Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,255
The
blues weuwee







Yaani hapa mngewaweka kimoja Cha mwisho mngekua mmemaliza kazi tuliyowatuma
blues weuwee







Yaani hapa mngewaweka kimoja Cha mwisho mngekua mmemaliza kazi tuliyowatuma
blues weuwee







Tunajitafuta bado, subiri tujipate Mkuu. UtafurahiTheblues weuwee
Yaani hapa mngewaweka kimoja Cha mwisho mngekua mmemaliza kazi tuliyowatuma
Kwenye big games tu hao, wakicheza na Aston villa utaona papatu papatuNaiona Chelsea ikifufuka
Sio big game. Timu inayofunguka na kushambulia, timu inayoweka low block na kutumia sucker punch bado hatupo njema. Kama nilivyosema tunajitafuta na tutajipata tuKwenye big games tu hao, wakicheza na Aston villa utaona papatu papatu
Sio Leo tu siku zote tunakichafua against wakubwa wenzetu au ushasahau dhidi yenu mpaka mkaomba mpira uisheChelsea leo mmeupiga mwingi sana![]()
Mnatubeza sana ooh nazani mmejionea tuna team nzuri sanaGame of the SEASON period!
UNYAMA mwingi sanaUmepigwa mpira mwingi sana,,
Hivi vitoto vya chelsea vikitunzwa vitakua hatari sana.
Chelsea leo mmenifurahisha sanaTunajitafuta bado, subiri tujipate Mkuu. Utafurahi
Achana nao hawo machizi wasikuumize kichwa mkuuKuna wale makenge-za walisema mechi 7 hatutaambulia pts 4. Hii ni mechi ya nne je mnahesabu au mumeacha.
Mlisema oh fixtures ngumu hizi
Arsenal 1
Spurs 3
City 1
Bado mechi 3 na huko tutabeba pts. Heshima wekeni
Sisi bado mabingwa wa Dunia
Mbona hata dhidi yenu alipiga mpira mkubwaGalanyeto leo kapiga kazi, safi sana kenge
😆😆😂😂Sio Leo tu siku zote tunakichafua against wakubwa wenzetu au ushasahau dhidi yenu mpaka mkaomba mpira uishe
Fafanua zaidi swali lakoMkimaliza kuangalia game yote naombeni ushahidi wa hiki ninachouliza
"Hivi toka Enzo ametua chelsea kuna game alishawahi kuzikamata ziwe big games au medium games"???
Hasira za kuchana mkeka hizi. Nenda ka renew bado mechi nyingi mkuu. Hii mikeka itakupa ugonjwa wa moyo!na nyie cheltako mnakamia big Match tu.
waone hapo.View attachment 2812044View attachment 2812048