Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Yule referee wenu msompenda akashushwa championship kwnda kuchezesha...wamemrudisha na amechaguliwa kuchezesha gemu yenu na City🤠🤠🤠...hiki chama cha soka cha England kuna namna wanatumia bangi sio bure
Kapandishwa tena??! Hata huko championship ameshaenda kuchezesha mechi hata moja?
 
Exactly ndicho nilichokua nakijadili, uingiaji wa vile ni direct red card mana angampata saa hizi Sterling angekua MOI.

Halafu nilishashuhudia mtu alicheza vile akala umeme, hata hakumgusa mchezaji sikumbuki vizur alitokea sub akala umeme. Leo hii maamuz yako tofauti. cjui sheria zao zinafuatwa kutokana na mechi.
Jamaa alikuwa ancheza kama vita vile, nimefurahi imewatokea kilichotokea
 
Kosa la kwanza Spurs walikuja kama vita vile, walitukamia sana na tusingekuwa watulivu wangetuadhiri sana ndani ya dakika chache. Pili Christian Romero mcheza foul mkubwa EPL alitusaidia baada ya kumchezea rafu mbaya Enzo kwenye penalty box wakapewa double punishment, ya kwanza penalti na ya pili red card

Waliendlea kucheza kivita hata baada ya kuwa pungufu ndip tena Udogle akatolewa baada ya kumchezea rafu mara mbili Sterling

Tuendelee kumshukuru kocha wa Spurs kwa sababu hata baada ya kubaki 8 uwanjani aliendlea kuwalazimisha wachezaji wake wapigane kivita, yaani wafanye press high line na kutuachia matundu ambayo hata wale academy wetu wangeweza kupata matokea rahisi kabisa. Ni kwa approach hiyo Jackson jana alionekana shujaa kumbe wap[i, Jackson bado yuko ni yule yule tunayemjua ambaye hajiamini na hayuko clinical kwenye kufunga, asiyeweza kuchukua nafasi za ufungaji kama strikers wengine
Ila huu ushindi unaweza ukawa hamasa kuelekea game na Man City walau tukapata chochote kitu
 
Jamaa nina wasi wasi na ushabiki wako. Iweje sisi tushinde game useme faida haipo kwetu?
Kuna faida ipi wakati hatuwezi kuzifunga TEAM Kama westham ,Brentford,notgham forest,Astonvilla ambazo zimejaa kwenye ligi na zote zinacheza midblock system,shida hauangalii mpira pengine unaona TU matokeo ,tunaoangalia team yetu tunajua inaweza kufanya Nini na haiwezi kufanya Nini.Jitahidi kuifuatilia team usiwe shabiki mandazi
 
Ila huu ushindi unaweza ukawa hamasa kuelekea game na Man City walau tukapata chochote kitu
Sisi kucheza na TEAM inayofunguka hakuna shida tuna vijana wakaimbia kweli kweli kiufupi tunawaita runners ,city labda watufunge Kwa quality TU sio commitment na kutengeneza nafasi ,Chelsea mpaka Sasa ndio team pekee imecheza mechi zote na kuongoza EXPECTED GOALS lakini Kuna mechi tumetoka bila goal lolote.Fixture yetu imekaa kimtego lakini mechi ngumu sana kwetu ni everton na Sheffield,mechi tunazoweza kupata point ni kubwa kama against city, Newcastle, Brighton,united .
 
Kapandishwa tena??! Hata huko championship ameshaenda kuchezesha mechi hata moja?
Kuna mechi kachezesha nadhani halafu akapiga tukio tena🤠🤠...wakaona hyu atatuharibia mpira wetu huku wacha tumrudishe kulekule kwa wakubwa akapambane nao🤠🤠🤠
 
Yule referee wenu msompenda akashushwa championship kwnda kuchezesha...wamemrudisha na amechaguliwa kuchezesha gemu yenu na City🤠🤠🤠...hiki chama cha soka cha England kuna namna wanatumia bangi sio bure
Hawa jamaa kama epl ni kama waganga wanaotoa utajiri na wanabaki masikini ,washenzi sana .
 
Kuna faida ipi wakati hatuwezi kuzifunga TEAM Kama westham ,Brentford,notgham forest,Astonvilla ambazo zimejaa kwenye ligi na zote zinacheza midblock system,shida hauangalii mpira pengine unaona TU matokeo ,tunaoangalia team yetu tunajua inaweza kufanya Nini na haiwezi kufanya Nini.Jitahidi kuifuatilia team usiwe shabiki mandazi
Huna point bro.
 
weka point yako niisome niko tayari kujifunza, majibu kama no, yes , hauna point, sitaki ni ya wenye uelewa mdogo. Mwaga point nisome
Sijaona haja ya kupoteza nguvu yangu kukuelewesha. Baki na mtazamo wako nibaki na wangu. Sawa?
 
Sijaona haja ya kupoteza nguvu yangu kukuelewesha. Baki na mtazamo wako nibaki na wangu. Sawa?
kumbe ulikuwa na mtazamo wako ukaja na critics ungekaa kimya , usikosoe usipotaka kukosolewa, usianzishe safari usiyoweza Kumaliza .
 
kumbe ulikuwa na mtazamo wako ukaja na critics ungekaa kimya , usikosoe usipotaka kukosolewa, usianzishe safari usiyoweza Kumaliza .
Si kwamba siwezi kumaliza ila sijataka kuendelea na mjadala. Ujumbe wako wa kwanza umanitosha kujua mawazo yako.
 
Kukosekana kwa Chelsea na Liverpool kwenye UCL ni dhahiri, Newcastle na Man United hawakuwa kwenye kiwango cha kuwakilisha EPL kwenye UCL ya 2023/24
1699538214733.png
 
Nawakumbusha tu NOTTINGHAM FOREST nao wana uefa mbili ila ni katimu kadogo kama nyinyi,mnarudi mlikotoka,YES ...ni kule alipowaokota PAPAA ROMAN ABRAMOVICH mkiwa hamjitambui,hamna mbele wala nyuma,wengi wenu mkiwa mpo primary school,

FORM IS TEMPORARY,....
Mlikuwa na form tu na sasa muda umepita munarudi mlipokuwa,
MAJI HATA YAWE YA MOTO VIPI LAZIMA YAURUDIE UBARIDI
 
Dujuan Richards darajani kesho na anaruhusiwa kuichezea Chelsea moja kwa moja. Kashatimiza miaka 18, huyu regeilist ni striker mzuri sana, anaweza kutupunguzia gharama ya kuingiua sokoni January.
Sifa zake kuu
Anapenda kushuti sana, kwa sasa Jackson ameonyesha hawezi kushuti akiwa golini
Pia anaweza kupiga mashuti ya nguvu karibu na za mbali
Ni dribler mzuri sana
Pace kubwa
Bado ana miaka 18 tu lakini anacheza kama mchezaji wa miaka 22/23
1699628156013.png


View: https://www.youtube.com/watch?v=dbqPfglmWZ8
 
Dujuan Richards darajani kesho na anaruhusiwa kuichezea Chelsea moja kwa moja. Kashatimiza miaka 18, huyu regeilist ni striker mzuri sana, anaweza kutupunguzia gharama ya kuingiua sokoni January.
Sifa zake kuu
Anapenda kushuti sana, kwa sasa Jackson ameonyesha hawezi kushuti akiwa golini
Pia anaweza kupiga mashuti ya nguvu karibu na za mbali
Ni dribler mzuri sana
Pace kubwa
Bado ana miaka 18 tu lakini anacheza kama mchezaji wa miaka 22/23
View attachment 2809797

View: https://www.youtube.com/watch?v=dbqPfglmWZ8

Tatizo ni yule Pochetino Sidhani kama atampa nafasi , mbona tuna Washington bado hajapewa atleast a debut
 
Nawakumbusha tu NOTTINGHAM FOREST nao wana uefa mbili ila ni katimu kadogo kama nyinyi,mnarudi mlikotoka,YES ...ni kule alipowaokota PAPAA ROMAN ABRAMOVICH mkiwa hamjitambui,hamna mbele wala nyuma,wengi wenu mkiwa mpo primary school,

FORM IS TEMPORARY,....
Mlikuwa na form tu na sasa muda umepita munarudi mlipokuwa,
MAJI HATA YAWE YA MOTO VIPI LAZIMA YAURUDIE UBARIDI
kweli uwezo wa kufikiri umekuwa mdogo nchi hii ukikutana na saka na martinelli waulize ndoto Yao ni nini? jibu watakalokuambia litakufanya ujue champions league ni kitu Gani , champions league is not for everybody,unaonaje nikisema aserne Wenger alipowaacha mme endelea kubaki hapo hapo na mtaendelea kubaki trophless kama kawaida, wenzako wamekufa bila kuona champions league na wewe ni next victim.
 
Dujuan Richards darajani kesho na anaruhusiwa kuichezea Chelsea moja kwa moja. Kashatimiza miaka 18, huyu regeilist ni striker mzuri sana, anaweza kutupunguzia gharama ya kuingiua sokoni January.
Sifa zake kuu
Anapenda kushuti sana, kwa sasa Jackson ameonyesha hawezi kushuti akiwa golini
Pia anaweza kupiga mashuti ya nguvu karibu na za mbali
Ni dribler mzuri sana
Pace kubwa
Bado ana miaka 18 tu lakini anacheza kama mchezaji wa miaka 22/23
View attachment 2809797

View: https://www.youtube.com/watch?v=dbqPfglmWZ8

lembu Kwa jinsi nilivyomuona hapo hana sifa ya kuwa no 9 tunayemuhitaji huyu anafaa kuwa winga au kiungo mshambuliaji sisi tunahitaji striker ambaye yupo most of the time around ya 18, mzuri kwenye kufanya movement ndani ya goal na pia mwenye uwezo mkubwa wa kufunga
 
Dujuan Richards darajani kesho na anaruhusiwa kuichezea Chelsea moja kwa moja. Kashatimiza miaka 18, huyu regeilist ni striker mzuri sana, anaweza kutupunguzia gharama ya kuingiua sokoni January.
Sifa zake kuu
Anapenda kushuti sana, kwa sasa Jackson ameonyesha hawezi kushuti akiwa golini
Pia anaweza kupiga mashuti ya nguvu karibu na za mbali
Ni dribler mzuri sana
Pace kubwa
Bado ana miaka 18 tu lakini anacheza kama mchezaji wa miaka 22/23
View attachment 2809797

View: https://www.youtube.com/watch?v=dbqPfglmWZ8

Anacheza na watoto wenzake huko ndio aje huku bada sana
 
Anacheza na watoto wenzake huko ndio aje huku bada sana
Hata Caicedo alikuwa akicheza na watoto wenzake
Ronaldo alikuwa akicheza na watoto wa mitaani huko Madeira Ureno kabla hajaonekana na scouting team
Drogba alikuwa akicheza na vitoto wenzake kule mitaa ya abdijan
Hata Maradona alikuwa famous sana kwenye mitaa ya Villa Fiorito karibu na Buenos Aires.
Steven Gerrad mtoto wa mtaani purely aliokotwa akicheza boli na watoto wenzake
Zinedine Zidane kwenye maeneo ya La Castellane, mtaa wa wahuni huko Marseille
Pele amecheza sana mtaani kabla hajasajiliwa kwenye timu kubwa
Sadio Mane kaeleza story yake ya kucheza kwa muda mrefu na watoto huko kijijini kwake kabla hajapata timu kubwa
Ronaldinho mtoto mhuni kutoka mitaa ya Porto Alegre kule Brazil
Messi kutoka mitaa ya Rosario kule Argentina
Kiufupi wachezaji wengi maarufu wengi wao kutoka nchi zinazoendelea na maskini huwa wanaanzia kucheza na watoto wenzao ili waweze kuonekana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom