Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kila tunapotoka International Break huwa tumacheza vibaya
Vs Brentford
Vs Newcastle
 
Dogo karudi tena front page

Kenge as usual
20231125_200136.jpg
 
Hii performance ya leo ni worst , too many mistakes aisee
Fouls za ovyo
Dah ! Relegation zone hiyo
 
Pumbavu sana ,hii ilikuwa mechi ya kushinda na kutusaidia kupunguza gap
Hii tabia ya kukosa maturity itatucost Sana aisee
 
Pochettino hataijenga Chelsea yenye kushindania makombe
Ataijenga timu ya kukomaa na timu kubwa kama akina Sunderland
Chelsea ikitaka mafanikio ya kubeba makombe iwekeze kwa kocha anayeweza kuisuka timu ya kucheza kwa nguvu, kukaa na mipira na kuwa na ufanisi kwenye pasi na kufunga. Tuna timu kama ya mtaani tu hata hawa akina Caicedo na Enzo hawachezi kama kwenye timu walizotoka
Chelsea leo imeonekana hovyo kwa sababu wamerudi default hawakupress kama walivyofanya kwa City Liverpool na Arsenal.
 
Difence isiyojua kujiposition wala kufanya marking ni defense gani
Ubora wa hii timu ndio ubora wa kocha, havitenganishwi hivi vitu viwili
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom