Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Romeo Lavia na Christopher Nkunku watakuwa full fit baada ya international break. Nini maoni yako
Unafikiri ni wachezaji gani watakosa namba baada ya wao kurudi?
View attachment 2813093
Itategemea na mfumo atakaochezesha but kama ni striker mmoja Nkuku atachukua nafasi ya Jackson kule pembbeni sterling na Palmer wanakiwasha sana but kwa upande wa Laiva ana kazi kubwa sana ya kuchukua namba ya Kati ya Enzo au Conor Gallagher na Caicedo
 
Pengine hawa ndio wanaweza kukosa namba kwa kikosi cha sasa.

Gallagher hatoki tena 1st eleven anakiwasha balaa na tunahitaji zaidi energy yake.

Jackson anaendelea kufunga mechi after mechi, sterling ameanza kutumikia rasmi jezi ya THE BLUES hataki masihara tena.

Ila kurudi kwa Lavia na Nkunku ni Habari njema kikosi kinaendelea kupanuka na ushindani utaongezeka katika kugombania namba hence matokeo mazuri uwanjani.

Ubora wa kila mchezaji uwanjani ndio utaamua nani aanze nani sub. Lavia na Nkunku warudi kwanza watuonyeshe ubora wao dhidi Enzo, Gallagher, Jackson, Sterling.
Kwa Nkuku naona anaingia moja kwa moja kwenye kikosi jamaa analijua sana goal sio mtu ambaye akakosa ovyo ovyo kama Jackson, ana skills za ufungaji kwa kiwango mkubwa, ana kasi, ana jicho la kushambulia half space na ni mzuri pia kwenye kufanya movement ndani ya 18
 
Draw isiwaleweshe
New castle mkazieni miguu hivyohivyo kama mlivyokaza,angalau mtoke matopeni Namba kubwakubwa.
Hamchelewi kurudi kwnwye default mode yenu Marasta FC
 
Kwa Nkuku naona anaingia moja kwa moja kwenye kikosi jamaa analijua sana goal sio mtu ambaye akakosa ovyo ovyo kama Jackson, ana skills za ufungaji kwa kiwango mkubwa, ana kasi, ana jicho la kushambulia half space na ni mzuri pia kwenye kufanya movement ndani ya 18
Huyo Sterling alikuwa na malengo mawili, kumsalimia PEP na Southgate wa timu ya Taifa. Hayo mambo yakipita Sterling will be back to default
Mchezaji mwenye consistency nzuri kwenye LW atakuwa ni Nkunku, Sterling atabaki azibe viraka na Mudryk hadi akomae
 
Itategemea na mfumo atakaochezesha but kama ni striker mmoja Nkuku atachukua nafasi ya Jackson kule pembbeni sterling na Palmer wanakiwasha sana but kwa upande wa Laiva ana kazi kubwa sana ya kuchukua namba ya Kati ya Enzo au Conor Gallagher na Caicedo
Naona akiichukua nafasi ya Sterling na Mudryk, hao watakuwa Sub kuanzia January
Nkunku hata kama akirudi naona ataanza kucheza sub December na January atakuwa akianza full nondo
Hata Lavia naye Poche atawagawia muda na akina Caicedo na Enzo. Ngoma iko kwa Lesley Ugochukwu
 
Itategemea na mfumo atakaochezesha but kama ni striker mmoja Nkuku atachukua nafasi ya Jackson kule pembbeni sterling na Palmer wanakiwasha sana but kwa upande wa Laiva ana kazi kubwa sana ya kuchukua namba ya Kati ya Enzo au Conor Gallagher na Caicedo
Hao akina Enzo ni Rahisi sana
Anayechoka mapema anatolewa Lavia anaingia
Anayecheza hovyo anatolewa Lavia anaingia
Kwa umri wake miaka 19 Lavia akipewa dk 20-30 ataridhika hadi atakapopata fursa ya kucheza mechi kamili
Kuna hatari akina Ugochukwu na Santos tutawauza tu kwa sababu aliyetibua mahesabu ni Gallagher
 
Huyo Sterling alikuwa na malengo mawili, kumsalimia PEP na Southgate wa timu ya Taifa. Hayo mambo yakipita Sterling will be back to default
Mchezaji mwenye consistency nzuri kwenye LW atakuwa ni Nkunku, Sterling atabaki azibe viraka na Mudryk hadi akomae
Sterling msimu huu yupo vizuri sio kwasababu tu ya Southgate na Pep game nyingi tu katubeba au umesahau
 
Sterling msimu huu yupo vizuri sio kwasababu tu ya Southgate na Pep game nyingi tu katubeba au umesahau
Alianza kucheza vizuri wakati amegundua kaachwa na Southgate
Huko nyuma alicheza vizuri mechi na Luton hasa hasa, baada ya hapo ni kupanda na kushuka kama mwendawazimu
 
Mabao wana imani na Broja wapite hapa
Mimi sina imani naye kabisa
 
Naanza kupata wasiwasi na ugomvi kati ya wachezaji na kocha kuhusiana na muda wa kucheza. Kocha itabidi awe makini sana namna ya kuwapa hawa wachezaji nafasi ya kucheza..Lesley, Enzo, Caisedo, Mudryk, Lavia, Palmer, Ghalagher
 
Naanza kupata wasiwasi na ugomvi kati ya wachezaji na kocha kuhusiana na muda wa kucheza. Kocha itabidi awe makini sana namna ya kuwapa hawa wachezaji nafasi ya kucheza..Lesley, Enzo, Caisedo, Mudryk, Lavia, Palmer, Ghalagher
Atengeneze mfumo wa rotation Tu kama city wanavyofanya ,haitakiwi mtu mmoja kuhodhi nafasi
 
Naanza kupata wasiwasi na ugomvi kati ya wachezaji na kocha kuhusiana na muda wa kucheza. Kocha itabidi awe makini sana namna ya kuwapa hawa wachezaji nafasi ya kucheza..Lesley, Enzo, Caisedo, Mudryk, Lavia, Palmer, Ghalagher
Atakayevurunda benchi na ayakayechoka nje .
Na kuwe na rotation
Wakifanya hivyo hata Lesley atapata Chance ,cha muhimu aonyeshe ana stahili hiyo nafasi ,nina mashaka kwa yule Santos
 
Atakayevurunda benchi na ayakayechoka nje .
Na kuwe na rotation
Wakifanya hivyo hata Lesley atapata Chance ,cha muhimu aonyeshe ana stahili hiyo nafasi ,nina mashaka kwa yule Santos
Yule dgo mkuu anaujua mpira sana mfatilie utaona alichonacho ndani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom