Master kinga
Member
- Aug 15, 2023
- 43
- 35
Lakin timu ya ushindi habDilikAtengeneze mfumo wa rotation Tu kama city wanavyofanya ,haitakiwi mtu mmoja kuhodhi nafasi
Lakin timu ya ushindi habDilikAtengeneze mfumo wa rotation Tu kama city wanavyofanya ,haitakiwi mtu mmoja kuhodhi nafasi
Ana kipaji ila inaonekana ni kama uongozi wa Chelsea wanamuignore maana kitendo tu cha kumpeleka Notingham wakati wakijua kabisa Notingham ina lundo la wachezaji katika nafasi ile tena seniors kabisa ilikuwa haileti maanaYule dgo mkuu anaujua mpira sana mfatilie utaona alichonacho ndani
Yule Petrovic ni bonge la kipa hopeful kama atapata nafasi Sanchez atakula mkeka pamoja na kukaa benchi bado team yake ya Taifa inamuitaRotation ianze kwa goalkeeper. Sanchez anazingua.
Mbona team ya Taifa yake anaanza first eleven nazani preference ya kochaPoche anasuburia nini kumpanga Petrovic?
Au Petro anafanya uzembe mazoezini?
Au Poche anatuaminisha alifanya uamuzi bora kupendekeza usajili wa Sanchez?
Maduake bado kalala benchi litamuhusu sanaTangu waondoke Hazard, Willian na Pedro winga zilizofuata zilikuwa za ovyo sana.
At least Sterling ameanza kuonyesha uhai kwenye winga zetu.
Magoli yanatakiwa yapatikane kutoka pande zote mawinga na striker.
Mudyk tunaendelea kumpa nafasi ila Madueke mkopo unamuhusu.
Kuna vitu vingine vinakata mno unaona kabisa anayeanza hafikii ubora wako najiulizaga kama ukiwa ndio mchezaji vaa viatu vya huyo mwambaPreference inayomcost kila mechi
Pace kubwa ya Mudryk ndio ilizaa goli la tatu, natamani Poche awe anamanage dakiak anazompa vizuri ili akomaeHuyu Sterling hata kama huwa hayuko consinstence ila match ya City alideserve 100% man of the match,
Alisumbua sana ile winger ya kushoto, Ilikuwa ni Nightmare kwa Walker na Rodri, Hata alipohamia kulia bado alikiwasha, nayakumbuka matukio mawili, Cross aliyimpa Broja na baadae ikazalisha penaly na Chance aliyompa Gusto akakosa.
Pia Callagher alifanya juhudi kubwa sana, kwenye goal la tatu, Yeye ndio alipokea mpira na kumpa mudryk kabla ya kuja kuupokea tena baadae na kushoot kabla ya keeper kucheza na Jackson Kumalizia.
Utashangaa hapo ndipo tukapata points nyingi. Refer game ya Liverpool
Halafu kinachotuangusha ni silly individual mistakes plus defense yetu bado haiko stable
Silva msimu huu atatutobolesha sana
Colwill na Disasi bado wachanga. Kipa Sachez kimeo kuliko Kepa
Mbele hakuna no 10 creative, Jackson bado sana
Chukwumekea alishajua naman ya kuwachezesha wenzake hasa mbele
Nkunku ni mzoezu ila yuko kitandani
James Mr Captain yuko wodini
Hii Chelsea tukitoboa msimu huu basi tu
Bado wewe ni mfahidhina wa akili, kwa spurs, Arsenal na City tayari tuna pts 5 na hatujapoteza gameSio rahisi Chelsea kupata alama 3 kwa sasa hivi mbele ya City, United, Arsenal, Newcastle, Brentford, Aston Villa au Brighton hata kama hizi timu zisipokuwa na form mzuri.
Kosa kubwa sana la kiufundi lilofanyika Chelsea ni kuondoa wachezaji wazoefu kwa mkupuo bila kuwa na mibadala sahihi. Vijana wadogo hawawezi kukufikisha popote pale.
Hakuna timu barani Ulaya imewahi kufanya vizuri na kikosi kilichosheheni vijani wadogo kwa zaidi ya asilimia 70%. Jaribu kufanya observation kipindi Manchester United ikiwa ya moto chini ya Fergie, Arsenal ya invicibles chini ya Wenger, Barcelona ya Rijkard, Guardiola na Enrique, Madrid ya Ancelotti na Zidane, Bayern, Liverpool hata Chelsea ya Mourinho pamoja na City ya sasa hivi ya Guardiola.
Nakubaliana na wewe kipindi tunafanya vibaya hatusikii hizi kelele baada ya kuona tunaanza kufanya vizuri Ndio zinaibukaHuwa nahisi kabisa. Chelsea na FA ya pale England kuna kitu hakipo sawa
Ukishuka tunashuka nayo ikipanda tunapanda nayoKushuka daraja sasa kunaonekana kuwa tegemeo la kweli kwa wapinzani wa Manchester United, Man City na Chelsea! Kukatwa kwa pointi 10 kwa Everton kulikuwa kwa ukiukaji mmoja wa kanuni za Ligi Kuu, huku City wakishtakiwa kwa makosa 115. Kwa kuzingatia adhabu iliyopewa Everton, tishio la kupunguzwa kwa pointi 30 au kuteremka daraja moja kwa moja kutoka kwa Premier League lingeonekana kuwa la kweli kwa City na Chelsea iwapo mashtaka yatathibitishwa katika tume huru ya udhibiti
Mbwa kala mbwa.Ukishuka tunashuka nayo ikipanda tunapanda nayo
Why apew nafasi tuMabao wana imani na Broja wapite hapa
Mimi sina imani naye kabisa
Wakifanya hivyo bora TFF mara 1000 kuliko hao FA, mpira unakuja kuzoroteshwa na sheria za kiduanzi. Bora wangeweka tu faini za pesa hata kama ni nyingi ili isije ikaaffect performance na ubora wa ligi. Najua City na Chelsea wakishushwa daraja ni msimu ujao tu tunarudi tena kwa hasira zaidi lakini EPL inapata doa kubwa sana kuliko hii iliyokwisha jijengea. EPL pia itakosa mapato kwa kuondoa timu shindani na kuzibakiza makanjanjaKushuka daraja sasa kunaonekana kuwa tegemeo la kweli kwa wapinzani wa Manchester United, Man City na Chelsea! Kukatwa kwa pointi 10 kwa Everton kulikuwa kwa ukiukaji mmoja wa kanuni za Ligi Kuu, huku City wakishtakiwa kwa makosa 115. Kwa kuzingatia adhabu iliyopewa Everton, tishio la kupunguzwa kwa pointi 30 au kuteremka daraja moja kwa moja kutoka kwa Premier League lingeonekana kuwa la kweli kwa City na Chelsea iwapo mashtaka yatathibitishwa katika tume huru ya udhibiti
Huyo kama ni mchezaji mzuri kashapewa nafasi za kutosha, Laiti hizo nafasi alizopewa broja including mkopo Southamptom na baadayae Chelsea kabla hajaenda majeruhi angepewaga Salah, saa hizi Salah angekuwa ni wetuWhy apew nafasi tu
Bado nakataa Chelsea na City kwamba hawo wengine hawana ushawish wa kimapato? NoWakifanya hivyo bora TFF mara 1000 kuliko hao FA, mpira unakuja kuzoroteshwa na sheria za kiduanzi. Bora wangeweka tu faini za pesa hata kama ni nyingi ili isije ikaaffect performance na ubora wa ligi. Najua City na Chelsea wakishushwa daraja ni msimu ujao tu tunarudi tena kwa hasira zaidi lakini EPL inapata doa kubwa sana kuliko hii iliyokwisha jijengea. EPL pia itakosa mapato kwa kuondoa timu shindani na kuzibakiza makanjanja