Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,255
Nimefurahi sana mispurs kufungwa
Nilisema mara kwa mara kuwa tatizo la Pochettino liko kwenye small and midtable teams, hachezi kama alivyocheza na Liverpool au Arsenal.Japokuwa spurs amecheza pungufu lakini hata kabla ya kadi tumeubonda sana ,najiuliza kwanini morale hii inatokea kwenye big match TU ,tukicheza na Brentford,westham wachezaji wanakuwa kama wamefungwa mawe miguuni,kiukweli sijafurahishwa na huu ushindi kabisa.Ni Bora kufungwa na spurs umfunge westham,Everton,Brentford na wengine wa aina hiyo ,ushindi huu ni faida Kwa arsenal,city; kwetu ni ujinga tu maana hatuna uhakika wa point baada ya gemu ya city.
Kosa la kwanza Spurs walikuja kama vita vile, walitukamia sana na tusingekuwa watulivu wangetuadhiri sana ndani ya dakika chache. Pili Christian Romero mcheza foul mkubwa EPL alitusaidia baada ya kumchezea rafu mbaya Enzo kwenye penalty box wakapewa double punishment, ya kwanza penalti na ya pili red cardNi nini kimetokea jana. Mimi niliangalia kikosi sikutaka kuangalia mechi kabisa nilijua tu Spurs hatukosi goli 3. Nimeshangaa kukutana na maajabu eti striker wetu kaondoka na hattrick
Jamaa nina wasi wasi na ushabiki wako. Iweje sisi tushinde game useme faida haipo kwetu?Japokuwa spurs amecheza pungufu lakini hata kabla ya kadi tumeubonda sana ,najiuliza kwanini morale hii inatokea kwenye big match TU ,tukicheza na Brentford,westham wachezaji wanakuwa kama wamefungwa mawe miguuni,kiukweli sijafurahishwa na huu ushindi kabisa.Ni Bora kufungwa na spurs umfunge westham,Everton,Brentford na wengine wa aina hiyo ,ushindi huu ni faida Kwa arsenal,city; kwetu ni ujinga tu maana hatuna uhakika wa point baada ya gemu ya city.
Romero anacheza kihuni, alimpga Colwill kiatu mwanzo wkt goli la chelsea linakataliwa sema haikutiliwa maanani mana kulikua kuna mambo ya VAR kucheck goli. Alipaswa ale nyano mapema.Kosa la kwanza Spurs walikuja kama vita vile, walitukamia sana na tusingekuwa watulivu wangetuadhiri sana ndani ya dakika chache. Pili Christian Romero mcheza foul mkubwa EPL alitusaidia baada ya kumchezea rafu mbaya Enzo kwenye penalty box wakapewa double punishment, ya kwanza penalti na ya pili red card
Waliendlea kucheza kivita hata baada ya kuwa pungufu ndip tena Udogle akatolewa baada ya kumchezea rafu mara mbili Sterling
Tuendelee kumshukuru kocha wa Spurs kwa sababu hata baada ya kubaki 8 uwanjani aliendlea kuwalazimisha wachezaji wake wapigane kivita, yaani wafanye press high line na kutuachia matundu ambayo hata wale academy wetu wangeweza kupata matokea rahisi kabisa. Ni kwa approach hiyo Jackson jana alionekana shujaa kumbe wap[i, Jackson bado yuko ni yule yule tunayemjua ambaye hajiamini na hayuko clinical kwenye kufunga, asiyeweza kuchukua nafasi za ufungaji kama strikers wengine
Sijui kwanini mnajificha kwenye spurs kuwa 8 kwamba bila hizo red tusingeshinda mechi, mpinzani wako kupata red haijustify kuwa lazima ushinde liverpool alipata red na akashinda dhidi ya newcastle, liverpool alipata red card Ila akafungwa kwa mbinde na spurs 2 kwa 1 tena dk za mwisho Ndio spurs anafunga goal la ushindi.Kosa la kwanza Spurs walikuja kama vita vile, walitukamia sana na tusingekuwa watulivu wangetuadhiri sana ndani ya dakika chache. Pili Christian Romero mcheza foul mkubwa EPL alitusaidia baada ya kumchezea rafu mbaya Enzo kwenye penalty box wakapewa double punishment, ya kwanza penalti na ya pili red card
Waliendlea kucheza kivita hata baada ya kuwa pungufu ndip tena Udogle akatolewa baada ya kumchezea rafu mara mbili Sterling
Tuendelee kumshukuru kocha wa Spurs kwa sababu hata baada ya kubaki 8 uwanjani aliendlea kuwalazimisha wachezaji wake wapigane kivita, yaani wafanye press high line na kutuachia matundu ambayo hata wale academy wetu wangeweza kupata matokea rahisi kabisa. Ni kwa approach hiyo Jackson jana alionekana shujaa kumbe wap[i, Jackson bado yuko ni yule yule tunayemjua ambaye hajiamini na hayuko clinical kwenye kufunga, asiyeweza kuchukua nafasi za ufungaji kama strikers wengine
Hiyo taarifa nimeipata wapi?Nasikia Enzo na James walienda kumfundisha Poch jinsi ya kucheza jana
Me sijui hataHiyo taarifa nimeipata wapi?
Fatilia vizuri utaona kipindi game inaendelea jana baada zile redHiyo taarifa nimeipata wapi?
Ni kweli, goli la pili, la tatu na la nne huoni zimefanana, Enzo ndie aliyeanza kumuashiria Kocha abadili stayle vinginevyo tungefungwa na wachezaji 8 wa SpursHiyo taarifa nimeipata wapi?
Ile foul ya kwanza ya Udogie haikuwa red, VAR ilikuwa inacheki pamoaj na dangerous play ila pia kama Sterling alikuwa last man na hivyo kunyimwa haki ya kwenda kufunga wakakuta sioRomero anacheza kihuni, alimpga Colwill kiatu mwanzo wkt goli la chelsea linakataliwa sema haikutiliwa maanani mana kulikua kuna mambo ya VAR kucheck goli. Alipaswa ale nyano mapema.
Ile ya Odogie kw Sterling ilipaswa kuwa red card mapema sana, hakumpata sterling vizur ila ukishaonyesha kiatu vile inakua red card mana intention inakua ni kuvunja.
Bado hatupo vizuri tumestruggle sana kupata goli. Ilipaswa tushinde goli9, imagine sisi ndio tungekua pungufu.
Hiyo taarifa nimeipata wapi?
Kama sio Enzo nadhani na James kumtaka kocha abadili mbinu ndipo zile counter attack zikaanza kuchezwa na kutuletea magoli.
Siongelei kuhusu last man, naongelea uingiaji wa vile, kuna matukio km hayo naona wanapewa red card, hata kama hujamgusa mchezaji ila intention ni kuvunja. Sema sio mtafutaji mzuri wa matukio ila ningeweza ningeleta videos hapa.Ile foul ya kwanza ya Udogie haikuwa red, VAR ilikuwa inacheki pamoaj na dangerous play ila pia kama Sterling alikuwa last man na hivyo kunyimwa haki ya kwenda kufunga wakakuta sio
Hata last man unapewa red card nje ya penalty box, Na watangazaji wa premium league walikuwa zaidi wanajadili hilo la last mana kuliko dangerous playSiongelei kuhusu last man, naongelea uingiaji wa vile, kuna matukio km hayo naona wanapewa red card, hata kama hujamgusa mchezaji ila intention ni kuvunja. Sema sio mtafutaji mzuri wa matukio ila ningeweza ningeleta videos hapa.
Ligi ya Uingereza sikuhzi imekaa kipumbavu sana....yaani mtu anainua kabisa njumu kukuvaa halafu wanakuja na sababu za kijinga kuhalalisha maamuzi Yao ya kutochukua hatua yyte...ile rafu kama sterling ingempata ingeweza kumuweka nje kabisaSiongelei kuhusu last man, naongelea uingiaji wa vile, kuna matukio km hayo naona wanapewa red card, hata kama hujamgusa mchezaji ila intention ni kuvunja. Sema sio mtafutaji mzuri wa matukio ila ningeweza ningeleta videos hapa.
Exactly ndicho nilichokua nakijadili, uingiaji wa vile ni direct red card mana angampata saa hizi Sterling angekua MOI.Ligi ya Uingereza sikuhzi imekaa kipumbavu sana....yaani mtu anainua kabisa njumu kukuvaa halafu wanakuja na sababu za kijinga kuhalalisha maamuzi Yao ya kutochukua hatua yyte...ile rafu kama sterling ingempata ingeweza kumuweka nje kabisa
Yule referee wenu msompenda akashushwa championship kwnda kuchezesha...wamemrudisha na amechaguliwa kuchezesha gemu yenu na City🤠🤠🤠...hiki chama cha soka cha England kuna namna wanatumia bangi sio bureSiongelei kuhusu last man, naongelea uingiaji wa vile, kuna matukio km hayo naona wanapewa red card, hata kama hujamgusa mchezaji ila intention ni kuvunja. Sema sio mtafutaji mzuri wa matukio ila ningeweza ningeleta videos hapa.
Chelsea ni team isiyopendwa sana pale Epl so hatushangai na haya maamuziYule referee wenu msompenda akashushwa championship kwnda kuchezesha...wamemrudisha na amechaguliwa kuchezesha gemu yenu na City🤠🤠🤠...hiki chama cha soka cha England kuna namna wanatumia bangi sio bure