Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea wanashindwa kabisa kutumia akili. Yaani watu 11 kwa 9 mnashindwa kufunga. Ngoja tuone.
Chelsea watanue uwanja, wapige pasi sana mbona hata 4 wanazipata. Yaani dk 10 zimeisha mpaka sasa hakuna kitu.
 
Asante sana Spurs mmeinua morale na kujiamini kwa Maiko Jackson
 
Screenshot_20231107-010822.jpg
 
Chelsea wanashindwa kabisa kutumia akili. Yaani watu 11 kwa 9 mnashindwa kufunga. Ngoja tuone.
Chelsea watanue uwanja, wapige pasi sana mbona hata 4 wanazipata. Yaani dk 10 zimeisha mpaka sasa hakuna kitu.
Shukrani kwa utabiri wa 4 mkuu..!!
 
Nilijuasiku moja huu uchezajiw a Spurs wa kutrumia nguvu sana utawarudia

Kadi mbili nyekundu, mchezaji muhimu kama Madison katolewa misuli

Spurs wamesambaratika. Chelsea tushindwe tu wenyewe, ushindi uko mikononi mwetu
Ila bado Chelsea kuna matatzo makubwa sana kama timu

Then spurs walikuwa wanacheza offside timing sana
 
Kilaza Jackson kapiga hatrick Kwa timu pungufu
Ila performance kusema ukweli bado hairidhishi kivile .
Just imagine spurs pamoja na kuwa pungufu bado wakakaza tako na kama si kosa kosa ya son walikuwa wanarudisha .
Halafu Pochetino sijui kwanini ana kichwa kibovu cha kurudia kufanya makosa yale yale ,unamunzisha Colwill kama left back wakati kuna Cucurella na performance yake imeimprove
Hata goli la Spurs limetokea huko kwa Colwill ,
Na mechi ya Westham nakumbuka goli mbili zote zilitokea huko upande wake alikokuwa kacheza kama left back
Sijui anafanya experiment gani na Colwill kuwa left back ,kila akimuweka left back anachoma ,kichwa maji poch
Colwill anamuanzisha pembeni kwasababu ya uwezo wake wa kupiga pas ndefu leo lengo lilkua kutumia counter attack mpaka spurs walivyojisambaratisha wenyewe

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Ni kawaida, Chelsea hata awe vibaya hawezi kufungwa na Tot, ni sawa na Man City ata awe vizuri kiasi gani hawezi kupata ushindi kwa Tot.

Kila bwana na bwana wake
 
Kuna firigis wako humu walisema kwenye mechi zijazo 7 hatutapa zaidi ya pts 4
Tuendelee kuhesabu points wote jamani
Vs Arsenal = 1
Vs Brentford = 0
Vs Spurs = 3
To be contnued on Nov 11
1699312304732.png
 
Japokuwa spurs amecheza pungufu lakini hata kabla ya kadi tumeubonda sana ,najiuliza kwanini morale hii inatokea kwenye big match TU ,tukicheza na Brentford,westham wachezaji wanakuwa kama wamefungwa mawe miguuni,kiukweli sijafurahishwa na huu ushindi kabisa.Ni Bora kufungwa na spurs umfunge westham,Everton,Brentford na wengine wa aina hiyo ,ushindi huu ni faida Kwa arsenal,city; kwetu ni ujinga tu maana hatuna uhakika wa point baada ya gemu ya city.
 
Ni nini kimetokea jana. Mimi niliangalia kikosi sikutaka kuangalia mechi kabisa nilijua tu Spurs hatukosi goli 3. Nimeshangaa kukutana na maajabu eti striker wetu kaondoka na hattrick
Kwahiyo mashabiki wa Chelwowo siku hizi mnaogopa kuangalia mechi zenu
 
Katikati ya vita ya Israel na Gaza unapata wapi uzingizi? Jana nililala sikuweza kuangalia mechi. NISAMEHENI

Sasa Asubuhi Naangalia matokeo naona tumeshinda goli 4. Nikajiuliza nini kimetokea?

Pamoja na advantage ya hizo Red card, HONGERENI THE BLUES KWA USHINDI.

Point 3 muhimu katikati ya vita.
Spurs walikuwa wanacheza rafu sana na kutumia matumizi makubwa ya nguvu ndicho kilipelekea kula red card walipewa pressure kubwa na Chelsea in short Chelsea ilikuwa bora sana zilitakiwa ziwe hata 8 Jackson angeweza kufunga goal hata 6 pekee aliwekewa pass nzuri na mudryk yeye na kipa akakosa nyingine aliwekewa na Palmer akakosa na nyingine kipa akawahi kusweep.Chelsea ilikuwa bora cos spurs walikuwa nao wanafunguka Chelsea inapata tabu ikikutana na team zinazopark bus na Ndio Maana wanapoteza dhidi ya team like Brentford
 
Ni nini kimetokea jana. Mimi niliangalia kikosi sikutaka kuangalia mechi kabisa nilijua tu Spurs hatukosi goli 3. Nimeshangaa kukutana na maajabu eti striker wetu kaondoka na hattrick
Kapiga hattrik lakini kakosa goal 3 za wazi Chelsea inakuwa bora ikikutana na team zinazocheza open football kama walivyocheza spurs wanakuja kustruggle wanapokutana na team zinazopark bus
 
Palmer, Conor Gallagher na Caicedo kwa kweli wameubonda sana mpira jana walikuwa kwenye ubora wako.Team imecheza vizuri sana ila changamoto ni moja sio wakatili mbele ya goal kama tungekuwa wazuri kwenye finish tungeshinda hata goal 8 jana. Pia kocha anatakiwa aje na solution ya kucheza dhidi ya team zinazopark bus spurs tulimuwin cos alikuwa anacheza open football but tukikutana na team kariba ya Brentford zenye kupark bus tunapoteza ubora
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom