Maoni yangu Yule Palmer sio wa nchi hii hivi tungemsajili jao Felix huyu mtu tungempataje? next time kocha awe anampanga bachiashile over disasi pia kocha alifanya mapema sana kumtoa James hata kama anamlinda dhidi ya injury angalau angemtoa dk ya 75-80. Walikuwa wanambeza Conor Gallagher wako wapi?
Mkimaliza kuangalia game yote naombeni ushahidi wa hiki ninachouliza
"Hivi toka Enzo ametua chelsea kuna game alishawahi kuzikamata ziwe big games au medium games"???


Aliyetoa wazo la kumsajili huyu dogo apewe maua yake. Ametisha sana bonge la usajili. View attachment 2812081
Kipa mzuri tunaye sema kocha hampangi sijui kwaniniKwa mechi hii ya leo, taratibu tumeanza kujipata. Msimu huu hatuwezi kunyanyua kwapa lakini msimu ujao tutaanza kuonyesha makali yetu ila tunatakiwa kupata kipa mkali zaidi ya Sanchez.
Kipa mzuri tunaye sema kocha hampangi sijui kwaKwa mechi hii ya leo, taratibu tumeanza kujipata. Msimu huu hatuwezi kunyanyua kwapa lakini msimu ujao tutaanza kuonyesha makali yetu ila tunatakiwa kupata kipa mkali zaidi ya Sanchez.
Refa kawabebaHawa vyura wanashindwa kumfunga man city
Issue ya Galagher ni kocha. Kwa makocha waliopita walishindwa mtumia mpaka kuonekana kama hafai vile
Ila kwa Pochetino Galagher amekuwa tofauti sana katika mchezaj bora wa msim kwa klabu yetu yuko pale yeye,raz na palmer
Galagher niwale viungo ambao mguuni hawana mambo mengi
Mbona kama ni mtu anaetokea mogadishu? Anajua soka kweli?Aliyetoa wazo la kumsajili huyu dogo apewe maua yake. Ametisha sana bonge la usajili. View attachment 2812081
raz ndio nani?
Hujaahidi chochote?Chelsea leo mmenifurahisha sana
Yaani mngewatandika la tano wale mabroiler
Muda huu tungekuwa tunaongea mengine
Hata Poche anajuta kwa nini hakumpa yeye ukaptainNimemuinulia mikono Ghallagher. Anacheza kama timu mali ya baba yake ,
Hamna anayevuja jasho kama yeye pale Chelsea
Tungemuuza Spurs au Newcastle wangeenda kumfanya kuwa beast na wangesumbua sana epl ,kwa pumzi ya yule dogo
Big up sana ,
Aliporudi Chelsea alishuka kiwango kwa sababu ya makocha na pia timu ilikuwa not organized. Poche ndio naona amemrudisha kwenye kiwango tena amezidi hasa kwenye box to box midfielderNilichogundua wengi hawafuatilii mpira kiundani wanaangalia juujuu tu hasa magoli. Ndio maana comments za kumponda Gallagher zilikua nyingi. Ila kama wengi tungekua tunafatilia mechi in deep lawama zisinfekua nyingi kwa Gallagher.
Dogo ni mchezaji mzuri sana toka alipokua kwa mkopo Crystal Palace chini ya Vieira. Alipata mechi nyingi na dakika za kutosha so mpaka mkopo wake unaisha alikua kashatosha ila kinachowaathiri wachezaji wengi ni badili ya makocha haimpi mchezaji nafasi ya kuonesha alichonacho. Ndicho kilichomkuta Gallagher. Sasahivi confidence anayo, energy, na uzuri anajua.
Ila bado Mudryk ni wa kumtunza sana, akitulia kidogo tu yule ni namba nyingine, pace yake hakuna pale EPLMudyk bado ana changamoto ya kukosa utimamu wa akili uwanjani. Anatakiwa atulize akili kama Palmer.
Mudyk anacheza na vitu visivyoonekana
Tayari tunaye anaitwa Petrovic, kocha hataki hata kumjaribu. Labda hafanyi vizuri kwenye mazoezi??Kwa mechi hii ya leo, taratibu tumeanza kujipata. Msimu huu hatuwezi kunyanyua kwapa lakini msimu ujao tutaanza kuonyesha makali yetu ila tunatakiwa kupata kipa mkali zaidi ya Sanchez.
Kuna mmoja namuhifadhi jina kwenye group la Arsenal alisema mechi saba kwenye list kuanzia wao Arsenal hatutapata zaidi ya points 4Walikuwa wanaweka maratiba yao wakawa wansema hatuwez pata hata point moja wako wap wote wako mafichoni na ssa hakutna timu kubwa onja kushinda mbele yetu sana sale anzia Liverpool mpka ssa man cty