Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Bado nakataa Chelsea na City kwamba hawo wengine hawana ushawish wa kimapato? No


Timu ambayo ikishushwa daraja ligi itatikisikq ni man united. Asikuambie mtu
In term of earning nakubaliana na wewe lakini kwa maana ya performance man u imepotea
 
Wakifanya hivyo bora TFF mara 1000 kuliko hao FA, mpira unakuja kuzoroteshwa na sheria za kiduanzi. Bora wangeweka tu faini za pesa hata kama ni nyingi ili isije ikaaffect performance na ubora wa ligi. Najua City na Chelsea wakishushwa daraja ni msimu ujao tu tunarudi tena kwa hasira zaidi lakini EPL inapata doa kubwa sana kuliko hii iliyokwisha jijengea. EPL pia itakosa mapato kwa kuondoa timu shindani na kuzibakiza makanjanja
Raheem Sterling celebrating wildly after scoring a hattrick against dorking wanderers in the English national league

FT dorking wanderers 5-3 Chelsea
1677421122235.jpg
 
Bado nakataa Chelsea na City kwamba hawo wengine hawana ushawish wa kimapato? No


Timu ambayo ikishushwa daraja ligi itatikisikq ni man united. Asikuambie mtu
Mwingine huyu anaota ndoto nyevu. Man yu kwa lipi?
 
Mabinti wazuri na warembo ila wanaoana wenyewe kwa wenyewe
Niliacha wakati fulani kushabikia timu za nyumbani kwa sababu ya uchawi
Sasa hizi timu za Ulaya nitaacha kuzishabikia kwa sababu za ushoga na usagaji

Na eti wanapongezwa kwa kufanya huo ujinga

Congratulations to Sam Kerr and Kristie Mewis who have just announced their engagement
1700584046264.png
 
Mabinti wazuri na warembo ila wanaoana wenyewe kwa wenyewe
Niliacha wakati fulani kushabikia timu za nyumbani kwa sababu ya uchawi
Sasa hizi timu za Ulaya nitaacha kuzishabikia kwa sababu za ushoga na usagaji

Na eti wanapongezwa kwa kufanya huo ujinga

Congratulations to Sam Kerr and Kristie Mewis who have just announced their engagement
View attachment 2821006
Duniani vituko haviishi 🤣🤣🤣
 
Kwa ubinafsi wa jinsi hii ni ngumu sana kufunga magoli mengi kwa timu yetu pendwa ya Chelsea
 
Game hilo hapo the blues, tukibakia kwenye huo mwendo kasi, UEFA tumerudi
 
Wesley Fofana amerudi kukanyaga majani Cobham!
Christopher Nkunku amerudi kwenye kikosi!
Romeu Lavia amerudi amerudi kwenye kikosi!
Ben Chilwell anarudi naye
Kandanda la Chelsea limerudi jamani!
Raha mbele kwa mbele

Mabeki watakuwa 11 (Wanaotakiwa ni 8 tu)

2 - Axel Disasi
3 - Marc Cucurella
5 - Benoit Badiashile
6 - Thiago Silva
14 - Trevoh Chalobah
21 - Ben Chilwell
24 - Reece James
26 - Levi Colwill
27 - Malo Gusto
29 - Ian Maatsen
33 - Wesley Fofana

Viungo 7 (wanaotakiwa ni 5 tu)
8 - Enzo Fernandez
cole Palmer
Moises Caisedo
Romeo Lavia
16 - Lesley Ugochukwu
17 - Carney Chukwuemeka
23 - Conor Gallagher

Washambuliaji 8 (wanaotakiwa ni 5 tu)
19 - Armando Broja
18 - Christopher Nkunku
10 - Mykhailo Mudryk
7 - Raheem Sterling
11 - Noni Madueke
15 - Nicolas Jackson
Deivid Washington
Alex Mato
 
Wesley Fofana amerudi kukanyaga majani Cobham!
Christopher Nkunku amerudi kwenye kikosi!
Romeu Lavia amerudi amerudi kwenye kikosi!
Ben Chilwell anarudi naye
Kandanda la Chelsea limerudi jamani!
Raha mbele kwa mbele

Mabeki watakuwa 11 (Wanaotakiwa ni 8 tu)
2 - Axel Disasi
3 - Marc Cucurella
5 - Benoit Badiashile
6 - Thiago Silva
14 - Trevoh Chalobah
21 - Ben Chilwell
24 - Reece James
26 - Levi Colwill
27 - Malo Gusto
29 - Ian Maatsen
33 - Wesley Fofana

Viungo 7 (wanaotakiwa ni 5 tu)
8 - Enzo Fernandez
cole Palmer
Moises Caisedo
Romeo Lavia
16 - Lesley Ugochukwu
17 - Carney Chukwuemeka
23 - Conor Gallagher

Washambuliaji 8 (wanaotakiwa ni 5 tu)
19 - Armando Broja
18 - Christopher Nkunku
10 - Mykhailo Mudryk
7 - Raheem Sterling
11 - Noni Madueke
15 - Nicolas Jackson
Deivid Washington
Alex Mato
Kikosi nataka kiwe hivi

1. Petrovic
2.James
3.Benchillwel
4.Fofana
5.Thiago silva
6.Lavia
7.Nkuku
8.Caicedo
9.Jackson
10.Gallagher
11.Cole Palmer
 
Huyo petrovic mmewai kumuona akicheza ??? Au ndo yale ya kina AYUBU maana mashabiki wanatabia wanataka kila mchezaji hasahasa hawa ambao hamjawai kuwaona
huyo kipa ni nusu mtu ungekuwa unafuatilia team yake ya Taifa ungemuelewa ni kipa ambaye ana daka mno ana uwezo mkubwa sana wa kudaka kuna sehemu unaweza kusema ni goal yeye akafanya save ya hatari sijajua kwanini pottentino hampi nafasi
 
Kikosi nataka kiwe hivi

1. Petrovic
2.James
3.Benchillwel
4.Fofana
5.Thiago silva
6.Lavia
7.Nkuku
8.Caicedo
9.Jackson
10.Gallagher
11.Cole Palmer
Mabeki wengi ,inabidi Thiago Silva astaafu ,chalobah msimu ujao asepe pia na yule fofana awekwe kwenye uangalizi au auzwe mazima ,majereha hayaishi kila siku kitandani
 
Mabeki wengi ,inabidi Thiago Silva astaafu ,chalobah msimu ujao asepe pia na yule fofana awekwe kwenye uangalizi au auzwe mazima ,majereha hayaishi kila siku kitandani
Thiago Silva astaafu kwasababu zipi wakati yupo kwenye kiwango bora
 
Hili naomba tulijadili hivi kweli Disasi ni better kuliko Bachiashile?
Disasi ana ukatili kama wa Rudiger, anaweza pia akaja kuwa CB bora. Tatizo lake au udhaifu wake mkubwa ni spidi hana na sio clinical kwenye kudefend kama Badiashile. Inayompa upendelea kwa sasa ni fitness ya Badiashile bado haijarudi
 
Mabinti wazuri na warembo ila wanaoana wenyewe kwa wenyewe
Niliacha wakati fulani kushabikia timu za nyumbani kwa sababu ya uchawi
Sasa hizi timu za Ulaya nitaacha kuzishabikia kwa sababu za ushoga na usagaji

Na eti wanapongezwa kwa kufanya huo ujinga

Congratulations to Sam Kerr and Kristie Mewis who have just announced their engagement
View attachment 2821006
Hapo Sam Kerr ndio wanam-term kama husband.. Dah!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom