Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tulichokuwa tunakililia sasa hiv Poch anakifanya na matokeo yanaonekana

Mwanzon ilikuwa upuuzi wa hali ya juu kumchezesha Enzo 10 na Chilwell 11
Huku njee ukiwa na Palmer na Mudryk

Tangu ameanza kuchezesha wachezaj kwenye mafasi zao sahihi matokeo yameanza kupatilkana

Kitu cha kuimprove
1. Dhidi ya team zinazopark bus (low block) namna ya kuzifungua na kiwa clinical game dhid ya Brentford Palmer alitengeneza chance 3ambazo zilipaswa kuwa magoal

2. Mipira ya juu -Inatutesa sana kwenye kujilinda hasa hasa hiz free kick. Tunahitaji kuwa vizuri hapa
Tunatakiwa kuwaandaa driblers wenye uwezo wa kusambaratisha defense kama Hazard. Nakumbuka Hazard defense kama za Westaham anapita mwenyewe kwenye msitu hadi kukutana na kipa uso kwa uso
 
Disasi baada ya goli la Rodri dakiak ya 87 alikimbilia kuchukua mpira wavuni na kuwakoromea wenzake akisema vita bado havijaisha, ni influencer mzuri sana, our next Rudiger alikuwa sehemu kubwa ya kuinua morali ya wachezaji ya kufight hadi penaltui ikapatikana
Ndio maana kule Monaco alikuwa ni Kaptain
Chelsea tunao viongozi wengi sana
 
Mkimaliza kuangalia game yote naombeni ushahidi wa hiki ninachouliza

"Hivi toka Enzo ametua chelsea kuna game alishawahi kuzikamata ziwe big games au medium games"???
Enzo Fernandez alitajwa kuwa MOTM msimu huu dhidi ya Liverpool. Jamie Carragher, gwiji wa Liverpool, alimfanyia uchambuzi kamili na kumwita WORLDCLASS.

Wewe sidhani kama unamfuatilia huyo mchezaji labda unachukua porojo za uchezaji wake kwenye vijiwe vya dadi na gongo

View: https://twitter.com/CFCPys/status/1723814283673317631
1699853577458.png
 
Habari Wana Chelsea, naanza kupata matumaini kwa kuona top 4 zote za EPL TABLE 13/11/2023 hazijamfunga hata mechi 1 Chelsea ingawa safari bado ni ndefu.

Nilipotea humu kwa kutokuwa na imani na Kocha na nitaendelea kutokuwemo maana bado timu inahitaji uzoefu mwingi na consistency za Wachezaji.

Naomba nisieleweke vibaya maana Binadamu hatufanani uwezo katika kuhimili maumivu haswa kwa sisi Mashabiki.

I love Chelsea SC and its all fans at all time and forever 💙💙💙💙
 
Huu ni muda ambao Dunia nzima ilipiga goti dogo awaweke bao wahuni 🔥
Nilipiga goti hatimaye dua ikafika🤣🤣🤣
 

Attachments

  • IMG-20231112-WA0042.jpg
    IMG-20231112-WA0042.jpg
    346 KB · Views: 18
Ndio hata mechi za Carabao serious?
Kwa kweli game ambayo nami nilishangaa kwanini hakucheza ni dhidi ya Blackburn lakini nikawaza labda huenda kwa kuwa tulitoka kufungwa na Brentford Kocha akaona asicheze pata potea.

Maana ukweli ni kwamba Carabao ni kombe tuna matumaini ya kupata.

Ile dhidi ya Wimbledon asingeweza maana alikuwa na siku 4 klabuni
 
Aliporudi Chelsea alishuka kiwango kwa sababu ya makocha na pia timu ilikuwa not organized. Poche ndio naona amemrudisha kwenye kiwango tena amezidi hasa kwenye box to box midfielder
Exactly mkuu. Huyu dogo ananikumbusha Kovacic wa Real Madrid aliyetufanya tukamsajili. Hawatofautiani sana kiuchezaji
 
Palmer tafadhali nakuomba ujikoseshe penalty. Pls mimi na wewe tunajuana kitambo🤣🤣
 

Attachments

  • Screenshot_20231113_102645_WhatsAppBusiness.jpg
    Screenshot_20231113_102645_WhatsAppBusiness.jpg
    54.7 KB · Views: 12

Similar Discussions

Back
Top Bottom