James Rodriguez 10
Senior Member
- May 4, 2023
- 142
- 230
Disasi anaenda pembeni na colwil/Badiashile anacheza na Silva.James, Gusto na Cucurella hawatakuwepo, nanai atacheza RB?
Disasi anaenda pembeni na colwil/Badiashile anacheza na Silva.James, Gusto na Cucurella hawatakuwepo, nanai atacheza RB?
Malengo gani Tena mkuu...! Swali gani hilo kwani hili ni jukwaa la siasa, kwamba nimeleta kitu ambacho ni irrelevant?Sasa wewe una malengo gani kuleta hizi discussions za nyuma?
Unakera [emoji1787]Vipi
Top four tunaingia au hatuingii?
Kombe lenu msimu huu ni kutoka draw na Mama sita.
Hamjui mnataka niniGood news is ,Dogo Kendry paez visa yake imekubaliwa ,anatua london soon
Vipi huyu dogo ataingia moja kwa moja senior team au ?
Saiz wanajivunia Nkunku kurudi [emoji23][emoji23][emoji23]Hamjui mnataka nini
Furushi la wachezaji ila kupangilia team ya ushindi bado mnaangaika.
Memory weka kwa faida yako, ingekuwa na uzito zaidi kama ungeweka swali, oni, ushauri, wewe umeleta tu ukakaa kimya, hilo ndilo sikukuelewa. Kama unachamnba chama tujue, kama unauliza uliza tukujibuMalengo gani Tena mkuu...! Swali gani hilo kwani hili ni jukwaa la siasa, kwamba nimeleta kitu ambacho ni irrelevant?
Nimeleta discussion ya zamani ili iwe rahisi Ku trace back memories ili tuendelee tulipoishia
Je bado unaona ulikuwa sahihi kutokana na maoni yako wakati ligi inaanza? Kama sio, tatizo litakuwa nini ndugu yangu
Tuliishia kwenye pressing ya msimu huu ni tofauti na msimu uliopita, Mentality ilikuwa inaonesha Chelsea ni mpya, tukawa tunasubiri Chemistry sa sijui au ilichelewa kufika ikabidi tutumie Biology...!
Na mwisho Kabisa ukaahidi Chelsea hii itakuwa Yamoto, so what gone wrong brother?
Visa ni ya kuja kusalimia tu, muda wake ni hadi summer ya 2025Good news is ,Dogo Kendry paez visa yake imekubaliwa ,anatua london soon
Vipi huyu dogo ataingia moja kwa moja senior team au ?
Ulale sasa Ustadh LembuSteve Cooper kuhusu Andre Santos:
"Sina uhakika sana na kile kilichosemwa. Bila shaka kila mtu angependa Andrey acheze zaidi. Ni mchezaji mchanga mzuri sana, lakini hakuna wachezaji wengi wa umri wake ambao wanacheza mara kwa mara kwenye Ligi kuu ya Uingereza. .
Ni hali ambayo kama angekuwa mchezaji wetu, angekuwa katika nafasi nzuri ya kuwa ndani na karibu na kikosi cha kwanza ili kumpa nafasi ya kucheza pale inavyowezekana, lakini nikijua tunamkuza na kumtayarisha huku akiwa sio mchezaji wetu bali ni mchezaji wa Chelsea na hiyo ahli inaongeza alama ya maswali jambo ambalo naelewa."
View attachment 2830952
Steve Cooper kuhusu Andre Santos:
"Sina uhakika sana na kile kilichosemwa. Bila shaka kila mtu angependa Andrey acheze zaidi. Ni mchezaji mchanga mzuri sana, lakini hakuna wachezaji wengi wa umri wake ambao wanacheza mara kwa mara kwenye Ligi kuu ya Uingereza. .
Ni hali ambayo kama angekuwa mchezaji wetu, angekuwa katika nafasi nzuri ya kuwa ndani na karibu na kikosi cha kwanza ili kumpa nafasi ya kucheza pale inavyowezekana, lakini nikijua tunamkuza na kumtayarisha huku akiwa sio mchezaji wetu bali ni mchezaji wa Chelsea na hiyo ahli inaongeza alama ya maswali jambo ambalo naelewa."
View attachment 2830952
Mbona unakuwa mkali kiongozi, Kwahiyo hujaona swali hapo Mkuu?Memory weka kwa faida yako, ingekuwa na uzito zaidi kama ungeweka swali, oni, ushauri, wewe umeleta tu ukakaa kimya, hilo ndilo sikukuelewa. Kama unachamnba chama tujue, kama unauliza uliza tukujibu
Spurs wana mchanganyiko wa wachezaji wazoefu na wapya kama Chelsea lakini wanafanya vizuri zaidi kuliko Chelsea. Pochettino anahitaji kuwajibika badala ya kujificha chini ya mwavuli wa wachezaji wasio na uzoefu ili kuhalalisha kushindwa kwake.Pochetino press conference yake ya kwanza “it was all about winning’’ila ukimskia sasa hivi ni Process,Process,Process,
Sijaona labda uliuliza baadaye, hata hivyo bado tupo kwenye process. Mtabadili lugha hivi punde. Hata Arsenal mlikaa na hao watoto wakiwa vikojozi hadi leo hii wanajua kufunga surualiMbona unakuwa mkali kiongozi, Kwahiyo hujaona swali hapo Mkuu?
Nimeuliza vipi kuhusu Mentality uliyoina kwenye game ya Liverpool?
Nimeuliza kuhusu vipi chemistry unaiongelea?
Nimeuliza kuhusu ujio wa Caicedo maana ulisema akija yule Mambo Fresh?
Nimeuliza kuhusu pressing ya msimu huu uliyosema ni hatari vipi?
Kwahiyo kwa lugha nyepesi kabisa ningependa kujua kutoka kwako Yale uliyokuwa unayaona mwanzo imekuaje ndomana nikaleta na hizo shots ili iwe rahisi kwako kukumbuka tuliwahi kujadiliana kuhusu nini