya kuelekea kaskazini.

Alichosema Pochettino: "Lesley anahisi kitu wiki hii, jeraha dogo. Noni baada ya mechi, baada ya Brighton pia, matatizo madogo yanatumai kwamba hivi karibuni watapatikana kufanya mazoezi na kupatikana kwa timu."

Tarehe inayowezekana ya kurudi: Sheffield United (H) - Jumamosi, Desemba 16

8. Ben Chilwell
Chilwell alipata pigo kuelekea mwisho wa mpambano wa Chelsea na Brighton kwenye Kombe la Carabao mwishoni mwa Septemba. Kwa bahati mbaya kwa beki huyo wa The Blues, klabu iligundua haraka kuwa tatizo la misuli lilikuwa baya kuliko ilivyofikiriwa na, zaidi ya mwezi mmoja baadaye, bado yuko nje ya uwanja.

Alichosema Pochettino: "Siwezi kukuambia [atarejea lini]. Ni vigumu kujua. Yuko mbali na uwanja wa mazoezi sasa na tutamsubiri arudi kuona hali ilivyo. Tunatumai anaweza kupona. haraka iwezekanavyo."

Tarehe inayowezekana ya kurudi: Mwishoni mwa Desemba

9. Trevoh Chalobah
Chalobah amekuwa akiuguza jeraha la paja na bado hajaichezea Chelsea msimu huu. Ameonekana akifanya mazoezi kwenye gym huko Cobham wakati wa mapumziko ya kimataifa lakini kurejea uwanjani kunaonekana kuwa mbaya.

Tarehe inayowezekana ya kurudi: Haijulikani

10. Carney Chukwuemeka
Chukwuemeka alipata goli kabla ya mechi akiwa na Arsenal na kisha akaweka benchi dhidi ya Burnley, lakini kiungo huyo amepata pigo lingine. Amekuwa na tatizo la goti ambalo alikumbana nalo dhidi ya West Ham United mapema kwenye kampeni.

Amechapisha kwa mara nyingine tena kutoka kwa Cobham anapopata nafuu na kazi kwenye gym.

Tarehe inayowezekana ya kurudi: Haijulikani
James anarudi February tarehe bado lakini sio chini ya miezi mitatu na akikubali kufanyiwa surgery maana mwaka jana alikataa anaweza asirudi hadi msimu uishe

Nimefurahi Sanchez kaumia ili kocha atest huu mtambo wa Petrovic umetulia tu

Lavia anarudi 19 Dec 2023

Chilwell ni hadi mwakani tarehe 6 January 2024

Cucurella naye kaumia goti haijulikani lini atarudi

Fofana hukumuweka kabisa kwa sababu huyo hadi msimu uishe japo kuna taarifa zinadai atarudi mapema kuliko ilivyotarajiwa
 
1702477476198.png
 
Sasa hapo ukisema Unai Emery hakufeli Arsenal ni kwamba wewe umebase kwenye kuifikisha timu Euroap fainal na wining percentage ya 55%
Narudia kwambia UNAI HAKUFELI ARSENAL ni kwamba HAKUPEWA MUDA na WACHEZAJI ANAHITAJI. Kufika fainali kwenye Mashindano ya Ulaya ilikuwa imepita miaka Zaidi ya 10. Kingine fainali aliifikisha Arsenal ikiwa na kina Niles, Kolasinak, Monreal, dhidi ya Chelsea ya kina Hazard, Pedro, Kante, Jorginho, et al. HAYO NI MAFANIKIO

ARTETA Alicheza mechi 10 Akiwa na Sare 2 na Ushindi 1, Kapoteza zilobaki zote. Kwa hiyo kigezo cha Unai kutopata matokeo kilikuwa ni kushindwa Mpatia Muda.
Suala la Lugha alikuwa anafanyiwa dhihaka na "Media" na wala sio suala la ndani. Walimu wengi wanafundisha ligi mpya bila kujua hata lugha ya Nchi husika. Bielsa anakuwaga na Mkalimani. Mourinho alianza kuwa mkalimani Barca.

Kingine ARTETA Kapewa Muda na Mamlaka ndio sababu leo hii amepata timu yake. Mwanzo akianza Arsenal alikuwa anapaki Basi wanamwita "BUSTETA" na alikuwa anatumia Mabeki 5, Luiz akiwa kati kama LIBERO. Mamlaka alopewa ndo ameweza waacha LACA, AUBA, OZIL, LUIZ, kwa Uchache, Mpaka sasa ana sajili zake karibu 30

Sajili mbovu zinatokeaga kwa mwalimu yeyote. EMERY ndo kamleta ARSENAL SALIBA, MARTINEZ, LENO, TIERNEY, na hawa ndo ARTETA alianzia tengenezea timu. PEPE amesajiliwa na EMERY Kwa shinikizo la Bodi ila alikuwa anataka Mchezaji mwingine kabisa. UNAKOSEA Sema PEPE kawa FLOP kwa EMERY na amecheza chini ya EMERY kwa miezi miwili tu lakini kawa na ARTETA KWA miaka 4!! sasa Hapo nani kashindwa pata Ubora wa Mwingine?

Na EMERY Alikuwa anamtaka ZAHA Bodi ikamsajilia PEPE. Sajili za Bodi ndo hizi zitaitesa CHELSEA Kwa muda. EMERY Kaenda Aston Villa baada ya wao kumhakikishia mamlaka, na Wachezaji alowataka ndo hawa wanaunda Uti wa Mgongo wa timu.
UNAI HAKUFELI ARSENAL BODI ILIJIFELISHA.
 
Unai HAKUFELI Arsenal. Labda kama kuna maana nyngine Mnayoizungumzia kuhusu Kufeli. Ila amekuwa na Msimu mmoja na Nusu tu na akaifikisha timu Fainali ya Europa na alikuwa na "Winning %" kubwa kuliko hata Arteta. Mikel yeye ana miaka 5 Arsenal na ana Kombe 1 sasa sijajua kama huku ndo kufaulu ama la!


Hapa huu ufananisho hakufanani kabisa. Caicedo ni DM kiasili na ndo namba yake B2B hafai maana namba zake kwenye ushambuliaji sio kubwa.
KANTE alikuwa anaweza hata simama Mwenyewe kama "Lone DM" Kitu ambacho Caicedo hakiwezi. {Kifupi CAIDEDO ni kuporomoka kiusajili, Ni mzuri lakini sio Daraja la KANTE}

Chelsea ya TT unayosema imesukwa zaidi na Lampard ambae si Mwalimu mzuri lakini ukifuatilia mahojiano yake na taswira aliokuwa nayo kwa Chelsea inaonyesha angeweza kuwa Mkurugenzi Mzuri sana wa Michezo. Yeye anakwambia Bodi ilimletea Timo na Kai kitu ambacho mpaka anaondoka hakuwahi jua Nafasi zao Bora ni zipi!

LAMPARD Alitaka msajili RICE na Haaland akiwa bado Salzburg, ila Bodi ikamletea TIMO na KAI.
Yah !
Lampard alikuwa failure kwenye kufundisha na kuwin title ,ila alikuwa ni proper talent tracker , kumbuka wakati anasuka hicho kikosi kilichotumiwa na Tuchel kubeba UEFA na makombe mengine ,ndio tulipigwa ban ya kutosajili , na ndio huo huo wakati mpaka akina Reece James wakaibuliwa kutoka kwenye pool ya makinda huko .
Jamaa angeachana na ukocha akastick kama scout au football director angekuja kuwa moja kati ya watu successful Sana huko mbeleni
 
Miaka 28 kama akina Sterling au 32 kama akina Salah?
Hizi ni alegations za kutoelewa soka kabisa. Mtu kama Enzo au Caicedo wameshaproove kwenye zaidi ya misimu miwili
Janury tutampa wachezaji sawa, tutawanunua akina Joao Palhinha miaka 28 na Ivan Toney miaka 27 na muwataje na wengine tena wenye experience ya EPL ila ukweli ni huu. Pochettino hataweza kuwashinda akina PEP, KLOPP, Arteta, Unai, DiZerbi, Ange Postecoglou, Huyu ni wa kushindana na akina David Moyes

Hata aje nani Hatuwezi endelea popote na Pochetino tutaendelea kukaa hapo hapo wa 10

Huwezi lalamika kila wiki excuse mpya hiv angeikuta tuko uefa situngekuwa tuko kwenye relagation zone.

Kipi kilimfanya aachane na mfumo aliokuwa anatumia Pre Season.


Wanaondelea kuhisi Poch ni mtu sahihi tutakuwa wote hapa Tuombe uzima tu
 
Narudia kwambia UNAI HAKUFELI ARSENAL ni kwamba HAKUPEWA MUDA na WACHEZAJI ANAHITAJI. Kufika fainali kwenye Mashindano ya Ulaya ilikuwa imepita miaka Zaidi ya 10. Kingine fainali aliifikisha Arsenal ikiwa na kina Niles, Kolasinak, Monreal, dhidi ya Chelsea ya kina Hazard, Pedro, Kante, Jorginho, et al. HAYO NI MAFANIKIO

ARTETA Alicheza mechi 10 Akiwa na Sare 2 na Ushindi 1, Kapoteza zilobaki zote. Kwa hiyo kigezo cha Unai kutopata matokeo kilikuwa ni kushindwa Mpatia Muda.
Suala la Lugha alikuwa anafanyiwa dhihaka na "Media" na wala sio suala la ndani. Walimu wengi wanafundisha ligi mpya bila kujua hata lugha ya Nchi husika. Bielsa anakuwaga na Mkalimani. Mourinho alianza kuwa mkalimani Barca.

Kingine ARTETA Kapewa Muda na Mamlaka ndio sababu leo hii amepata timu yake. Mwanzo akianza Arsenal alikuwa anapaki Basi wanamwita "BUSTETA" na alikuwa anatumia Mabeki 5, Luiz akiwa kati kama LIBERO. Mamlaka alopewa ndo ameweza waacha LACA, AUBA, OZIL, LUIZ, kwa Uchache, Mpaka sasa ana sajili zake karibu 30

Sajili mbovu zinatokeaga kwa mwalimu yeyote. EMERY ndo kamleta ARSENAL SALIBA, MARTINEZ, LENO, TIERNEY, na hawa ndo ARTETA alianzia tengenezea timu. PEPE amesajiliwa na EMERY Kwa shinikizo la Bodi ila alikuwa anataka Mchezaji mwingine kabisa. UNAKOSEA Sema PEPE kawa FLOP kwa EMERY na amecheza chini ya EMERY kwa miezi miwili tu lakini kawa na ARTETA KWA miaka 4!! sasa Hapo nani kashindwa pata Ubora wa Mwingine?

Na EMERY Alikuwa anamtaka ZAHA Bodi ikamsajilia PEPE. Sajili za Bodi ndo hizi zitaitesa CHELSEA Kwa muda. EMERY Kaenda Aston Villa baada ya wao kumhakikishia mamlaka, na Wachezaji alowataka ndo hawa wanaunda Uti wa Mgongo wa timu.
UNAI HAKUFELI ARSENAL BODI ILIJIFELISHA.
Graph ya performance ya Unai ilikuwa inazama kwa kasi, Arteta grafu yake inapanda msimu kwa msimu. Karudisha heshima ya Arsenal. Wining rate yake kubwa kuliko makocha wote waliowahi kuifundisha Arsenal. Unapochambua soka na kufika conclusion utumie takwimu sio hoja ya nguvu bro
 
Wakala wa Joao Palhinha (miaka 28) amezungumza na Chelsea katika jitihada za kujaribu kumhakikishia mteja wao uhamisho mkubwa katika wiki zijazo. (kupitia teamtalk)

Huyu ndie DM
 
Narudia kwambia UNAI HAKUFELI ARSENAL ni kwamba HAKUPEWA MUDA na WACHEZAJI ANAHITAJI. Kufika fainali kwenye Mashindano ya Ulaya ilikuwa imepita miaka Zaidi ya 10. Kingine fainali aliifikisha Arsenal ikiwa na kina Niles, Kolasinak, Monreal, dhidi ya Chelsea ya kina Hazard, Pedro, Kante, Jorginho, et al. HAYO NI MAFANIKIO

ARTETA Alicheza mechi 10 Akiwa na Sare 2 na Ushindi 1, Kapoteza zilobaki zote. Kwa hiyo kigezo cha Unai kutopata matokeo kilikuwa ni kushindwa Mpatia Muda.
Suala la Lugha alikuwa anafanyiwa dhihaka na "Media" na wala sio suala la ndani. Walimu wengi wanafundisha ligi mpya bila kujua hata lugha ya Nchi husika. Bielsa anakuwaga na Mkalimani. Mourinho alianza kuwa mkalimani Barca.

Kingine ARTETA Kapewa Muda na Mamlaka ndio sababu leo hii amepata timu yake. Mwanzo akianza Arsenal alikuwa anapaki Basi wanamwita "BUSTETA" na alikuwa anatumia Mabeki 5, Luiz akiwa kati kama LIBERO. Mamlaka alopewa ndo ameweza waacha LACA, AUBA, OZIL, LUIZ, kwa Uchache, Mpaka sasa ana sajili zake karibu 30

Sajili mbovu zinatokeaga kwa mwalimu yeyote. EMERY ndo kamleta ARSENAL SALIBA, MARTINEZ, LENO, TIERNEY, na hawa ndo ARTETA alianzia tengenezea timu. PEPE amesajiliwa na EMERY Kwa shinikizo la Bodi ila alikuwa anataka Mchezaji mwingine kabisa. UNAKOSEA Sema PEPE kawa FLOP kwa EMERY na amecheza chini ya EMERY kwa miezi miwili tu lakini kawa na ARTETA KWA miaka 4!! sasa Hapo nani kashindwa pata Ubora wa Mwingine?

Na EMERY Alikuwa anamtaka ZAHA Bodi ikamsajilia PEPE. Sajili za Bodi ndo hizi zitaitesa CHELSEA Kwa muda. EMERY Kaenda Aston Villa baada ya wao kumhakikishia mamlaka, na Wachezaji alowataka ndo hawa wanaunda Uti wa Mgongo wa timu.
UNAI HAKUFELI ARSENAL BODI ILIJIFELISHA.
Kubali Unai alifeli Arsenal na yeye anajua alikosea wapi. Naona hayo makosa kayarekebisha alipoichua Aston Villa. Makosa baadhi nimetaja kwenye response yangu ya kwanza
 
Graph ya performance ya Unai ilikuwa inazama kwa kasi, Arteta grafu yake inapanda msimu kwa msimu. Karudisha heshima ya Arsenal. Wining rate yake kubwa kuliko makocha wote waliowahi kuifundisha Arsenal. Unapochambua soka na kufika conclusion utumie takwimu sio hoja ya nguvu bro
Graph ipi unazungumzia Jamaa, Katika Game zote alizocheza Emery Arsenal ukilinganisha na Arteta anamzidi kila kitu. NTASUBIRI HAPA HIZO GRAPH UNAZUNGUMZIA ZA ARTETA KUMZIDI EMERY akiwa ARSENAL. Msimu wake wa Kwanza tu Emery kamaliza nafasi ya 5 na amekaa Miezi 18, ARTETA Msimu wa 5 huu timu imeingia TOP 4 mara 1,

Kubali Unai alifeli Arsenal na yeye anajua alikosea wapi.

Hizi ni takwimu kutokana na idadi ya Mechi sawa za Mwanzo. Nasubiri "KUFELI KWAKE"
Played: Emery: 78 – Arteta: 77
Won: 43 – 42
Drawn: 15 – 14
Lost: 20 – 21
Goals scored: 156 – 136
Goals conceded: 105 – 86
Points (all comps): 144 – 140
PPG (all comps): 1.85 – 1.82
Premier League points: 88 – 78
Premier League PPG: 1.73 – 1.53
Overall win percentage: 55% – 54%


KANTE Umemzungumzia kama "LONE DM" akiwa Leicester, sina Hakika kama ulikuwa unaangalia Mechi za Leicester!! Claudio Ranieri anatumia 4~4~2, Winga zake ALBRIGHTON na MAHREZ, Cm's zake DRINKWATER na KANTE, Fwd Okazaki na Vardy.
Sasa Mfumo wa 4~4~2 Unatumiaje "LONE DM" hasa kwa timu ambayo inacheza kwa kujilinda tu hapa tunawazungumzia LEICESTER!

KANTE Chelsea kaanza tumika kama "Lone 6" wakati LAMPARD anatumia mfumo wa 4~3~3. Na kiasili KANTE B2B sio nafasi alokuwa anacheza Kwa TT, alikuwa anatumika kama Mvurugaji ama kama wao wanaovyoita "DESTROYER/ HYBRID" hana nafasi maalum ya kukaba ama eneo. Na kama unakumbuka fainali ya UCL, Admin wa CITY alitania wakati wa HT kwamba wangekuwa na matokeo mazuri lakini KANTE yupo kila mahali!
 
Graph ipi unazungumzia Jamaa, Katika Game zote alizocheza Emery Arsenal ukilinganisha na Arteta anamzidi kila kitu. NTASUBIRI HAPA HIZO GRAPH UNAZUNGUMZIA ZA ARTETA KUMZIDI EMERY akiwa ARSENAL. Msimu wake wa Kwanza tu Emery kamaliza nafasi ya 5 na amekaa Miezi 18, ARTETA Msimu wa 5 huu timu imeingia TOP 4 mara 1,



Hizi ni takwimu kutokana na idadi ya Mechi sawa za Mwanzo. Nasubiri "KUFELI KWAKE"
Played: Emery: 78 – Arteta: 77
Won: 43 – 42
Drawn: 15 – 14
Lost: 20 – 21
Goals scored: 156 – 136
Goals conceded: 105 – 86
Points (all comps): 144 – 140
PPG (all comps): 1.85 – 1.82
Premier League points: 88 – 78
Premier League PPG: 1.73 – 1.53
Overall win percentage: 55% – 54%


KANTE Umemzungumzia kama "LONE DM" akiwa Leicester, sina Hakika kama ulikuwa unaangalia Mechi za Leicester!! Claudio Ranieri anatumia 4~4~2, Winga zake ALBRIGHTON na MAHREZ, Cm's zake DRINKWATER na KANTE, Fwd Okazaki na Vardy.
Sasa Mfumo wa 4~4~2 Unatumiaje "LONE DM" hasa kwa timu ambayo inacheza kwa kujilinda tu hapa tunawazungumzia LEICESTER!

KANTE Chelsea kaanza tumika kama "Lone 6" wakati LAMPARD anatumia mfumo wa 4~3~3. Na kiasili KANTE B2B sio nafasi alokuwa anacheza Kwa TT, alikuwa anatumika kama Mvurugaji ama kama wao wanaovyoita "DESTROYER/ HYBRID" hana nafasi maalum ya kukaba ama eneo. Na kama unakumbuka fainali ya UCL, Admin wa CITY alitania wakati wa HT kwamba wangekuwa na matokeo mazuri lakini KANTE yupo kila mahali!
mkorea hamis77 Castr
Ndg 4-4-2 ni arrangement tu
Kwenye kila formation mchezaji kulingana na uwezo wake ankuwa na special role
Raniery, Conte na Deschamps wamekuwa wakimtumia Kante kwenye deeper roles (DM)
Sari, Lampard, TT na Potter wao walimtumia kwenye Advance role (Box to box) kwa sababu ya uwezo wake mkubwa wa kushambulia na kurudi kudefend. Hizi ndizo data za ukweli bila kujali walipangwaje uwanjani

Kwa hizo takwimu za Unai na Arteta mimi sijui ila tu ukweli ni kwamba, Arteta amenaza vibaya lakini ndani ya miezi sita aligeuza kibao hadi sasa grafu yake ya performance inaenda vizuri kuliko ile ya Unai Emery. Nimetoa sababu kwa nini uongozi umekatiza mkataba wa Unai Emery na sijuio hata kama umezisoma
 
Nimesoma sababu zote ulizoandika, ila nikwambie tu EMERY alikutana na Nafasi kubwa sana ya kuziba WENGER ni GWIJI mategemeo yalikuwa makubwa ila namba zake hazina tofauti na ARTETA, Tofauti kati yao Mmoja aliaminiwa na mmoja hakupata nafasi ya kujitetea Uwanjani. ARTETA imekuwa Faida kwake kufanya shughuli na EDU,

EMERY alikuwa anamtaka MONCHI kipindi chote ila Bodi ilimbania angalia VILLA amepewa MONCHI Hawana Matarajio makubwa kama ARSENAL ila wanazungumza lugha moja na Uwanjani wanaonyesha kitu TORRES, DIABY zote zimekuwa Sajili bora.


HAPA JAMAA tafakari Upya, KANTE na kushambulia wapi na wapi Ndugu. Huyu alikuwa anatumika kama "Mharibuji" na kuongeza nguvu kwenye "Pressing" na amekuwa Bora kwa nafasi zote kwa sababu kiuhalisia jamaa ni "WORLD CLASS"
Hoja yangu ilikuwa Wewe kumfananisha KANTE na CAICEDO {Bado sana asee}

Kwa kumalizia hizo unazoita "Arrangement/s" ndo Mifumo yenyewe na usije ona makaratasi 4~4~2 ya LEICESTER ukaifananisha na ya SIMEONE, LEICESTER ilikuwa timu yenye mpango wa kupaki na walikuwa na kikosi finyu kubadilika kimbinu uwanjani walikuwa wanatumia 4~4~1~1 Vardy anakuwa kama ST yule Ulloa anakuwa CF ama "Target Man" hiyo ikimaanisha majukumu ya walio nyuma yake ni kuzuia yeye anawapumzisha kwa kukaa na Mpira

Maana hiyo KANTE wa "LONE 6 ama DM" Kwa Leicester hakuwepo. FRANCE anapacha na POGBA, CHELSEA Kapacha na Jorginho mpaka LAMPARD alipomtumia kwenye 4~3~3!
Sintahitaji kuendeleza issue ya Unai Emery na Arteta kwa sababu wewe una ubishi tu kwenye hili wakati takwimu ziko wazi kabisa kwamba Arsenal Unai ilimkataa kabisa kama Ten Hag Man U inavyomkataa. Bodi sio wajinga wamtimue kocha mwenye uzoefu lukuki, makombe ya ulaya manne halafu eti waje kumuamini mwanafunzi ambaye anaanzia ukocha Arsenal

Issue ya Kante na Caicedo iko hivi
Advance role ni kiungo box to box apart from CDM. Ni nafasi ya kiungo anayecheza mbele na hapo hapo ana uwezo wa kurudi nyuma na kukaba. aliyembadilishia hiyo nafasi na mashabiki wakalalamika hadi wakachoka ni Sari alipokuja na Jorginho ili ampe mtoto wake nafasi hiyo ya katikati kwenye single pivot role na Kante akapelekwa mbele.

Kante mwenyewe akiri kubadilsihiwa role badala ya DM sasa anacheza mbele
"It is something possible [to play Jorginho's role], but the manager decides. It's fine, it's fine. I like this [more advanced] position. Prefer it? It depends on the game, but I enjoy it. I'm with the manager, and I'm enjoying the way I'm playing now.
"It is a position I used to play when I was in France. I'm enjoying participating more in the offensive positions to change the game. I am enjoying it."

Tarehe 23 Feb 2019, Kante akiongea na Nizaar Kinsella wa Goal

Kante na Caiceod ni copy and paste take it or leave it kwa uchezaji wao. Wanatofautiano kidogo sana.
Kante kajipatia sifa kubwa kwenye ball recoveries, tackling na kusoma mchezo na Caicedo hivyo ana uwezo wa kuusoma mchezo na kujua mashambulizi ya adui inapitia mkondo gani, kuwepo ontime na kukaba au kuzuia au kunyang'anya mpira, wewe unawaseparate vipi kama kweli unawafuatilia hawa wachezaji wawili.
Hii touch MAP inaonyesha jinsi Caicedo anavyocheza box to box zaidi ya CDM
1702509183575.png

Akiwa Brighton Caicedo kwenye ball recoveries alikuwa wa 8 kwenye ligi na umri wake wa 20-21
Amekuja Chelsea wanamlazimisha acheze CDM amekuwa wa 74, wastage of tallent kwa sababu ya Pochettino mfahidhina ameamua kumfanya mfungwa.
1702509106695.png

Much like Kante, Caicedo’s recovery tackles and his ability to anticipate where the ball will go, sticking out a spidery leg to turn possession back over, are among his best qualities.
 
Sintahitaji kuendeleza issue ya Unai Emery na Arteta kwa sababu wewe una ubishi tu kwenye hili wakati takwimu ziko wazi kabisa kwamba Arsenal Unai ilimkataa kabisa kama Ten Hag Man U inavyomkataa. Bodi sio wajinga wamtimue kocha mwenye uzoefu lukuki, makombe ya ulaya manne halafu eti waje kumuamini mwanafunzi ambaye anaanzia ukocha Arsenal

Issue ya Kante na Caicedo iko hivi
Advance role ni kiungo box to box apart from CDM. Ni nafasi ya kiungo anayecheza mbele na hapo hapo ana uwezo wa kurudi nyuma na kukaba. aliyembadilishia hiyo nafasi na mashabiki wakalalamika hadi wakachoka ni Sari alipokuja na Jorginho ili ampe mtoto wake nafasi hiyo ya katikati kwenye single pivot role na Kante akapelekwa mbele.

Kante mwenyewe akiri kubadilsihiwa role badala ya DM sasa anacheza mbele
"It is something possible [to play Jorginho's role], but the manager decides. It's fine, it's fine. I like this [more advanced] position. Prefer it? It depends on the game, but I enjoy it. I'm with the manager, and I'm enjoying the way I'm playing now.
"It is a position I used to play when I was in France. I'm enjoying participating more in the offensive positions to change the game. I am enjoying it."

Tarehe 23 Feb 2019, Kante akiongea na Nizaar Kinsella wa Goal

Kante na Caiceod ni copy and paste take it or leave it kwa uchezaji wao. Wanatofautiano kidogo sana.
Kante kajipatia sifa kubwa kwenye ball recoveries, tackling na kusoma mchezo na Caicedo hivyo ana uwezo wa kuusoma mchezo na kujua mashambulizi ya adui inapitia mkondo gani, kuwepo ontime na kukaba au kuzuia au kunyang'anya mpira, wewe unawaseparate vipi kama kweli unawafuatilia hawa wachezaji wawili.
Hii touch MAP inaonyesha jinsi Caicedo anavyocheza box to box zaidi ya CDM
View attachment 2841857
Akiwa Brighton Caicedo kwenye ball recoveries alikuwa wa 8 kwenye ligi na umri wake wa 20-21
Amekuja Chelsea wanamlazimisha acheze CDM amekuwa wa 74, wastage of tallent kwa sababu ya Pochettino mfahidhina ameamua kumfanya mfungwa.
View attachment 2841856
Much like Kante, Caicedo’s recovery tackles and his ability to anticipate where the ball will go, sticking out a spidery leg to turn possession back over, are among his best qualities.

Mkuu Caicedo n Kante uchezaj wao uko sawa ila wote sio Lone DM

Wakat wa Conte alikuwa anamtumia Matic kama 6 huku Kante akiwa destroyer
 
Mkuu Caicedo n Kante uchezaj wao uko sawa ila wote sio Lone DM

Wakat wa Conte alikuwa anamtumia Matic kama 6 huku Kante akiwa destroyer
Wanaweza kucheza Lone DM ila wakicheza box to box ndio wanakuwa na manufaa kwenye timu zaidi
 
Mkuu Caicedo n Kante uchezaj wao uko sawa ila wote sio Lone DM

Wakat wa Conte alikuwa anamtumia Matic kama 6 huku Kante akiwa destroyer
Mkuu sidhani kama kuna sehemu nimetaja Lone DM! na kama unarefer CDM YES kuna formation kocha anaweza kuwatumia CDM wawilio uwanjani kwenye double pivot na ndivyo Conte alivyokuwa anafanya kwa KAnte na Matic. Destroyer is just a name, wakati wa Conte ninachojua Kante hakucheza kwenye advance role, alicheza kama CDM ya double pivot na Matic 343. Aliyekuja kubadilisha role ya Kante ni Sarri kwa sababu nafasi hiyo sasa alipewa Gorginho kwenye 4-3-3 kwa sababu pia style ya Sari ni tofauti na ile ya Conte. Sarri hakutumia DM kabisa badala yake Jorginho alitumika kama kiungo wa kuwachezesha wenzake. Sari aliamini ukiwa unamiliki mpira huitaji DM. Wale wa counter atatck kama Conte ndio walihitaji DM.
 
Mkuu sidhani kama kuna sehemu nimetaja Lone DM! na kama unarefer CDM YES kuna formation kocha anaweza kuwatumia CDM wawilio uwanjani kwenye double pivot na ndivyo Conte alivyokuwa anafanya kwa KAnte na Matic. Destroyer is just a name, wakati wa Conte ninachojua Kante hakucheza kwenye advance role, alicheza kama CDM ya double pivot na Matic 343. Aliyekuja kubadilisha role ya Kante ni Sarri kwa sababu nafasi hiyo sasa alipewa Gorginho kwenye 4-3-3 kwa sababu pia style ya Sari ni tofauti na ile ya Conte. Sarri hakutumia DM kabisa badala yake Jorginho alitumika kama kiungo wa kuwachezesha wenzake. Sari aliamini ukiwa unamiliki mpira huitaji DM. Wale wa counter atatck kama Conte ndio walihitaji DM.
Nadhani itakuwa vizuri akija Lavia , kuna balance kwenye kiungo tunakosa , inabidi tucheze na Mildifielder watatu Caicedo na Lavia kama DM na Enzo anasogea juu kidogo kuongeza kasi kwenye kushambulia na kurudi kusaidia recoveries
 
Wakala wa Joao Palhinha (miaka 28) amezungumza na Chelsea katika jitihada za kujaribu kumhakikishia mteja wao uhamisho mkubwa katika wiki zijazo. (kupitia teamtalk)

Huyu ndie DM


Money doesn't mean success but a smart business does
IMG-20231214-WA0007.jpg
 
Nadhani itakuwa vizuri akija Lavia , kuna balance kwenye kiungo tunakosa , inabidi tucheze na Mildifielder watatu Caicedo na Lavia kama DM na Enzo anasogea juu kidogo kuongeza kasi kwenye kushambulia na kurudi kusaidia recoveries
Hata mimi nadhani hivyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom