lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,380
- 25,480
Mkokoteni mbovu huo umekutana na mkokoteni mbovu mwenzakeNarudia tena matatizo ni mengi tunayo.
But one thing about life, usiwahi dharau manchester United
Mkokoteni mbovu huo umekutana na mkokoteni mbovu mwenzakeNarudia tena matatizo ni mengi tunayo.
But one thing about life, usiwahi dharau manchester United
Chelsea tayari wamewaloga Tottenham Hot Spurs
Tangu Chelsea wawasambaratishe wamekuwa wakigawa point bila kujali ni nani anacheza naye
Poleni THE BLUES wenzangu kwa kipigo kutoka kwa Manyumbu.
Naendelea kusema kwamba wachezaji wetu ndio chanzo kikuu cha poor performance uwanjani.
Wachezaji wana mapungufu mengi kuliko mapungufu ya kocha.
1. Mapungufu ya kiuwezo uwanjani.
2. Mapungufu ya experience (EPL)
Hata wale wachezaji wachache wenye experience (Silva, James, Sterling), ndio wanaongoza kufanya mistakes uwanjani.
Na hapa mnajipa moyo kwamba washambuliaji wetu Jackson, Madueke, Mudyk wakipata kocha mwingine watakuwa moto balaa.
Kiungo yetu Enzo, Caicedo na Gallagher huwezi kuilinganisha na ile ya kina Kante, Kovacic. Bado sana wana mengi ya kujivunza katika kumiliki dimba la katikati ili mabeki wawe salama.
Tuache ndoto za mchana wazee, tunahitaji kusajili experienced players eneo la ushambuliaji na kiungo angalau wawe msingi wa hayo maeneo.
Nitashangaa sana huko mbeleni wamiliki wakiendelea kusajili wachezaji mbarara badala ya exprienced player's.
For the time being tuendelee kula vipigo hatuna namna, tulishakosea kujenga msingi kwenye usajili.



Unajichanganya mkuu kwa mambo mawiliPoleni THE BLUES wenzangu kwa kipigo kutoka kwa Manyumbu.
Naendelea kusema kwamba wachezaji wetu ndio chanzo kikuu cha poor performance uwanjani.
Wachezaji wana mapungufu mengi kuliko mapungufu ya kocha.
1. Mapungufu ya kiuwezo uwanjani.
2. Mapungufu ya experience (EPL)
Hata wale wachezaji wachache wenye experience (Silva, James, Sterling), ndio wanaongoza kufanya mistakes uwanjani.
Na hapa mnajipa moyo kwamba washambuliaji wetu Jackson, Madueke, Mudyk wakipata kocha mwingine watakuwa moto balaa.
Kiungo yetu Enzo, Caicedo na Gallagher huwezi kuilinganisha na ile ya kina Kante, Kovacic. Bado sana wana mengi ya kujivunza katika kumiliki dimba la katikati ili mabeki wawe salama.
Tuache ndoto za mchana wazee, tunahitaji kusajili experienced players eneo la ushambuliaji na kiungo angalau wawe msingi wa hayo maeneo.
Nitashangaa sana huko mbeleni wamiliki wakiendelea kusajili wachezaji mbarara badala ya exprienced player's.
For the time being tuendelee kula vipigo hatuna namna, tulishakosea kujenga msingi kwenye usajili.
Ni kazi ya kocha kuwatambua na kuwashughulikia, Badala yake yeye kabaki ikuwakumbatia wachezaji na wengine kuwapanga kwenye nafasi ambazo sio zaoPia uweke na list ya wachezaji walioshindwa kuexcute maelekezo ya kocha uwanjani kwa sababu ya uwezo wao ni mdogo & lack of experience + wale makubwa jinga.
Anafeli kwenye mambo menginafkiri poch ana feli zaidi kwenye upangaji wa kikosi cha kwanza.. nani waanze na nani watokee benchi ;pia na mfumo upi sahihi wakwenda nao.
aki stick na ile XI ya game dhidi ya city ;ataanza kupata matokeo kirahisi tu.
sterling ni LW ,iyo role ndio anakuwa na madhara zaidi.